TUNAWATAKIA SIKUKUU NJEMA YA UHURU
Rais Dk. Jakaya Kikwete. Mkurugenzi Mtendaji na wafanyakazi wote wa Kampuni ya Global Publishers & General Enterprises Ltd wanawatakia Watanzania wote heri ya sikukuu ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara. Msisitizo wetu ni kwamba tudumishe amani na mshikamano chini ya kiongozi wetu, Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Mungu ibariki Tanzania.
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2PuS3Ib8L8ZXBsnSXGuooCpuHL3dDxVHGrjLPy79Z7JbtIChqihilIm-VllvxRU7U1eouvq1q1h*HpoRxSbU7jC/eastersundaygreetings_1396652099.jpg?width=750)
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Tunawatakia Pasaka njema Watanzania
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2bAeC7qE2V8/VFxpl0kFatI/AAAAAAAGv6s/JV7ZHMhfmTs/s72-c/unnamed%2B(1).png)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/eid.jpg)
SIKUKUU NJEMA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-iXxKcA36kog/XspOkxKKKHI/AAAAAAACLbE/tBUb_TK07oEw4nXXN_sQR9HGC6Awhkn6ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200524-WA0012.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zRWsarh09T8/VIaILnR0ZyI/AAAAAAAG2Jw/_8HEn0xO6rA/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
LEO NI SIKUKUU YA MIAKA 53 YA UHURU
![](http://1.bp.blogspot.com/-zRWsarh09T8/VIaILnR0ZyI/AAAAAAAG2Jw/_8HEn0xO6rA/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5cdyfzsB174/VIaINCBmjUI/AAAAAAAG2J4/RhdJph7M5jY/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Watanzania waadhimisha sikukuu ya UHURU wakiwa na zana za usafi mikononi
Leo ni siku muhimu ya 9, Desemba, Tanzania ikisheherekea mwaka wa 54 wa uhuru wa Tanganyika tangu upatikane kutoka kwa Muingereza mwaka 1961.
Kama ilivyo kawaida miaka 53 iliyopita tulikuwa tukisherekea siku kuu hii kwa maadhimisho ya namna tofauti , ikiwa ni pamoja na sherehe zinazoandaliwa na serikali ya muungano, lakini kwa mwaka huu ndani ya uongozi mpya wa awamu ya tano shughuli hii imekuwa ya tofauti na ya kipekee katika kutilia mkazo suala la usafi nchi nzima.
Watanzania wengi kutoka...
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Modewji blog inakutakia furaha njema ya siku ya Ijumaa kuu leo na Pasaka njema
![IMG_20150320_171213](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_20150320_171213-e1428037954863.jpg)
Msomaji wa Modewji blog leo ni siku ya Ijumaa kuu mtandao huu unaungana na wakristo wote Duniani katika kuadhimisha siku hii pamoja na sikukuu ya Pasaka.
Mtandao huu unawatakia Sikukuu njema, sherehe njema na tuiadhimishe kwa amani.
Modewji blog pia inapenda kuwakumbusha wazazi kuwa waangalifu na watoto wadogo...
9 years ago
MichuziKOMBE AMUUNGA MKONO RAIS MAGUFULI KWA KUWAPATIA JAMBO LEO FAGIO ZA USAFI SIKUKUU YA UHURU