Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Habari njema, watanzania tusichoke kupiga kura #Happiness4MissWorld

10614252_800789863300579_6044778737800766960_n

NEW TOP 10 on the Miss World People’s Choice!

AUSTRALIA
BARBADOS
HAITI
INDIA
NEPAL
NETHERLANDS
PHILIPPINES
SOUTH AFRICA
TANZANIA – NEW ENTRY!
THAILAND

TANZANIA jumps up into the top 10 today, with Russia dropping out!

Voting closes 15:30 on Sunday 14th December, so there is only 96 to go!

Download the Miss World App for free to register your vote now!

http://www.missworld.com/TheCompetition/TheMissWorldMobileApp/

10846445_10152970401239974_5092824672817370692_n

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

HABARI NJEMA, WATANZANIA TUSICHOKE KUPIGA KURA ZIMEBAKI SIKU CHACHE #Happiness4MissWorld

10614252_800789863300579_6044778737800766960_nNEW TOP 10 on the Miss World People's Choice!AUSTRALIABARBADOSHAITIINDIANEPAL NETHERLANDS PHILIPPINES SOUTH AFRICA TANZANIA - NEW ENTRY!THAILANDTANZANIA jumps up into the top 10 today, with Russia dropping out!Voting closes 15:30 on Sunday 14th December, so there is only 96 to go!Download the Miss World App for free to register your vote now!http://www.missworld.com/TheCompetition/TheMissWorldMobileApp/10846445_10152970401239974_5092824672817370692_n

 

10 years ago

Habarileo

Watanzania milioni 24 kupiga kura

Mwenyekiti wa NEC, Jaji Mstaafu Damian Lubuva.OFISI ya Taifa ya Takwimu imetoa makadirio ya idadi ya watu wanaotarajiwa kupiga kura katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2015 ambao wanakisiwa kuwa watafikia milioni 24.2 nchi nzima.

 

9 years ago

Mwananchi

Watanzania wanaokadiriwa kupiga kura Oktoba 25

Taarifa hizo ni makadirio ya idadi ya watu wanaostahili kupiga kura katika majimbo ya uchaguzi Tanzania kwa mwaka 2015.

 

9 years ago

Mwananchi

Watanzania wanaokadiriwa kupiga Kura Octoba 25

Taarifa hizo ni makadirio ya idadi ya watu wanaostahili kupiga kura katika majimbo ya uchaguzi Tanzania kwa mwaka 2015. Katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, idadi ya

 

10 years ago

BBCSwahili

Watanzania waishio nje kupiga kura

Serikali ya Tanzania imedokeza kuna uwezekano kwa Watanzania waishio nje kupiga kura katika uchaguzi mkuu Mwezi Oktoba.

 

9 years ago

Dewji Blog

Modewjiblog: Hongera watanzania kupiga kura kwa amani na utulivu, sasa tujiandae kupokea matokeo!

Tanzania-Flag-Wallpapers

Na Andrew Chale, Modewjiblog

Jumapili ya Oktoba 25, 2015, Taifa la Tanzania tumeshuhudia wananchi wake wakipiga kura kuwachagua viongozi  katika Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge pamoja na kumpata Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Uchaguzi huu wa amani na huru umeweza kufanyika katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania, sasa hatua inayofuata ni ya Mamlaka husika ambao ni Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC na ZEC) kwa upande wa Zanzibar ambao ndio wenye majukumu ya kutoa...

 

9 years ago

Mwananchi

Waliopoteza kadi zao za kupigia kura hawataruhusiwa kupiga kura

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema wapiga kura waliopoteza kadi zao za kupigia kura hawataruhusiwa kupiga kura katika uchaguzi utakaofanyika nchini kote siku ya Jumapili.

 

11 years ago

Michuzi

Tume ya Taifa ya Uchaguzi yasisitiza wapiga kura ndani ya Jimbo la Chalinze wajitokeze kwa wingi na kwenda kupiga kura

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva (wa kwanza kushoto) akitoa risala siku moja kabla ya ya kupiga kura katika uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Chalinze kwa waadishi wa habari leo katika ukumbi halmashauri ya mji wa Bagamoyo. Katikati ni Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Hamid Mahmuod na wa kwanza kulia ni Mjumbe wa Tume hiyo Prof. Amon Chaligha. Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva (wa kwanza kulia)...

 

9 years ago

Vijimambo

WASIOONA WATISHIA KUTOMPIGIA KURA MWANASIASA AMBAYE HAJAWAWEKEA MAZINGIRA RAFIKI YA WAO KUPIGA KURA WAKATI WA UCHAGUZI MKUU

 Mwenyekiti wa Chama cha Wasioona Tanzania (TLB), Luis Benedicto (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu wasiona kutengwa katika mchakato mzima wa uchaguzi kuanzia kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa chama hicho, Jonas Lubago na Katibu Mkuu wa TLB, Emmanuel Simon Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakiwa katika mkutano huo.
Na Dotto...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani