NDOA YA DIDA KUVUNJIKA;
![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxwV48Ap1slAUjBX2aGdCNAd1MkUc*jlAWism9rc7AoSAseL0Wj6zVQC0Kn1o74nAfaHyb5hBrnmkvLd5jcoFJqu/dida1.jpg?width=650)
Stori: Deogratius Mongela na Chande Abdallah SIKU chache baada ya kuvunjika kwa ndoa ya Khadija Shaibu ‘Dida’, aliyekuwa mumewe, Mtangazaji wa TV1, Ezden Jumanne ameibuka na kutoa sababu kuu tatu za kutengena kwao, Risasi Mchanganyiko linakupa zaidi. Khadija Shaibu ‘Dida’ na Mtangazaji wa TV1, Ezden Jumanne wakipozi. Akizungumza na waandishi wetu katika nyumba aliyohamia kwa sasa, Kijitonyama, Dar,...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj0vilvVKdJti74FO1l*IeXHX3E83QG0g8UvFi50WxWbGH8lnKAT1yE4sePUleH0sSJJzUHEODqfKdrhkj8PHxAz/maimatha.jpg?width=650)
NDOA YA MAIMARTHA YANUSURIKA KUVUNJIKA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVnb3ruxOBgtQ1KYMNM1l9xeWC0P74ILCf2n89IE49bO3vXs8F9Mr8FJ1oI-vM4XfqfLBUjUgXMo57q2If1PlQ73/NDOA.jpg)
NDOA YA 3 YA DIDA YAVUNJIKA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-a-FzCyHE-CPc1ecL0OYcTjYOwBgXhZ69uWaIS42wyohB-VmkWItCadhwZcIhlXqNB70AmkfREk3P83*GVTy0cmPPHnPjpF1/dida.jpg)
DIDA NDOA TENA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79xb1yI4El8CPJa8OpgcNndBjGTq7PtKaSn5FumfLv2gJc0ahHSZEq2NLg-7K8u5JQT*tRPqAcDvxSRBFtovlq3UwJCYatZC/how_to_deal_with_a_bad_break_up.jpg?width=650)
TATIZO LA KUWAHI KUFIKA KILELENI NA KUVUNJIKA KWA NDOA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cGEsfZahF3uChV-MrSK4adiZqj0M0oD7oFKLO8fVmPovaM-sthnIq6KeN3oJQWtG3ey6gPVWjv9*5THWFwe*3WbokuW56tHy/how_to_deal_with_a_bad_break_up.jpg)
TATIZO LA KUWAHI KUFIKA KILELENI NA KUVUNJIKA KWA NDOA-2
9 years ago
Global Publishers23 Dec
Baada ya kuachika mara 3 Dida ndoa ya 4!
Na Imelda Mtema
Mtangazaji wa Radio Times FM ya jijini Dar es Salaam, Khadija Shaibu ‘Dida’ anatarajiwa kufunga pingu za maisha siku chache zijazo na mwanaume ambaye mwenyewe hakupenda kumtaja jina, hii ikiwa ni mara yake ya nne kufunga ndoa.
Akizungumza na mwandishi wetu muda mfupi baada ya kuvalishwa pete ya uchumba, Dida anayetangaza Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani, alisema kwa mwanamke kuolewa ni bahati, hivyo anajihesabu kuwa miongoni mwa wanawake waliojaliwa kuwa na kismati.
“Unajua...
11 years ago
CloudsFM01 Aug
NAAZIZ AANIKA CHANZO CHA KUVUNJIKA KWA NDOA YAKE
First Lady wa The East African Bashment Crew, kundi linaloundwa na wasanii kutoka nchi za Uganda, Bebe Cool na Kenya, Wyre na Naaziz ambaye hivi karibuni alidondoka bongo kwa ajili ya Listening Party ya album ya Mzee Mnyama Tid, 255 ya clouds fm ilipata nafasi ya kuzungumza naye japo anakuaga mgumu wa kutiririka mambo yake, 255 ilimshawishi mwanadada huyu ambaye mwishoni mwa mwaka jana ndoa yao ilitangazwa kuvunjika, chanzo kilikua nini naaziz.
Aidha miezi kadhaa iliyopita habari zilizagaa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGYaRxEb4wTCU7re1QbtfkP*c11IJpk1ckrjTwhCrHLkJlqRF5VRc5iw*PmXAfTgI3HC6L8glxBa7XHyc31ZaVfB/joketi.jpg?width=650)
AKU, SIJAVUNJA NDOA YA DIDA –JOKATE
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/oCcq6Ci9RxY/default.jpg)