Baada ya kuachika mara 3 Dida ndoa ya 4!
Na Imelda Mtema
Mtangazaji wa Radio Times FM ya jijini Dar es Salaam, Khadija Shaibu ‘Dida’ anatarajiwa kufunga pingu za maisha siku chache zijazo na mwanaume ambaye mwenyewe hakupenda kumtaja jina, hii ikiwa ni mara yake ya nne kufunga ndoa.
Akizungumza na mwandishi wetu muda mfupi baada ya kuvalishwa pete ya uchumba, Dida anayetangaza Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani, alisema kwa mwanamke kuolewa ni bahati, hivyo anajihesabu kuwa miongoni mwa wanawake waliojaliwa kuwa na kismati.
“Unajua...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
NORA AFUNGUKA KUACHIKA KWENYE NDOA
10 years ago
Vijimambo
MKE WA BILLIONEA MENGI K-LYIN AAMUA KUBADILI JINA MARA BAADA YA KUFUNGA NDOA NA MH. MENGI



11 years ago
GPL
NDOA YA 3 YA DIDA YAVUNJIKA
11 years ago
GPL
NDOA YA DIDA KUVUNJIKA;
11 years ago
GPL
DIDA NDOA TENA!
11 years ago
GPL
AKU, SIJAVUNJA NDOA YA DIDA –JOKATE
9 years ago
GPL
EZDEN JUMANNE: NDOA YANGU NA DIDA IMENIFUNZA MENGI
11 years ago
GPL
DIDA AZUA TIMBWILI BAADA YA KUNG'ANG'ANIWA NA MWANAMKE MWENZAKE
10 years ago
Vijimambo
CHADEMA WATAMKUMBUKA DK SLAA MARA BAADA YA UCHAGUZI

Jana katika mahojiano na Tiddo Muhando kwenye kipindi cha Funguka, Zitto Kabwe amewaonya wana CHADEMA wanaomtusi Dr Slaa kwa sababu ya Lowassa kuwa watamkumbuka baada ya uchaguzi. Watu makini kama Dr Slaa na Prof Lipumbawanaondoka na watu eti wanamuona Lowassa leo kawa bora?
Zitto kasema hivi sasa CHADEMA msingi wake umekuwa ni "Lowassa" na si kupambana na ufisadi tena. Baada ya uchaguzi hakutakuwa na CHADEMA ile tuliyoifahamu na ndipo hapo watanzania watakapomkumbuka Dr Slaa.