Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Askofu: Msichague wagombea wenye makandokando mengi

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Dk Barnabas Mtokambali, amewataka Watanzania kumkataa mgombea mwenye makandokando ya ufisadi na rushwa na kuelekeza nguvu kwenye masanduku ya kura ili wezi na mafisadi wasipate uongozi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Wagombea wenye dhamira tofauti

Jabir Idrissa JENGA picha kwa haya: Wakati mgombea urais mshindani mkubwa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Maalim Seif Shariff Hamad anahutubia mkutano wa kampeni yake, Jimbo la Mpendae, ghafla gari iliyofunga maspika inapita. Inapita uwanjani Kwa […]

The post Wagombea wenye dhamira tofauti appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

Askofu ataka viongozi wa dini waache upambe kwa wagombea

Askofu Mkuu wa Kanisa la International Evengalist, Arumeru – Arusha, Elihudi Isangya amewataka viongozi wa dini nchini, kuviachia vyama vya siasa kuwateua wagombea wao wa urais katika Uchaguzi Mkuu ujao badala ya kuwa wasemaji wa wanasiasa.

 

10 years ago

Habarileo

‘Epukeni wagombea wenye kutoa fedha’

WATANZANIA wametakiwa kujihadhari na wanasiasa wanaowania urais, ubunge na udiwani kwa kutumia fedha ili kuepusha taifa kuongozwa na watu wenye nguvu za fedha, badala ya kusimamia Katiba ya nchi.

 

10 years ago

Vijimambo

DKT.MENGI AUNGANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWENYE CHAKULA CHA MCHANA ALICHOWAANDALIA

Watoto wenye Albinism, wakipata "msosi", wakati wa hafla ya chakula cha mchana kila mwaka inayoandaliwa na Mwenyekiti Mtendaji wa IPP, Dkt. Reginald Mengi, kwa watu wenye ulemavu. Hafla ya mwaka huu ilifanyika pale ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, siku ya Jumapili Januari 25, 2015. Kwa uchache watu 4,000 walihudhuria hafla hiyo.MWENYEKITI Mtendaji wa IPP, Dkt. Reginald Mengi, Jumapili Januari 26, 2015, kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, aliwaalika watu...

 

11 years ago

Habarileo

Askofu akemea unabii wenye nia mbaya bungeni

Askofu wa Katoliki Jimbo la Dodoma, Mhashamu Gervas NyaisongaASKOFU wa Kanisa Katoliki Jimbo la Dodoma, Mhashamu Gervas Nyaisonga, ameongoza Ibada ya kuombea Bunge Maalumu la Katiba, ili Mungu awezeshe wajumbe wa Bunge hilo kuwawakilisha Watanzania vyema.

 

9 years ago

Habarileo

Haki za Binadamu wang’ang’ania uadilifu wagombea wenye kashfa

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimeitaka Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, kutoa orodha ya viongozi wa umma wanaogombea nafasi mbalimbali katika Uchaguzi Mkuu, ambao walishahojiwa na kuwekwa hatiani kutokana na maadili yao.

 

10 years ago

Vijimambo

MKE WA BILLIONEA MENGI K-LYIN AAMUA KUBADILI JINA MARA BAADA YA KUFUNGA NDOA NA MH. MENGI

She changed her name from Jacqueline Ntuyabaliwe to Jacqueline Mengi....... "Life isn't happening to you; life is responding to you."-this is her new tagline on Instagram 

 

5 years ago

BBCSwahili

Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Mkewe Reginald Mengi adai kuzuiwa kuona kaburi la mumewe Tanzania

Mwaka mmoja baada ya kifo cha bilionea wa Tanzania Reginald Mangi, tayari kumeibuka mgogoro katika familia yake, baada ya mkewe Jacqueline Mengi kudai kwamnba amenyimwa kuona kaburi la mumewe.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani