Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AMANDA AANIKA CHANZO CHA USAGAJI KWA MASTAA

Na Mwandishi Wetu
MSANII wa filamu, Tamrina Poshi ‘Amanda’ amefungukia sababu za baadhi ya mastaa kujiingiza kwenye tabia chafu ya usagaji akidai kuwa, kutendwa na wanaume ndiyo chanzo cha yote. Tamrina Poshi ‘Amanda’. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Amanda alisema maudhi ambayo baadhi ya mastaa wamekuwa wakiyapata kutoka kwa wapenzi wao waliotokea kuwapenda ndiyo husababisha baadhi yao kuona...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

DAKTARI AANIKA CHANZO CHA MASTAA KUWA WAGUMBA

GLADNESS MALLYA DOKTA Chale ambaye anaandika makala za afya katika gazeti ndugu la hili la Ijumaa,  ameanika chanzo cha mastaa wengi kupata ugumba ambapo pamoja na vyanzo vingine, ameyataja madawa ya kuongeza maumbile ya mwili na ya kujichubua yanasababisha tatizo hilo. Staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu. Akizungumzia madawa hayo pasipo kuyataja majina (yamezagaa mitaani), dokta Chale alisema baadhi ya madawa hayo yana...

 

11 years ago

CloudsFM

NAAZIZ AANIKA CHANZO CHA KUVUNJIKA KWA NDOA YAKE

First Lady wa The East African Bashment Crew, kundi linaloundwa na wasanii kutoka nchi za Uganda, Bebe Cool na Kenya, Wyre na Naaziz ambaye hivi karibuni alidondoka bongo kwa ajili ya Listening Party ya album ya Mzee Mnyama Tid, 255 ya clouds fm ilipata nafasi ya kuzungumza naye japo anakuaga mgumu wa kutiririka mambo yake, 255 ilimshawishi mwanadada huyu ambaye mwishoni mwa mwaka jana ndoa yao ilitangazwa kuvunjika, chanzo kilikua nini naaziz.

Aidha miezi kadhaa iliyopita habari zilizagaa...

 

11 years ago

GPL

AMANDA AANIKA SABABU ZA KUTOKUZAA

Na Gladness Mallya STAA wa filamu za Kibongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’ amefunguka kuwa mpaka sasa hajazaa kwa sababu bado alikuwa hajamuona mwanaume wa kuwa baba watoto wake. Staa wa filamu za Kibongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’ Akichonga na gazeti hili, Amanda alisema katika maisha yake anapenda sana mtoto lakini bado hajatokea mwanaume sahihi wa kuzaa naye ila anashukuru kwa sasa amempata. “Miaka...

 

10 years ago

GPL

AMANDA AANIKA SIRI NZITO YA KUTOWAPENDA WANAUME

Stori: Gladness Mallya/Risasi
MWANADADA kutoka kiwanda cha filamu Bongo, Amanda Poshi amefunguka na kueleza siri nzito kuwa hawapendi wanaume kutokana na kufiwa na mchumba wake muda mfupi baada ya kuzungumza naye miaka…iliyopita. Mwanadada kutoka kiwanda cha filamu Bongo, Amanda Poshi. Akipiga stori na…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mila chanzo cha ukatili kwa wanawake

KUTUNGWA kwa sheria kali inaaminika kutachangia kwa kiasi kupunguza vitendo vya ukeketaji ambavyo vinashamiri katika baadhi ya mikoa nchini. Lakini pamoja na kutungwa sheria hizo, bado suala la elimu linahitajika...

 

11 years ago

Mwananchi

Hiki ndicho chanzo cha umaskini kwa wanawake

Tendeza Masegedo ni mwanamke anayejihusisha na ujasiriamali na kilimo katika Kijiji cha Pongwe Kiona, Kata ya Kimange wilayani Bagamoyo katika Mkoa wa Pwani.

 

10 years ago

Habarileo

Wassira:Wanasiasa chanzo cha hofu kwa watendaji

Steven WassiraWAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Steven Wassira amewataka wanasiasa kupunguza hofu kwa watendaji wa Serikali na kuwapongeza wanaofanya vizuri.

 

10 years ago

Mwananchi

Ukosefu wa malisho, chanzo cha mateso, mauaji kwa wafugaji

Matukio ya wafugaji kujeruhiwa hata kuuawa kwa kupigwa risasi na mifugo kupotea na kuuawa, yamekuwa si mageni hasa maeneo yaliyo kandokando ya hifadhi za taifa na mapori ya akiba.

 

11 years ago

Habarileo

Watupwa jela kwa kuishi karibu na chanzo cha mto

MAHAKAMA ya Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa imewatia hatiani watu 11 kati 21 kwa kuishi karibu na chanzo cha maji cha Mto Mfiri kinyume na sheria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani