Watanzania milioni 24 kupiga kura
OFISI ya Taifa ya Takwimu imetoa makadirio ya idadi ya watu wanaotarajiwa kupiga kura katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2015 ambao wanakisiwa kuwa watafikia milioni 24.2 nchi nzima.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM12 Dec
Watu milioni 11 tu kupiga kura J’pili
Katika uchaguzi huo, watakaochaguliwa ni wenyeviti wa vijiji na wajumbe wa halmashauri za vijiji, wenyeviti wa mitaa na wajumbe wa kamati za mitaa na wenyeviti wa vitongoji.
Mkoa wa Katavi umeongoza kwa kuandikisha asilimia 78 ya wapigakura huku mkoa wa Dar es Salaam umetajwa kufanya vibaya katika kuandikisha wapiga kura,...
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Watanzania waishio nje kupiga kura
9 years ago
Mwananchi04 Sep
Watanzania wanaokadiriwa kupiga Kura Octoba 25
9 years ago
Mwananchi17 Sep
Watanzania wanaokadiriwa kupiga kura Oktoba 25
10 years ago
Dewji Blog11 Dec
Habari njema, watanzania tusichoke kupiga kura #Happiness4MissWorld
NEW TOP 10 on the Miss World People’s Choice!
AUSTRALIA
BARBADOS
HAITI
INDIA
NEPAL
NETHERLANDS
PHILIPPINES
SOUTH AFRICA
TANZANIA – NEW ENTRY!
THAILAND
TANZANIA jumps up into the top 10 today, with Russia dropping out!
Voting closes 15:30 on Sunday 14th December, so there is only 96 to go!
Download the Miss World App for free to register your vote now!
http://www.missworld.com/TheCompetition/TheMissWorldMobileApp/
10 years ago
Vijimambo11 Dec
HABARI NJEMA, WATANZANIA TUSICHOKE KUPIGA KURA ZIMEBAKI SIKU CHACHE #Happiness4MissWorld
![10614252_800789863300579_6044778737800766960_n](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/10614252_800789863300579_6044778737800766960_n.jpg)
![10846445_10152970401239974_5092824672817370692_n](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/10846445_10152970401239974_5092824672817370692_n.png)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fqx6KUK-GfE/VZvay-k9RdI/AAAAAAAHnkk/mdbvjlqUoUY/s72-c/unnamed%2B%252884%2529.jpg)
JK ajiandikisha Kupiga kura kwa kutumia BVR kijijini Msoga leo, ZAIDI YA WATU MILIONI 11 WAJIANDIKISHA NCHINI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZNt8FIknlRMZ1yTqjSCybQkv*VbKRBp3tZ8I9CY1sg1R5Q-OD7-rCalB-vkjPOIeTMaJu7-zZgtU6gy86AKX33MvmQOAadHo/22.jpg?width=650)
JK AJIANDIKISHA KUPIGA KURA KWA KUTUMIA BVR KIJIJINI MSOGA JANA, ZAIDI YA WATU MILIONI 11 WAJIANDIKISHA NCHINI
9 years ago
Dewji Blog26 Oct
Modewjiblog: Hongera watanzania kupiga kura kwa amani na utulivu, sasa tujiandae kupokea matokeo!
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Jumapili ya Oktoba 25, 2015, Taifa la Tanzania tumeshuhudia wananchi wake wakipiga kura kuwachagua viongozi katika Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge pamoja na kumpata Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Uchaguzi huu wa amani na huru umeweza kufanyika katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania, sasa hatua inayofuata ni ya Mamlaka husika ambao ni Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC na ZEC) kwa upande wa Zanzibar ambao ndio wenye majukumu ya kutoa...