Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Modewji blog inakutakia furaha njema ya siku ya Ijumaa kuu leo na Pasaka njema

165548_472294617863_703227863_5902108_5247941_n

Zainul A. Mzige, Operation Manager, MODEWJI BLOG, www.modewjiblog.com +255714940992. IMG_20150320_171213 Andrew Chale, Online Editor, Chief Reporter, MO BLOG, www.modewjiblog.com +255719076376

Msomaji wa Modewji blog leo ni siku ya Ijumaa kuu  mtandao huu unaungana  na wakristo wote Duniani katika kuadhimisha siku hii pamoja na sikukuu ya Pasaka.

Mtandao huu unawatakia Sikukuu njema, sherehe njema na tuiadhimishe kwa amani.

Modewji blog pia inapenda kuwakumbusha wazazi kuwa waangalifu na watoto wadogo...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

TIMU YA VIJIMAMBO INAKUTAKIA EID NJEMA

Timu ya Vijimambo inawatakiwa Eid njema wadau wote kote Duniani.

 

5 years ago

CCM Blog

MUFTI WA TANZANIA AWATAKIAKIA WAISLAMU WOTE DUNIANI SIKU KUU NJEMA

  Mufti wa Tanzania Abubabakary Zubery

Napenda kuchukua fursa hii kusema kuwa mwezi umeonekana maeneo mbalimbali ikiwemo Lam, Mombasa,  Nawapa mkono wa Eid el fitri Waislamu kote Duniani ambao wamehitimisha Ibada ya mwezi mzima wa mfungo mtukufu wa Ramadhan. Pia napenda kuchukua fulsa hii kuwakumbusha kuchukua tahadhari wote tukumbuke maagizo tunayo pewa na Serikali kupitia Wataalamu wake wa Afya kuendelea kuchukua maelekezo juu ya ugonjwa hatari wa CORONA. Na 
Kupitia maombi yenu Mwenyezi...

 

11 years ago

GPL

5 years ago

CCM Blog

BLOG YA TAIFA YA CCM INAWATAKIA EID EL FITR NJEMA

Msimamizi Mkuu wa Blog ya Taifa ya CCM na Timu yote ya Waandishi wa Blog hii, wanawatakia Sikuu Njema ya Eid Elfitr huku wakiwakumbusha kuisherehekea kwa amani na utulivu huku mkikumbuka kuchukua tahadhari zote katika kujilinda na Corona, maana bado ipo

 

11 years ago

Mwananchi

Tunawatakia Pasaka njema Watanzania

Wakristo nchini, leo wanaungana na wenzao duniani kusherehekea Sikukuu ya Pasaka ya kukumbuka ufufuko wa Yesu Kristo zaidi ya miaka 2,000 iliyopita.

 

10 years ago

Michuzi

IBADA YA IJUMAA KUU YA PASAKA KATIKA KANISA LA KKKT AZANIA FRONT JIJINI DAR LEO

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akiwa ameungana na Waumini wengine katika Ibada ya Ijumaa Kuu ya Pasaka iliyofanyika kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Azania Front la Dar es Salaam leo.Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Alex Malasusa akiongoza Ibada ya Ijumaa Kuu ya Pasaka iliyofanyika leo.
Sehemu ya Waumini wa Kanisa la KKKT Azania Front jijini Dar es Salaam, wakiwa kwenye Ibada ya Ijumaa Kuu leo.Yesu...

 

10 years ago

Vijimambo

HABARI NJEMA, WATANZANIA TUSICHOKE KUPIGA KURA ZIMEBAKI SIKU CHACHE #Happiness4MissWorld

10614252_800789863300579_6044778737800766960_nNEW TOP 10 on the Miss World People's Choice!AUSTRALIABARBADOSHAITIINDIANEPAL NETHERLANDS PHILIPPINES SOUTH AFRICA TANZANIA - NEW ENTRY!THAILANDTANZANIA jumps up into the top 10 today, with Russia dropping out!Voting closes 15:30 on Sunday 14th December, so there is only 96 to go!Download the Miss World App for free to register your vote now!http://www.missworld.com/TheCompetition/TheMissWorldMobileApp/10846445_10152970401239974_5092824672817370692_n

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani