NAAZIZ AANIKA CHANZO CHA KUVUNJIKA KWA NDOA YAKE
First Lady wa The East African Bashment Crew, kundi linaloundwa na wasanii kutoka nchi za Uganda, Bebe Cool na Kenya, Wyre na Naaziz ambaye hivi karibuni alidondoka bongo kwa ajili ya Listening Party ya album ya Mzee Mnyama Tid, 255 ya clouds fm ilipata nafasi ya kuzungumza naye japo anakuaga mgumu wa kutiririka mambo yake, 255 ilimshawishi mwanadada huyu ambaye mwishoni mwa mwaka jana ndoa yao ilitangazwa kuvunjika, chanzo kilikua nini naaziz.
Aidha miezi kadhaa iliyopita habari zilizagaa...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A8I8pebmYzqxtPemdbnNgK-8O27-Z801ut9yofJn-cFYBr*M1HJfwuhoYvqcuKAi3e5n7pfbrCsdSLUSMZcvNXMmDnEUwPdK/amanda.jpg?width=650)
AMANDA AANIKA CHANZO CHA USAGAJI KWA MASTAA
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Berry Black aeleza chanzo cha kuvunjika kwa kundi lao.. amepata uongozi mpya? stori iko hapa
Inawezekana ulikuwa na hamu ya kufahamu chanzo cha kutengana kwa wasanii wawili wanaounda kundi la 2 Berry (Berry Black & Berry White) mwaka 2006. Akiongea exclusive interview na ripota wa millardayo.com Berry Black ambaye kwasasa makazi yake yapo Dar es Salaam huku kazi zake zikiwa zinasimamiwa na Mkurugenzi wa TMK Wanaume Family, Said Fella….’Chanzo cha […]
The post Berry Black aeleza chanzo cha kuvunjika kwa kundi lao.. amepata uongozi mpya? stori iko hapa appeared first on...
9 years ago
Bongo501 Oct
G-Nako adai ubinafsi ni chanzo cha makundi mengine kuvunjika
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/oCcq6Ci9RxY/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EMVKhgUIcMtPcVOisjjj6*8bFsa6nIpJtyZOGjij77C*6MfasUDhCM8N*eh3BpPHpNUxY5zTzbZJo*BlxDbzYNMwhJsK8avq/FRONTJUMAMOSI.jpg)
DAKTARI AANIKA CHANZO CHA MASTAA KUWA WAGUMBA
10 years ago
GPL25 May
10 years ago
Dewji Blog20 Jun
Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971, chanzo cha ongezeko la mimba na ndoa za utotoni nchini
Mratibu wa Utetezi Taifa, SOS Tanzania/Zanzibar, John Batista, akizungumza katika Mdahalo wa Nijali uliolenga ndoa za utotoni na mimba za utotoni kwa kushirikisha Chama cha Waandishi wa Habari za Watoto, (TAJOC) na wengine, uliofanyika leo katika Hoteli Regency jijini Dar es Salaam.
Na Andrew Chale, Modewjiblog.com
Imeelezwa kuwa, kuongezeka kwa ndoa za utotoni inatokana na sheria ya ndoa ya mwaka 1971 kuendelea kutumika wakati hali yake ni mbaya kwa watoto wakike kushindwa kufikia ndoto...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cGEsfZahF3uChV-MrSK4adiZqj0M0oD7oFKLO8fVmPovaM-sthnIq6KeN3oJQWtG3ey6gPVWjv9*5THWFwe*3WbokuW56tHy/how_to_deal_with_a_bad_break_up.jpg)
TATIZO LA KUWAHI KUFIKA KILELENI NA KUVUNJIKA KWA NDOA-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79xb1yI4El8CPJa8OpgcNndBjGTq7PtKaSn5FumfLv2gJc0ahHSZEq2NLg-7K8u5JQT*tRPqAcDvxSRBFtovlq3UwJCYatZC/how_to_deal_with_a_bad_break_up.jpg?width=650)
TATIZO LA KUWAHI KUFIKA KILELENI NA KUVUNJIKA KWA NDOA!