Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tehama shuleni; Dhamira njema iliyokosa mikakati wezeshi

Soma kisa hiki; Mgeni anakuja nchini na kutaka pamoja na mambo mengine kuwafundisha kompyuta watu wa jamii ya wafugaji ambao asili yao ni maisha ya kuhamahama porini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mkongo wa taifa na ndoto za Tehama shuleni

Anasema hadi sasa vituo 49, zikiwemo shule 43, vituo vya posta vitatu na vyuo vya afya vitatu vimepelekewa na kufungiwa vifaa vya Tehama, sambamba na utoaji wa kufanyiwa mafunzo ya matumizi bora ya vifaa hivyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Elimu ya Tehama shuleni; Tujifunze kutoka nchi jirani

Moja ya nchi zinazotajwa kupiga hatua kwenye matumizi Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) shuleni katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati, ni Rwanda ambapo inakadiriwa kuwa nusu ya wanafunzi wanatumia kompyuta mpakato wakiwa shuleni.

 

10 years ago

Dewji Blog

Modewji blog inakutakia furaha njema ya siku ya Ijumaa kuu leo na Pasaka njema

165548_472294617863_703227863_5902108_5247941_n

Zainul A. Mzige, Operation Manager, MODEWJI BLOG, www.modewjiblog.com +255714940992. IMG_20150320_171213 Andrew Chale, Online Editor, Chief Reporter, MO BLOG, www.modewjiblog.com +255719076376

Msomaji wa Modewji blog leo ni siku ya Ijumaa kuu  mtandao huu unaungana  na wakristo wote Duniani katika kuadhimisha siku hii pamoja na sikukuu ya Pasaka.

Mtandao huu unawatakia Sikukuu njema, sherehe njema na tuiadhimishe kwa amani.

Modewji blog pia inapenda kuwakumbusha wazazi kuwa waangalifu na watoto wadogo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali imeendelea kujenga mazingira wezeshi kwa ajili ya mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGO’s)

IMG_0214 (1)

Mkurugenzi wa Kitengo cha Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Bw. Marcel Katemba akiongea na waandishi wa habari( Hawapo pichani)kuhusu juhudi zinazofanywa na serikali katika kuyajengea mazingira mazuri ya ufanyaji kazi Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) ili kuongeza ushiriki na kutoa mchango wao katika kuleta maendeleo katika  jamii, Wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jiijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Saadani: Hifadhi ya kipekee nchini iliyokosa watalii

Unapozungumzia hifadhi 16 za taifa, Mbuga ya Saadani siyo maarufu masikioni mwa Watanzania wengi.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Wagombea wenye dhamira tofauti

Jabir Idrissa JENGA picha kwa haya: Wakati mgombea urais mshindani mkubwa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Maalim Seif Shariff Hamad anahutubia mkutano wa kampeni yake, Jimbo la Mpendae, ghafla gari iliyofunga maspika inapita. Inapita uwanjani Kwa […]

The post Wagombea wenye dhamira tofauti appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Vita ya ujangili inataka dhamira’

>Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema inahitajika dhamira ya kweli kutoka kwa wadau wote katika kutekeleza Azimio la Arusha la kukabiliana na ujangili pamoja na kuendeleza hifadhi za wanyama katika nchi za Afrika Mashariki na Kusini mwa Ikweta.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dhamira ya kweli iwepo kufufua reli

KATIKA gazeti hili toleo la jana kulikuwa na habari inayoeleza dhamira ya serikali ya kununua vichwa vipya 13 vya treni, mabehewa 22 ya abiria na mengine 204 kwa ajili ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wassira: Bado nina dhamira ya urais

WAZIRI wa Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wassira, amesema bado ana nia ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwakani. Kauli hiyo, aliitoa jana wakati akifanya mahojiano kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani