Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunawatakia Pasaka njema Watanzania

Wakristo nchini, leo wanaungana na wenzao duniani kusherehekea Sikukuu ya Pasaka ya kukumbuka ufufuko wa Yesu Kristo zaidi ya miaka 2,000 iliyopita.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

10 years ago

Dewji Blog

Modewji blog inakutakia furaha njema ya siku ya Ijumaa kuu leo na Pasaka njema

165548_472294617863_703227863_5902108_5247941_n

Zainul A. Mzige, Operation Manager, MODEWJI BLOG, www.modewjiblog.com +255714940992. IMG_20150320_171213 Andrew Chale, Online Editor, Chief Reporter, MO BLOG, www.modewjiblog.com +255719076376

Msomaji wa Modewji blog leo ni siku ya Ijumaa kuu  mtandao huu unaungana  na wakristo wote Duniani katika kuadhimisha siku hii pamoja na sikukuu ya Pasaka.

Mtandao huu unawatakia Sikukuu njema, sherehe njema na tuiadhimishe kwa amani.

Modewji blog pia inapenda kuwakumbusha wazazi kuwa waangalifu na watoto wadogo...

 

10 years ago

GPL

TUNAWATAKIA SIKUKUU NJEMA YA UHURU

Rais Dk. Jakaya Kikwete. Mkurugenzi Mtendaji na wafanyakazi wote wa Kampuni ya Global Publishers & General Enterprises Ltd wanawatakia Watanzania wote heri ya sikukuu ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara. Msisitizo wetu ni kwamba tudumishe amani na mshikamano chini ya kiongozi wetu, Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Mungu ibariki Tanzania.

 

9 years ago

Mwananchi

Tunawatakia Watanzania heri ya Krismasi

Haleluya, Bwana amezaliwa! Hiyo, ni salamu mahsusi au maalumu ambayo waumini wa Kikristo kote duniani wanatakiana leo, inapofanyika sikukuu ya Krismasi.

 

9 years ago

Dewji Blog

Modewjiblog: Tunawatakia upigaji kura mwema Watanzania wote, Amani yetu, Taifa letu !

Tanzania_flag_map

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[HARARE-ZIMBABWE]

Jumapili ya leo Oktoba 25, 2015, Taifa la Tanzania linafanya Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge pamoja na kumpata Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika hatua ambayo wananchi watapiga kura ya NDIO kwa mgombea wanayemtaka wao. Kwa kuzingatia amani na utulivu wetu, Mtandao wa Modewjiblog inaungana na Watanzania wote popote walipo kutakia kila lakheri katika siku hii muhimu na ya kihistoria ambayo utokea mara moja kila...

 

10 years ago

Dewji Blog

Habari njema, watanzania tusichoke kupiga kura #Happiness4MissWorld

10614252_800789863300579_6044778737800766960_n

NEW TOP 10 on the Miss World People’s Choice!

AUSTRALIA
BARBADOS
HAITI
INDIA
NEPAL
NETHERLANDS
PHILIPPINES
SOUTH AFRICA
TANZANIA – NEW ENTRY!
THAILAND

TANZANIA jumps up into the top 10 today, with Russia dropping out!

Voting closes 15:30 on Sunday 14th December, so there is only 96 to go!

Download the Miss World App for free to register your vote now!

http://www.missworld.com/TheCompetition/TheMissWorldMobileApp/

10846445_10152970401239974_5092824672817370692_n

 

10 years ago

Vijimambo

HABARI NJEMA, WATANZANIA TUSICHOKE KUPIGA KURA ZIMEBAKI SIKU CHACHE #Happiness4MissWorld

10614252_800789863300579_6044778737800766960_nNEW TOP 10 on the Miss World People's Choice!AUSTRALIABARBADOSHAITIINDIANEPAL NETHERLANDS PHILIPPINES SOUTH AFRICA TANZANIA - NEW ENTRY!THAILANDTANZANIA jumps up into the top 10 today, with Russia dropping out!Voting closes 15:30 on Sunday 14th December, so there is only 96 to go!Download the Miss World App for free to register your vote now!http://www.missworld.com/TheCompetition/TheMissWorldMobileApp/10846445_10152970401239974_5092824672817370692_n

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani