Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Qaswida~ Sunnah Njema

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Modewji blog inakutakia furaha njema ya siku ya Ijumaa kuu leo na Pasaka njema

165548_472294617863_703227863_5902108_5247941_n

Zainul A. Mzige, Operation Manager, MODEWJI BLOG, www.modewjiblog.com +255714940992. IMG_20150320_171213 Andrew Chale, Online Editor, Chief Reporter, MO BLOG, www.modewjiblog.com +255719076376

Msomaji wa Modewji blog leo ni siku ya Ijumaa kuu  mtandao huu unaungana  na wakristo wote Duniani katika kuadhimisha siku hii pamoja na sikukuu ya Pasaka.

Mtandao huu unawatakia Sikukuu njema, sherehe njema na tuiadhimishe kwa amani.

Modewji blog pia inapenda kuwakumbusha wazazi kuwa waangalifu na watoto wadogo...

 

10 years ago

Michuzi

Qaswida

Qaswida

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

Qaswida ~ Wajibu wa Wanaume

Qaswida ~ Wajibu wa Wanaume

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

GPL

MKALI WA NYIMBO ZA QASWIDA ATEMBELEA GLOBAL TV ONLINE

Feisal Abdul Swaleh maarufu kwa jina la Wahizr au Fei akifanyiwa mahojiano na Global TV Online leo. MWANAMUZIKI wa Qaswida, Feisal Abdul Swaleh maarufu kwa jina la Wahizr au Fei leo ametembelea studio za Global TV Online zilizopo Mwenge-Bamaga, Dar na kufanyiwa mahojiano na tv hiyo. Fei katika pozi na mmoja wa marafiki zake. Fei ambaye pia ni mwalimu wa Madrasa amefunguka mambo mbalimbali katika muziki wa Qaswida ikiwemo...

 

10 years ago

Michuzi

TAMASHA LA QASWIDA SASA KUFANYIKA MEI 31 JIJINI DAR

 Pichani kati ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Ulamaa Qaswida Promotion Centre,Jumanne Ali Ligopora   akizungumza na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Traveltine Magomeni jijini Dar es salaam kuhusiana na tamasha la Qaswida,linalotarajiwa kufanyika kwenye viwanja vya shule ya Sekondari ya Benjamin Mkapa,Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh. Bernald Membe.Kulia ni Sheikh Muharami Pembe na kushoto ni Ustaadhi Jumanne Gereza.  Mmoja wa watakaoshiriki...

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri Bernard Membe kuwa mgeni rasmi tamasha la Qaswida Mei 25

Q1

Jumanne Ali Ligopora Mkurugenzi wa Taasisi ya Ulamaa Qaswida Promotion Centre akizungumza na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Traveltine Magomeni jijini Dar es salaam wakati akizungumzia mashindano ya kuimba Qaswida yatakayofanyika kwenye viwanja vya shule ya Sekondari ya Benjamin Mkapa mgeni rasmi akiwa Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh. Bernald Membe.Tamasha hilo litafanyikaMei 25 kuanzia saa saba mchana, Kulia ni Sheikh Muharami Pembe na kushoto ni Ustaadhi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani