Askofu: Msichague wagombea wenye makandokando mengi
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Dk Barnabas Mtokambali, amewataka Watanzania kumkataa mgombea mwenye makandokando ya ufisadi na rushwa na kuelekeza nguvu kwenye masanduku ya kura ili wezi na mafisadi wasipate uongozi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar18 Sep
Wagombea wenye dhamira tofauti
Jabir Idrissa JENGA picha kwa haya: Wakati mgombea urais mshindani mkubwa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Maalim Seif Shariff Hamad anahutubia mkutano wa kampeni yake, Jimbo la Mpendae, ghafla gari iliyofunga maspika inapita. Inapita uwanjani Kwa […]
The post Wagombea wenye dhamira tofauti appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Mwananchi07 Apr
Askofu ataka viongozi wa dini waache upambe kwa wagombea
10 years ago
Habarileo12 Aug
‘Epukeni wagombea wenye kutoa fedha’
WATANZANIA wametakiwa kujihadhari na wanasiasa wanaowania urais, ubunge na udiwani kwa kutumia fedha ili kuepusha taifa kuongozwa na watu wenye nguvu za fedha, badala ya kusimamia Katiba ya nchi.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-aNMh6gpjISc/VMYTSsH_s4I/AAAAAAAAPXY/qy-IqyhAttU/s72-c/watoto%2Balbinism.jpg)
DKT.MENGI AUNGANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWENYE CHAKULA CHA MCHANA ALICHOWAANDALIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-aNMh6gpjISc/VMYTSsH_s4I/AAAAAAAAPXY/qy-IqyhAttU/s640/watoto%2Balbinism.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RL-QqdXUeoQ/VMYTUmx0K8I/AAAAAAAAPXg/AGdmpg-i-p8/s640/Mengi%2Bdish.jpg)
11 years ago
Habarileo25 Apr
Askofu akemea unabii wenye nia mbaya bungeni
ASKOFU wa Kanisa Katoliki Jimbo la Dodoma, Mhashamu Gervas Nyaisonga, ameongoza Ibada ya kuombea Bunge Maalumu la Katiba, ili Mungu awezeshe wajumbe wa Bunge hilo kuwawakilisha Watanzania vyema.
9 years ago
Habarileo22 Aug
Haki za Binadamu wang’ang’ania uadilifu wagombea wenye kashfa
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimeitaka Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, kutoa orodha ya viongozi wa umma wanaogombea nafasi mbalimbali katika Uchaguzi Mkuu, ambao walishahojiwa na kuwekwa hatiani kutokana na maadili yao.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-393RB8L67uw/VSkgUxufGwI/AAAAAAAAaac/VOBM3x0ayd0/s72-c/jk823.jpg)
MKE WA BILLIONEA MENGI K-LYIN AAMUA KUBADILI JINA MARA BAADA YA KUFUNGA NDOA NA MH. MENGI
![](http://3.bp.blogspot.com/-393RB8L67uw/VSkgUxufGwI/AAAAAAAAaac/VOBM3x0ayd0/s640/jk823.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-riMQ3-qlTZs/VSkgUxBCNEI/AAAAAAAAaaY/zFfW6l5uG-s/s640/jk89.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-AVxR5UeiMtw/VSkgW24dBCI/AAAAAAAAaao/0WxrEGDQO4Q/s640/meng879.jpg)
5 years ago
BBCSwahili23 Feb
Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Mkewe Reginald Mengi adai kuzuiwa kuona kaburi la mumewe Tanzania