Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Mkewe Reginald Mengi adai kuzuiwa kuona kaburi la mumewe Tanzania

Mwaka mmoja baada ya kifo cha bilionea wa Tanzania Reginald Mangi, tayari kumeibuka mgogoro katika familia yake, baada ya mkewe Jacqueline Mengi kudai kwamnba amenyimwa kuona kaburi la mumewe.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Bongo5.com watoa picha maalum za ndoa ya Dk.Reginald Mengi na Jacqueline Ntuyabaliwe, Nchini Mauritius

Mengi-1

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Ni kama ndoto lakini mwishowe inakuwa si ndoto bali ni tukio halisi baada ya awali kuzagaa kwa picha tofautio 9, za Harusi ya Mfanyabiashara na Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Nchini, Dk. Reginald Mengi akiwa katika harusi  na Jacqueline Ntuyabaliwe, huko fukwe za visiwa vya hadhi ya juu Nchini Mauritius.

mengi-3

Mtandao wa Bongo5.com  umekuwa wa kwanza kurusha picha hizo (Exclusive) huku wakiweka ‘brand’ yao kwenye picha hizo ambapo walibandika picha 9 kutoka...

 

10 years ago

Vijimambo

Bifu la Emelda Mwamanga wa Bang magazine na Reginald Mengi Kwa Kuvujisha Picha za Mengi na Familia yake


Mwanamama mjasiriamali, na managing director wa jarida maarufu nchini , Bang magazine , aitwaye Emelda Mwamanga amefunguka kuhusu bifu lake na mfanyabiashara maarufu nchini, Reginald Mengi, kupitia kwenye moja ya mahojiano ya kwenye kipindi maarufu cha Tv Hapa nchini .Mbali na kuelezea experience yake kwenye biashara yake, pia alizungumzia changamoto mbali mbali anazokabiliana nazo kwenye biashara zake, moja ya changamoto alizozielezea ni ile ya kushtakiwa na mfanyabiashara maarufu nchini,...

 

10 years ago

IPPmedia

The MOAT chairman, Dr Reginald Mengi


IPPmedia
The MOAT chairman, Dr Reginald Mengi
IPPmedia
Attorney General George Masaju has assured media stakeholders that their views on the contentious Access to Information Bill, 2015 will not be ignored, insisting that he will ensure an inclusive process. Masaju made the statement yesterday in an exclusive ...

 

11 years ago

Michuzi

REGINALD MENGI FROM BAREFOOT TO $550 MILLION

Reginald Mengi,Meet Reginald Mengi , a Tanzanian conglomerate that owns 11 national newspapers (including Tanzania’s Financial Times, ThisDay and The Guardian), three of East Africa’s most popular television stations (EATV, Capital and ITV), and about ten radio stations. He also owns gold mines and Coca-Cola bottling plants in the country. His companies employ over 5,000 people in Tanzania and rank among the largest corporate taxpayers in Tanzania.  Mengi grew up poor in northern Tanzania, studied...

 

10 years ago

Dewji Blog

Dk. Reginald Mengi azindua TASWE SACCOS jijini Dar

Keki ya Tanzania Saccos For Women Entrepreneurs ( TASWE – Saccoss), ‘WEKEZA UVUNE’.

IMG_3785

Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Media, Dk. Reginald Mengi akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Tanzania Saccos For Women Entrepreneurs ( TASWE – Saccos) uliofanyika katika ukumbi wa St. Peter’s jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mwenyekiti wa Tanzania Saccos For Women Entrepreneurs (TASWE – Saccoss), mama Anna Matinde na  Balozi Mdogo wa India, Baluinder Humpal. (Picha zote na Cathbert Angelo Kajuna wa Kajunason...

 

9 years ago

Michuzi

DKT. REGINALD MENGI KUISADIA HOSPITALI YA RUFAA YA KCMC.


Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP,Dkt Reginald Mengi akizungumza jambo mara baada ya utamburisho wa mkurugenzi huyo.Dkt Mengi akisalimiana na baadhi ya wafanyakazi wa Hosptali ya Rufaa ya KCMC.Mkurugenzi mkuu wa Hosptali ya Rufaa ya KCMC,Dkt Giliard Masenga akizungumza kuhusu ujenzi wa ngazi kuu za kungilia wodini katika hosptali ya Rufaa ya KCMC ambazo ujenzi wake uligharimu kiasi cha sh Mil 30 ,Fedha ambazo zilitolewa na Dkt Mengi.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

10 years ago

Vijimambo

DK. REGINALD MENGI AZINDUA TASWE SACCOSS JIJINI DAR

Keki ya Tanzania Saccos For Women Entrepreneurs ( TASWE - Saccoss), 'WEKEZA UVUNE'
Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Media, Dk. Reginald Mengi akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Tanzania Saccos For Women Entrepreneurs ( TASWE - Saccoss) uliofanyika katika ukumbi wa St. Peter's jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mwenyekiti wa Tanzania Saccos For Women Entrepreneurs (TASWE - Saccoss), mama Anna Matinde na  Balozi Mdogo wa India, Baluinder Humpal. Picha zote na Cathbert Angelp Kajuna wa Kajunason Blog.

 

5 years ago

The Citizen Daily

I have been denied access to my husband’s grave, says Jacqueline Mengi

I have been denied access to my husband’s grave, says Jacqueline Mengi  The Citizen Daily

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani