Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Elimu ya Tehama shuleni; Tujifunze kutoka nchi jirani

Moja ya nchi zinazotajwa kupiga hatua kwenye matumizi Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) shuleni katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati, ni Rwanda ambapo inakadiriwa kuwa nusu ya wanafunzi wanatumia kompyuta mpakato wakiwa shuleni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Maziwa kutoka nchi jirani yalalamikiwa

CHAMA cha Wafugaji wa Ng’ombe wa Maziwa (TDCU) kinakusudia kumwandikia Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kupinga uingizwaji holela wa maziwa yaliyosindikwa kutoka nchi jirani.

 

9 years ago

Dewji Blog

TIA kuboresha kampasi zake kiwango cha elimu kuvutia wanafunzi wa nchi jirani

DSCN5429

Brasi bendi kutoka jeshi la kujenga taifa Makutupora mkoani Dodoma, likiongoza maandamano ya wahitimu wa fani mbalimbali ikiwemo ya uhasibu katika mahafali ya 13 yaliyofanyika mjini Singida.

DSCN5438

Baadhi ya wahitimu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) kutoka mkoa wa Singida, Kigoma na Mwanza, wakiandamana ikiwa ni sehemu ya mahafali ya 13 na ya nne kwa mkoa wa Singida, yaliyofanyika mjini hapa. DSCN5458 Meneja wa taasisi ya uhasibu Tanzania mkoa wa Singida, Emmanuel Kingu, akitoa nasaha zake kwenye...

 

10 years ago

Mwananchi

Mkongo wa taifa na ndoto za Tehama shuleni

Anasema hadi sasa vituo 49, zikiwemo shule 43, vituo vya posta vitatu na vyuo vya afya vitatu vimepelekewa na kufungiwa vifaa vya Tehama, sambamba na utoaji wa kufanyiwa mafunzo ya matumizi bora ya vifaa hivyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Tehama shuleni; Dhamira njema iliyokosa mikakati wezeshi

Soma kisa hiki; Mgeni anakuja nchini na kutaka pamoja na mambo mengine kuwafundisha kompyuta watu wa jamii ya wafugaji ambao asili yao ni maisha ya kuhamahama porini.

 

9 years ago

Mwananchi

Ahadi ya elimu bure, tujifunze kwa MMEM

Wakati tunajiandaa kupokea elimu bure ya sekondari hapo mwakani ni vema tukajifunza mambo kadhaa kutoka elimu ya msingi ambayo tayari imekuwa ikitolewa bure.

 

9 years ago

Vijimambo

TUJIFUNZE NINI TOKA MAJIRANI ZETU KUHUSU FAIDA YA KUTANGAZA NCHI?

Habari na picha za Freddy Macha Fahari ya Kenya. Maonesho ya uzuri na urembo Tamasha la “Kenya in the Park”- Jumamosi iliyopita, tarehe 29 Agosti 2015, lilifana sana. Tamasha kama hili limewahi pia kufanywa mara nyingi na Ghana. Faida yake nini? 1. Kutangaza nchi. Kuendeleza wajasiriamali, elimu, wasanii, nk 2. Kukutanisha wananchi. Kuwaunganisha. Urafiki. Uzalendo. Kujuana. NETWORKING, kwa Kimombo. 3. Wageni huwajua na kutaka kuwatembelea. Utalii, kuwekeza na kuunga mkono miradi mbalimbali....

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram lashambulia nchi Jirani

Kundi la wapiganaji wa Boko Haram nchini Nigeria limeshambulia mji mmoja nchini Niger

 

11 years ago

BBCSwahili

Nigeria:Wanafunzi walipelekwa nchi jirani

Baadhi ya wasichana waliotekwa nyara na Boko Haram, wanaaminika kupelekwa katika nchi jirani za Cameroon na Chad na kuolewa na wapiganaji.

 

11 years ago

Mwananchi

Teknolojia ya GMO katika kilimo: Tujifunze kutoka Uganda

>Wanasayansi mbalimbali katika ukanda wa Afrika Mashariki wamekuwa wakitafiti juu ya uwezekano wa kutumia teknolojia ya Uhandisi Jeni (GMO) katika kilimo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani