Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wagombea wenye dhamira tofauti

Jabir Idrissa JENGA picha kwa haya: Wakati mgombea urais mshindani mkubwa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Maalim Seif Shariff Hamad anahutubia mkutano wa kampeni yake, Jimbo la Mpendae, ghafla gari iliyofunga maspika inapita. Inapita uwanjani Kwa […]

The post Wagombea wenye dhamira tofauti appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Hawatutaki wenye fikra tofauti

NI kawaida yangu kila Ijumaa kutembelea saluni iliyo jirani na nyumbani kwangu pale Magomeni, Dar

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Habarileo

‘Epukeni wagombea wenye kutoa fedha’

WATANZANIA wametakiwa kujihadhari na wanasiasa wanaowania urais, ubunge na udiwani kwa kutumia fedha ili kuepusha taifa kuongozwa na watu wenye nguvu za fedha, badala ya kusimamia Katiba ya nchi.

 

9 years ago

Habarileo

Askofu: Msichague wagombea wenye makandokando mengi

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Dk Barnabas Mtokambali, amewataka Watanzania kumkataa mgombea mwenye makandokando ya ufisadi na rushwa na kuelekeza nguvu kwenye masanduku ya kura ili wezi na mafisadi wasipate uongozi.

 

9 years ago

Habarileo

Haki za Binadamu wang’ang’ania uadilifu wagombea wenye kashfa

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimeitaka Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, kutoa orodha ya viongozi wa umma wanaogombea nafasi mbalimbali katika Uchaguzi Mkuu, ambao walishahojiwa na kuwekwa hatiani kutokana na maadili yao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tofauti kati ya wenye nacho na wasio nacho hatari kwa amani

TANZANIA imepata kusifika duniani kwa amani iliyopo miongoni mwa wananchi na ukarimu kwa wageni. Wanapokuja hapa kwa madhumuni mbalimbali binafsi, kwa kiasi kikubwa ni kivutio kikubwa kimojawapo katika masuala ya...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Vita ya ujangili inataka dhamira’

>Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema inahitajika dhamira ya kweli kutoka kwa wadau wote katika kutekeleza Azimio la Arusha la kukabiliana na ujangili pamoja na kuendeleza hifadhi za wanyama katika nchi za Afrika Mashariki na Kusini mwa Ikweta.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wassira: Bado nina dhamira ya urais

WAZIRI wa Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wassira, amesema bado ana nia ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwakani. Kauli hiyo, aliitoa jana wakati akifanya mahojiano kwenye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dhamira ya kweli iwepo kufufua reli

KATIKA gazeti hili toleo la jana kulikuwa na habari inayoeleza dhamira ya serikali ya kununua vichwa vipya 13 vya treni, mabehewa 22 ya abiria na mengine 204 kwa ajili ya...

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete apongezwa kwa dhamira ya kutokomeza umasikini

Rais Jakaya KikweteHALMASHAURI ya wilaya ya Sikonge mkoani Tabora imempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa jitihada na dhamira yake ya dhati ya kupambana na umaskini hapa nchini kupitia mpango wa kuzinusuru na kuziwezesha kaya masikini kiuchumi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani