NDOA YA JIDE GARDNER AFUNGUKA
![](http://api.ning.com:80/files/pXWI1kxUZH69j4sYwcgOSezAjTht9-VuQtgQRDz9M-Ak9rATrBjzZjxdmFzEEQ9eUxPgUn6wF2C7L990FB3lIs4C6qnQKLkL/ndoa.jpg)
Na Ojuku Abraham na Gladness Mallya HABARI kubwa ya mjini hivi sasa, hasa kwenye mitandao ya kijamii ni juu ya madai mazito ya kuvunjika kwa ndoa ya selebriti wawili Bongo, staa wa muziki wa Kizazi Kipya, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ au ‘Jide’ na mtangazaji maarufu wa Radio Times FM, Gardner G. Habash, iliyofungwa Mei 14, 2005, Ijumaa linamaliza utata. Staa wa muziki wa Kizazi Kipya, Judith Wambura...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2VGrzzXedu1TG1vBpvO*WBn7YBJPckrS8OiTjse5mfs3-cnrE34BgNDEozqy3rrqBgvltbwSVPD6PB0r4XkOv2Om07JPnNw3/jide.jpg)
NDOA, HAIPO: GARDNER AMSALITI JIDE?
Stori: Waandishi Wetu
LICHA ya kutothibitishwa juu ya kuwepo au kutokuwepo kwa ndoa yake na mwanamuziki Judith Wambura Mbibo ‘Jide’, mtangazaji maarufu Bongo, Gardner G. Habash ‘Kepteini’ amenaswa na kabinti akiwa kwenye pozi tata za kimahaba hivyo baadhi ya watu kuhoji anasaliti ndoa? Risasi Jumamosi lilifuatilia hatua kwa hatua. Mtangazaji maarufu Bongo, Gardner G. Habash ‘Kepteini’...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dbDz8bz8Q7koZbp-RWfoF8nAj89c17pYm*aYlXYbw6Cinexxnw2dv4eeRycLi2aVB57GlECkACjAtj9EfCJQtJSOkYGCuT4N/JIDE.jpg)
NDOA YA JIDE, GARDNER MAZITO YAIBUKA
Stori: WAANDISHI WETU Jambo limezua jambo! Nyuma ya habari ya madai ya kuvunjika kwa ndoa ya Mbongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee’ au ‘Jide’ na Mtangazaji wa Radio Times FM, Gardner G Habash, kuna mambo mazito yameibuka, mara baada ya habari hiyo kuripotiwa na gazeti pacha la hili, Ijumaa la wiki iliyopita. Uzio wa nyumba ya Staa, ‘Lady Jaydee’ au ‘Jide’Gardner G...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9h2OjxKkWeYec4l7x4SY2P2Vw2JI7hr4zZWPO-oEEnIyoCedT3ZjeweJ3dC6FeGHAskDLZdWjZNNwytmWm3DEunq0eIpKqH/gardner.jpg)
GARDNER ATAKA JIDE AELEZE UKWELI JUU YA NDOA YAO
Stori: Mayasa Mariwata
Habari ya mjini katika ulimwengu wa mastaa Bongo ni kitendo cha mtangazaji mwenye jina kubwa wa Kipindi cha Maskani cha Redio Times FM, Gardner G Habash ‘Kepteini’ kutaka mwanamuziki Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ ndiye aeleze ukweli juu ya ndoa yao. Mtangazaji wa Redio Times FM, Gardner G Habash ‘Kepteini’ Akizungumza kwenye Kipindi cha Mkasi kinachorushwa hewani...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSkbMIcWregXNE2T4ToFxnbHfyKDlfTk8eWWL8qUPrrXsD9W2M2vVt2gKV9ezjCh2AAS3czeb7hVSkcTxpXUWxAj/Jide.gif?width=650)
GARDNER AMKEJELI JIDE!
