Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TIA kuboresha kampasi zake kiwango cha elimu kuvutia wanafunzi wa nchi jirani

DSCN5429

Brasi bendi kutoka jeshi la kujenga taifa Makutupora mkoani Dodoma, likiongoza maandamano ya wahitimu wa fani mbalimbali ikiwemo ya uhasibu katika mahafali ya 13 yaliyofanyika mjini Singida.

DSCN5438

Baadhi ya wahitimu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) kutoka mkoa wa Singida, Kigoma na Mwanza, wakiandamana ikiwa ni sehemu ya mahafali ya 13 na ya nne kwa mkoa wa Singida, yaliyofanyika mjini hapa. DSCN5458 Meneja wa taasisi ya uhasibu Tanzania mkoa wa Singida, Emmanuel Kingu, akitoa nasaha zake kwenye...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Serikali yadhamiria kuboresha huduma kwa nchi jirani-Mwakyembe

Na Mwandishi wetu, Pwani Serikali imesema imedhamiria kukabiliana kwa vitendo na changamoto ya kutotumia fursa na nafasi ya kijiografia ya nchi ya Tanzania na kuifanya kuwa shindani na hivyo kuleta maendeleo endelevu na ustawi wa jamii. Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe amesema jana mkoani Pwani kuwa hakuna sababu inayoifanya Tanzania isiwe taifa shindani kibiashara katika ukanda huu wa Afrika kutokana na nafasi yake kijiografia miongoni mwa sababu nyingine.
Katika kuonyesha...

 

11 years ago

BBCSwahili

Nigeria:Wanafunzi walipelekwa nchi jirani

Baadhi ya wasichana waliotekwa nyara na Boko Haram, wanaaminika kupelekwa katika nchi jirani za Cameroon na Chad na kuolewa na wapiganaji.

 

11 years ago

Mwananchi

Elimu ya Tehama shuleni; Tujifunze kutoka nchi jirani

Moja ya nchi zinazotajwa kupiga hatua kwenye matumizi Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) shuleni katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati, ni Rwanda ambapo inakadiriwa kuwa nusu ya wanafunzi wanatumia kompyuta mpakato wakiwa shuleni.

 

10 years ago

Vijimambo

MAHAFALI YA 49 YA CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA(CBE) KAMPASI YA MBEYA YAFANA.

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Musa Uledi akitoa tamko la kuwatunuku vyeti vya Astashahada katika fani za ununuzi na ugavi, uhasibu na uendeshaji wa biashara Wahitimu 37 katika mahafali ya 49 ya Chuo cha Elimu ya biashara (CBE) Kampasi ya Mbeya yaliyofanyika katika viwanya vya Mbeya Hotel. Mkuu wa Chuo cha elimu ya Biashara Kampasi ya Mbeya, Dionise Lwanga akitoa neno la Shukrani kwa mgeni rasmi baada ya kumaliza kuwatunuku wahitimu katika mahafali ya 49 ya Chuo hicho. Makamu...

 

11 years ago

Michuzi

CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA KAMPASI YA DAR CHAENDELEA KUFANYA VIZURI, CHAWEKA MIFUMO YA KISASA YA KUFUATILIA KUDHIBITI UKIUKWAJI WA MAADILI

 Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mh. Janet Mbene akiwa ameambatana na viongozi wa Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam (CBE) akiangalia vifaa vya kisasa vya kujifunzia wanafunzi katika chuo wakati wa ziara yake jijini Dar es salaam.  Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam Prof. Emanuel Mjema (mwenye suti nyeusi) akimwonesha Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Janet Mbene maeneo ya chuo hicho yaliyovamiwa ambayo sasa yamejengwa majengo ya biashara.  Naibu Waziri wa...

 

11 years ago

Michuzi

WAZAZI WANAYO NAFASI KUBWA KUINUA KIWANGO CHA ELIMU - MKUU WA WILAYA YA CHATO

 Mkuu wa Wilaya ya Chato Mhe. Rodrick Mpogolo amesema wazazi kwa kushirikiana na walimu wanayo nafasi kubwa katika kuhakikisha elimu Wilayani Chato inaboreka. Ameyasema hayo  wakati akifungua kikao cha wadau wa elimu Wilayani Chato kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Halamshauri hiyo.  Mhe. Mpogolo amesema si muda muafaka sasa wa kumwachia mwalimu kuhusu masuala yote ya elimu bali kila mtu hasa mzazi anayo nafasi kubwa ya kuhakikisha mtoto anapata mahitaji yote ya kielimu.  “Maadili...

 

11 years ago

CloudsFM

RAY C AENDELEA NA HARAKATI ZAKE,ATOA ELIMU JUU YA ATHARI ZA MADAWA YA KULEVYA KWA WANAFUNZI WA MAKONGO

STAA wa Bongo Fleva,Rehema Chalamila’Ray C’ameendelea na harakati zake za kutoa elimu juu ya athari za madawa ya kulevya kwenye jamii. Hivi karibuni msanii huyo kupitia Ray C Faundatiaon alitembelea shule ya sekondari ya Makongo na kutoa elimu juu ya athari za madawa hayo kwa wanafunzi wa shule hiyo.Kupitia account yake ya Instagram aliandika hivi…Ray C Foundation ikitoa Elimu Juu ya athari za madawa ya kulevya katika shule ya secondary Makongo......na Ina mpango wa kuzunguka shule zote za...

 

5 years ago

Michuzi

Kitengo cha uhandisi Mitambo (TBS) kuhakikisha bidhaa zinazozalishwa ndani na nje ya nchi zinakidhi kiwango husika

Afisa Viwango Mwandamizi Kitengo Cha Uhandisi Mitambo wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Joseph Mwaipaja akizungumza na Michuzi TV kuhusiana na Viwango katika bidhaa za kiuhandisi ikiwemo Nondo,Bati ,Misumari pamoja mabomba ya palatiki na Chuma.Afisa Viwango Mwandamizi Kitengo Cha Uhandisi Mitambo wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Joseph Mwaipaja akizungumza na Michuzi TV kuhusiana na Viwango katika bidhaa za kiuhandisi ikiwemo Nondo,Bati ,Misumari pamoja mabomba ya palatiki na...

 

9 years ago

Mwananchi

Kibarua cha kuboresha elimu kwa Serikali ya Dk Magufuli

Kesho kutwa,  Dk John Magufuli ataapishwa kuwa  Rais wa awamu ya tano, akiwa amebeba ahadi nyingi kwa Watanzania ikiwamo ile ya Serikali yake kutoa elimu bure kuanzia elimu ya awali hadi kidato cha nne.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani