Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SIKUKUU NJEMA

MKURUGENZI Mtendaji wa Global Publishers Ltd, menejimenti na wafanyakazi wote, wanawatakia  kila la heri Waislam na Watanzania wote katika kuadhimisha Sikukuu IDD EL HAJJI  katika kuimarisha imani yao kwa Mwenyezi Mungu na kuongeza upendo baina yao na binadamu wengine duniani.

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TUNAWATAKIA SIKUKUU NJEMA YA UHURU

Rais Dk. Jakaya Kikwete. Mkurugenzi Mtendaji na wafanyakazi wote wa Kampuni ya Global Publishers & General Enterprises Ltd wanawatakia Watanzania wote heri ya sikukuu ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara. Msisitizo wetu ni kwamba tudumishe amani na mshikamano chini ya kiongozi wetu, Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Mungu ibariki Tanzania.

 

10 years ago

Dewji Blog

Modewji blog inakutakia furaha njema ya siku ya Ijumaa kuu leo na Pasaka njema

165548_472294617863_703227863_5902108_5247941_n

Zainul A. Mzige, Operation Manager, MODEWJI BLOG, www.modewjiblog.com +255714940992. IMG_20150320_171213 Andrew Chale, Online Editor, Chief Reporter, MO BLOG, www.modewjiblog.com +255719076376

Msomaji wa Modewji blog leo ni siku ya Ijumaa kuu  mtandao huu unaungana  na wakristo wote Duniani katika kuadhimisha siku hii pamoja na sikukuu ya Pasaka.

Mtandao huu unawatakia Sikukuu njema, sherehe njema na tuiadhimishe kwa amani.

Modewji blog pia inapenda kuwakumbusha wazazi kuwa waangalifu na watoto wadogo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwaresma njema

WAKRISTO wote ulimwenguni jana walianza mfungo wa siku 40 wa Kwaresma, ambao huwapa waumini muda wa kufanya tafakuri na kutubu dhambi zao. Tunaandika tahariri hii si kwa nia ya kuhubiri,...

 

11 years ago

GPL

10 years ago

Tanzania Daima

Idd El Hajj njema

WAISLAMU nchini leo wanasherehekea Sikukuu ya Idd el- Hajj ambayo wahujaji walikuwa katika mji wa Makka wakihiji Kuhiji ni nguzo ya tano katika Uislamu, lakini nguzo hii hutekelezwa na watu...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Tanzania Daima

Habari njema kwa wastaafu

SERIKALI imeongeza kima cha chini cha malipo ya pensheni kwa wastaafu kuanzia mwaka wa fedha ujao. Kwa sasa wastaafu wanalipwa pensheni ya sh 50,000 kwa mwezi, ambazo hulipwa kila baada...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunatawakia Idd el Fitri njema

WAISLAMU nchini kesho au keshokutwa watasherehekea Sikuuu ya Idd el- Fitri ambayo husherehekewa mara baada ya kumalizika kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani. Sisi Tanzania Daima Jumapili, tunapenda kuchukua fursa hii...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani