DAKTARI AANIKA CHANZO CHA MASTAA KUWA WAGUMBA
![](http://api.ning.com:80/files/EMVKhgUIcMtPcVOisjjj6*8bFsa6nIpJtyZOGjij77C*6MfasUDhCM8N*eh3BpPHpNUxY5zTzbZJo*BlxDbzYNMwhJsK8avq/FRONTJUMAMOSI.jpg)
GLADNESS MALLYA DOKTA Chale ambaye anaandika makala za afya katika gazeti ndugu la hili la Ijumaa, ameanika chanzo cha mastaa wengi kupata ugumba ambapo pamoja na vyanzo vingine, ameyataja madawa ya kuongeza maumbile ya mwili na ya kujichubua yanasababisha tatizo hilo. Staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu. Akizungumzia madawa hayo pasipo kuyataja majina (yamezagaa mitaani), dokta Chale alisema baadhi ya madawa hayo yana...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A8I8pebmYzqxtPemdbnNgK-8O27-Z801ut9yofJn-cFYBr*M1HJfwuhoYvqcuKAi3e5n7pfbrCsdSLUSMZcvNXMmDnEUwPdK/amanda.jpg?width=650)
AMANDA AANIKA CHANZO CHA USAGAJI KWA MASTAA
11 years ago
CloudsFM01 Aug
NAAZIZ AANIKA CHANZO CHA KUVUNJIKA KWA NDOA YAKE
First Lady wa The East African Bashment Crew, kundi linaloundwa na wasanii kutoka nchi za Uganda, Bebe Cool na Kenya, Wyre na Naaziz ambaye hivi karibuni alidondoka bongo kwa ajili ya Listening Party ya album ya Mzee Mnyama Tid, 255 ya clouds fm ilipata nafasi ya kuzungumza naye japo anakuaga mgumu wa kutiririka mambo yake, 255 ilimshawishi mwanadada huyu ambaye mwishoni mwa mwaka jana ndoa yao ilitangazwa kuvunjika, chanzo kilikua nini naaziz.
Aidha miezi kadhaa iliyopita habari zilizagaa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZGGCrW1JrggmwMbR64QZ3UfOCNazHqs07eV2xs8TU7GJ5k75U1j8qe1-s1GISo3lgxxPBgjZ23paSPCmC06in-b-btL35ZHi/BACKWIKIENDA.jpg)
DAKTARI AANIKA UGONJWA WA BANZA STONE
10 years ago
BBCSwahili20 Feb
Takataka zaweza kuwa chanzo cha kipato
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
Viongozi wanaweza kuwa chanzo cha kuvuruga amani
MWANZONI mwa wiki hii viongozi wa Jiji la Dar es Salaam wanaonekana kupitisha azimio la kuuweka mji huo katika muonekano wa usafi, sipingani na hoja yao hiyo lakini kikubwa kilichonifanya...
10 years ago
VijimamboVYOMBO VYA HABARI VINAWEZA KUZUIA AU KUWA CHANZO CHA MACHAFUKO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Qz-_hjjdRrA/VItTfTfuZRI/AAAAAAAG240/6ociH8YFSuM/s72-c/unnamed%2B(44).jpg)
VYOMBO YA HABARI VINA UWEZO WA KUZUIA AU KUWA CHANZO CHA MACHAFUKO.
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Kuzeeka ubongo, kaswende vyaweza kuwa chanzo cha tatizo la kutetemeka mikono
9 years ago
Bongo530 Dec
Michael Ross wa Uganda awachana Ma DJ na Mashabiki kuwa ndio chanzo cha kutosikika sana
![Michael Ross](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/04/Michael-Ross-145x200.jpeg)
Wanamuziki huwa wanakutana na changamoto nyingi katika kazi zao, zikiwemo lawama za kutotoa kazi kwa wakati, lakini pale wanapotimiza majukumu yao bado wanakosa support kutoka kwa hao hao mashabiki.
Muimbaji wa R&B kutoka Uganda, Michael Ross ameamua kabla ya kuuaga mwaka 2015 kutoa ya moyoni , na kujibu swali ambalo amekua akikutana nalo mara kwa mara la kwanini hasikiki sana kama ilivyokuwa miaka ya nyuma.
Kupitia Facebook Michael ametoa majibu ya swali hilo:
“Nakutana na watu wengi...