MKE WA BILLIONEA MENGI K-LYIN AAMUA KUBADILI JINA MARA BAADA YA KUFUNGA NDOA NA MH. MENGI
![](http://3.bp.blogspot.com/-393RB8L67uw/VSkgUxufGwI/AAAAAAAAaac/VOBM3x0ayd0/s72-c/jk823.jpg)
She changed her name from Jacqueline Ntuyabaliwe to Jacqueline Mengi....... "Life isn't happening to you; life is responding to you."-this is her new tagline on Instagram
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili23 Feb
Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Mkewe Reginald Mengi adai kuzuiwa kuona kaburi la mumewe Tanzania
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-QVFvxB3vifE/VW1Gbdk868I/AAAAAAAAu9g/Yxkr0FKnjy4/s72-c/007d2d.jpg)
Bifu la Emelda Mwamanga wa Bang magazine na Reginald Mengi Kwa Kuvujisha Picha za Mengi na Familia yake
![](http://2.bp.blogspot.com/-QVFvxB3vifE/VW1Gbdk868I/AAAAAAAAu9g/Yxkr0FKnjy4/s640/007d2d.jpg)
Mwanamama mjasiriamali, na managing director wa jarida maarufu nchini , Bang magazine , aitwaye Emelda Mwamanga amefunguka kuhusu bifu lake na mfanyabiashara maarufu nchini, Reginald Mengi, kupitia kwenye moja ya mahojiano ya kwenye kipindi maarufu cha Tv Hapa nchini .Mbali na kuelezea experience yake kwenye biashara yake, pia alizungumzia changamoto mbali mbali anazokabiliana nazo kwenye biashara zake, moja ya changamoto alizozielezea ni ile ya kushtakiwa na mfanyabiashara maarufu nchini,...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/1eziden-3.jpg)
EZDEN JUMANNE: NDOA YANGU NA DIDA IMENIFUNZA MENGI
10 years ago
Dewji Blog05 Apr
Bongo5.com watoa picha maalum za ndoa ya Dk.Reginald Mengi na Jacqueline Ntuyabaliwe, Nchini Mauritius
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Ni kama ndoto lakini mwishowe inakuwa si ndoto bali ni tukio halisi baada ya awali kuzagaa kwa picha tofautio 9, za Harusi ya Mfanyabiashara na Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Nchini, Dk. Reginald Mengi akiwa katika harusi na Jacqueline Ntuyabaliwe, huko fukwe za visiwa vya hadhi ya juu Nchini Mauritius.
Mtandao wa Bongo5.com umekuwa wa kwanza kurusha picha hizo (Exclusive) huku wakiweka ‘brand’ yao kwenye picha hizo ambapo walibandika picha 9 kutoka...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/EE5JV3FctkA/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-vnYfGA_kUPQ/VReDrZrNuEI/AAAAAAADd6Y/FaaALmSR6Xg/s72-c/le%2Bmorne.jpg)
NYATU NYATU MENGI NA MKE WAKE KY_LYNN WAMEFUNGA HARUSI KWENYE KISIWA HIKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-vnYfGA_kUPQ/VReDrZrNuEI/AAAAAAADd6Y/FaaALmSR6Xg/s1600/le%2Bmorne.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-OE1BQAA9L-I/VReDrDCNr_I/AAAAAAADd6Q/LnT1lgIANzA/s1600/mengi.jpg)
9 years ago
Global Publishers23 Dec
Baada ya kuachika mara 3 Dida ndoa ya 4!
Na Imelda Mtema
Mtangazaji wa Radio Times FM ya jijini Dar es Salaam, Khadija Shaibu ‘Dida’ anatarajiwa kufunga pingu za maisha siku chache zijazo na mwanaume ambaye mwenyewe hakupenda kumtaja jina, hii ikiwa ni mara yake ya nne kufunga ndoa.
Akizungumza na mwandishi wetu muda mfupi baada ya kuvalishwa pete ya uchumba, Dida anayetangaza Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani, alisema kwa mwanamke kuolewa ni bahati, hivyo anajihesabu kuwa miongoni mwa wanawake waliojaliwa kuwa na kismati.
“Unajua...
10 years ago
Bongo516 Aug
Tunda Man aahirisha kufunga ndoa hadi mwakani baada kuuguliwa na mama yake