Gladness Mallya REVENGE! Katika kile kinachoonekana kama kejeli kwa mke wake wa zamani aliyekorofishana naye, mtangazaji maarufu Gardner G. Habash, ametundika picha kwenye akaunti yake katika mtandao wa Instagram ikimuonyesha akiwa amempakata mwanamke mjamzito. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1Kh4pCJ
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tBTKCkFUMvPi5KLHb96qf12iX9D*zz9UteyTK6b4Ys0O*lsrCtXHMsFkGjZ78bIIOPvJR*vvqynb7YETXre7gUNIYkR-cb8s/FRONTAMANI.jpg)
JIDE, GARDNER SASA PAKA NA PANYA
Stori: Richard Bukos
PAMOJA na kutumia nguvu nyingi kukanusha kwenye mitandao kwamba ndoa yao haijavunjika, mtangazaji mahiri Bongo, Gardner Gabriel Habash ‘G. Habash’ na ‘mtalaka’ wake, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’, Jumamosi iliyopita walifanya tukio lililowashangaza watu kufuatia kila mmoja kuingia ukumbini akiwa na kampani yake na kukwepana kama paka na panya, Amani liliwanasa kwa vile...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rf021BwezXFfgYfpHGkOId68yqJ7QEXHDvTmUOTvgRxgMNQm1BC7jEzi7aWqVy4IKGmPaSRGhRxGXPpaPVRxuyvBSM3YDPzN/jaydee.jpg)
GARDNER ADAIWA KUMPANDISHA JIDE KORTINI!
Na Musa Mateja
Prizenta aliyetua Radio E-FM hivi karibuni akitokea Radio Times FM, Gardner G Habash ‘Kapteini’ anadaiwa kumpandisha kortini mkewe, Judith Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee’ kisa kikisemekana ni mgawanyo wa mali hivyo anataka haki yake baada ya kuwepo kwa madai mazito ya ndoa yao kuvunjika. Mke wa Gardner G Habash , Judith Wambura Mbibo,… ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/E6-J*b1OZQMsA3*J1ewEFT5sqFmX*4zgs1S-4JqhpVRt7i2Wp5CLXTHrNa7*dlzNZA5uP3fsUDlGf5XZjMv2Ika53HyvMUnw/gadiner.jpg?width=650)
MGAWO MALI ZA JIDE, GARDNER UTATA
Stori: Mwandishi Wetu
HALI tete! Bado vuguvugu la madai ya kuvunjika kwa ndoa ya mtangazaji mahiri Bongo, Gardner Gabriel Fikirini Habash ‘Kapteni’ na Mbongo Fleva, Judith Daines Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee au Jide’, sasa lingine limeibuka ambapo mali za wawili hao zinatajwa kuzua utata, Risasi Jumamosi linachambua. Mbongo Fleva, Judith Daines Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee au Jide. Kwa mujibu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ov90wJC7zCz4GsvivFblTyQoFMSg9NRgKicW9pz5Ki*LiIOlJL29TE*4ZWkVFJZc-w-KJ9QfsI45Nl-Jh6gWq3xRaObmS50C/jide.jpg)
JIDE AANIKA KISA CHA KUMMWAGA GARDNER
Stori: Gladness Mallya
Funguka! Kwa mara ya kwanza, staa wa muziki wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ ameanika kisa cha kummwaga mumewe, Gardner Gabriel Habash ‘Kaptein’ akieleza mateso aliyokutana nayo kwenye ndoa yao. Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ akipozi. Akizungumza na Kituo cha Radio Times FM cha jijini Dar, wikiendi iliyopita, Jide alifunguka...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yl8XiM-qOZYg5Hkfi1kX8pVqfmtQY3vr2MsI3eeX0jM-fligDo5rMceWqGxb3Z86i*9lToN4pF8LY0Gs06vm22yQGE492*QO/jde.jpg)
JIDE: MIMI NA GARDNER TUNAISHI KAMA KAKA NA DADA!
Super woman katika Afro-Pop, Judith Wambura a.k.a Lady Jaydeee au Jide katika pozi na mume wake Gardner Habash ‘Kapteini’ . Kumbe! Super woman katika Afro-Pop, Judith Wambura a.k.a Lady Jaydeee au Jide amefunguka kuwa yeye na mumewe, Gardner Habash ‘Kapteini’ kwa sasa wanaishi kama kaka na dada hivyo kuibua swali kivipi? Akizungumza na Ijumaa Wikienda katika mahojiano maalum yaliyofanyika kwenye...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania