NORA AFUNGUKA KUACHIKA KWENYE NDOA
![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5YhYw70UXYJg7lEgLyBej5wNkRAsv6CAKsSpbe0hoUwVQ3g8iUtdd24HBPFB9DoKUYDbO85oruyGR6*83LboQxCb/nora.jpg?width=650)
Makala: Gladness Mallya BAADA ya kusoma Exclusive Interview ya staa wa filamu za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’, leo katika kona hii tunakuletea mwanadada mkongwe katika ulimwengu wa filamu, Nuru Nassoro ‘Nora’ aliyezaliwa jijini Dar. Mwanadada mkongwe katika ulimwengu wa filamu, Nuru Nassoro ‘Nora’ Amezungumza mambo mengi yahusuyo tasnia ya uigizaji na maisha yake binafsi, mahojiano...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers23 Dec
Baada ya kuachika mara 3 Dida ndoa ya 4!
Na Imelda Mtema
Mtangazaji wa Radio Times FM ya jijini Dar es Salaam, Khadija Shaibu ‘Dida’ anatarajiwa kufunga pingu za maisha siku chache zijazo na mwanaume ambaye mwenyewe hakupenda kumtaja jina, hii ikiwa ni mara yake ya nne kufunga ndoa.
Akizungumza na mwandishi wetu muda mfupi baada ya kuvalishwa pete ya uchumba, Dida anayetangaza Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani, alisema kwa mwanamke kuolewa ni bahati, hivyo anajihesabu kuwa miongoni mwa wanawake waliojaliwa kuwa na kismati.
“Unajua...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ujcza9N5GbKh-JY2ugPcR21raijCHt0ZAoTU3KrEbpn34e4HwsILlsV8-w3OnsDp7hBUb88Wu0hgm1RvV-3Pu1WkmIKCge7y/mahaba.jpg?width=650)
USIKUBALI KUACHIKA UKIWA KWENYE UCHUMBA!
9 years ago
Mtanzania15 Oct
Nora: Wanaonitaka kimapenzi hukimbia ndoa
NA RHOBI CHACHA
MSANII wa Filamu za Bongo, Nuru Nasoro ‘Nora’ amefunguka kwamba wanaume wengi wanaomtaka kimapenzi humkimbia anapowataka wasubiri hadi watakapofunga ndoa.
Nora alisema ameweka sharti hilo ili ampate mwanamume wa kweli, lakini anaona kama amejiwekea gundu kwa kuwa wengi waliojitokeza kwake hukimbia anapowaeleza masuala ya kusubiri hadi ndoa.
“Si kwamba sitongozwi, natongozwa tena wengi wanakuja kwa gia ya kutaka kunioa, lakini kila mwanamume anataka kushiriki tendo la ndoa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pXWI1kxUZH69j4sYwcgOSezAjTht9-VuQtgQRDz9M-Ak9rATrBjzZjxdmFzEEQ9eUxPgUn6wF2C7L990FB3lIs4C6qnQKLkL/ndoa.jpg)
NDOA YA JIDE GARDNER AFUNGUKA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNSMpvg2WArH6XtR7-XyFdgm8hDXLX5COM*9QZaj3HH7d3XsJ6nyw5jOmGBijGGrhYFFcoe8wWfgjsL9epPwF9px/CATHY.jpg)
CATHY AFUNGUKA MCHEPUKO KATIKA NDOA
10 years ago
Mwananchi14 Feb
Lady Jaydee afunguka, avunja ndoa na Gadner
10 years ago
Bongo Movies03 Jan
Lulu Afunguka Kuhusu Malengo ya Ndoa Yake Kukwama
Mrembo na mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameibuka na kuelezea ni kwajinsi gani anavyo lichukulia swala la lengo lake alilojiwekea la kuolewa mwaka 2014 kushindikana, kwa kusema kuwa imeshindikana lakini hajilaumu wala hamlaumu mtu yeyote kwa kutotimiza suala hilo kwani anaamini Mungu ndiye anayewezesha kila kitu.
Akizungumza na paparazi wa GPL hivi karibuni, Lulu alisema mwaka 2014 alikuwa na malengo mengi likiwemo suala la ndoa lakini kwa kuwa Mungu ndiye muweza, atapanga upya suala...
9 years ago
GPL18 Aug