Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Qaswida~ Subira

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Qaswida

Qaswida

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Michuzi

Qaswida ~ Wajibu wa Wanaume

Qaswida ~ Wajibu wa Wanaume

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

GPL

MKALI WA NYIMBO ZA QASWIDA ATEMBELEA GLOBAL TV ONLINE

Feisal Abdul Swaleh maarufu kwa jina la Wahizr au Fei akifanyiwa mahojiano na Global TV Online leo. MWANAMUZIKI wa Qaswida, Feisal Abdul Swaleh maarufu kwa jina la Wahizr au Fei leo ametembelea studio za Global TV Online zilizopo Mwenge-Bamaga, Dar na kufanyiwa mahojiano na tv hiyo. Fei katika pozi na mmoja wa marafiki zake. Fei ambaye pia ni mwalimu wa Madrasa amefunguka mambo mbalimbali katika muziki wa Qaswida ikiwemo...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

CUF ya subira na uzembe

Na Rashid Abdallah Miezi mitatu nyuma, asubuhi ya saa tano nilikuwa nimepanga foleni kusubiri kitambulisho , sasa ikaonekana mstari wetu hausogii hata kidogo, mmoja wa wenzetu akauliza; vipi mbona hatusogei?, Mwengine akamjibu kuwa “vuta subira tutafika […]

The post CUF ya subira na uzembe appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Habarileo

Pinda ataka subira

Waziri Mkuu, Mizengo PindaWAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema suala la kumtaka ajiuzulu wadhifa wake si jipya, lakini akasema ni vyema kusubiri mjadala wa Bunge wa sakata la Tegeta Escrow ufike mwisho, ndipo hatua stahiki zitajulikana.

 

10 years ago

Michuzi

TAMASHA LA QASWIDA SASA KUFANYIKA MEI 31 JIJINI DAR

 Pichani kati ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Ulamaa Qaswida Promotion Centre,Jumanne Ali Ligopora   akizungumza na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Traveltine Magomeni jijini Dar es salaam kuhusiana na tamasha la Qaswida,linalotarajiwa kufanyika kwenye viwanja vya shule ya Sekondari ya Benjamin Mkapa,Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh. Bernald Membe.Kulia ni Sheikh Muharami Pembe na kushoto ni Ustaadhi Jumanne Gereza.  Mmoja wa watakaoshiriki...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani