Ukosefu wa malisho, chanzo cha mateso, mauaji kwa wafugaji
Matukio ya wafugaji kujeruhiwa hata kuuawa kwa kupigwa risasi na mifugo kupotea na kuuawa, yamekuwa si mageni hasa maeneo yaliyo kandokando ya hifadhi za taifa na mapori ya akiba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog24 May
Mitazamo hasi kitamaduni chanzo cha mauaji ya watu wenye albinism
Mkuu wa Ofisi na Mwakilishi wa UNESCO nchini, Bi. Zulmira Rodgrigues, akiwasilisha mada katika warsha ya siku tatu iliyofanyika katika kijiji cha Nyakahungwa wilayani Sengerema mkoani Mwanza kuhusu ushirikishaji jamii katika kuandaa na kutekeleza mikakati itakayochangia kuzuia na kutokomeza unyanyasaji na dhulma zinazofanywa dhidi ya watu wenye albinism iliyoshirikisha waganga wa asili, wauguzi na wakunga, viongozi wa dini, walimu pamoja na watu maarufu iliyoandaliwa na Shirika la Umoja wa...
10 years ago
Dewji Blog06 Mar
EXCLUSIVE INTERVIEW: ‘Ushirikina chanzo cha mauaji ya watu wenye Albinism’ — Dk. Ally Possi
Na Andrew Chale wa modewji blog
Dk. Ally Possi ambaye ni Mhadhiri wa chuo kikuu cha Ardhi, Dar es Salaam. Akielezea na kuchambua kwa kina kuhusiana na wimbi la mateso na mauaji dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi wenye albinism.
Mo dewjiblog, iliamua kufanya mahojiano maalum ilikukuletea wewe msomaji wetu unayeperuzi mtandao wako bora kabisa kujua na kuelewa na nini kifanyike ikiwemo mimi na wewe katika kuchukua hatua.
Suala la mauaji dhidi ya watu wenye albinism:
“JAMII yenye ushirikina...
10 years ago
Vijimambo06 Mar
EXCLUSIVE INTERVIEW: 'USHIRIKINA CHANZO CHA MAUAJI YA WATU WENYE ALBINISM' - DK. ALLY POSSI
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Jaji  Bomani Alaani  Mauaji na Ukatili kwa Wakulima na Wafugaji
Jaji Bomani akisoma taarifa yake kwa wanahabari (hawapo pichani).
…Akitoa ufafanuzi wa jambo.
Wanahabari wakichukua matukio katika hafla hiyo.
MWANASHERIA Mkuu Mstafu wa Serikali, Jaji Mark Bomani amelaani vitendo vya mauaji dhidi ya watu na mifugo.
Akizungumza na wanahabari leo jijini Dar es Salaam, Jaji Bomani amesema kuwa hivi karibuni kumejitokeza wimbi la vikundi vya watu vinavyofanya vitendo vya ukatili hususani upande wa wafugaji na wakulima kugombania mashamba na hatimaye kuuana...
11 years ago
Habarileo06 Mar
‘Mcharuko’ ukatili wa kijinsia chanzo ukosefu wa sheria
KUKOSEKANA kwa sheria maalumu inayozungumzia ukatili wa kijinsia kumetajwa kuwa miongoni mwa mambo yanayosababisha kuongezeka vitendo hivyo.
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Adai mateso yamlazimisha kukiri mauaji
10 years ago
Tanzania Daima05 Oct
‘Mabadiliko tabianchi chanzo migogoro wafugaji, wakulima’
MIGOGORO mingi ya wakulima na wafugaji hapa nchini imeelezwa kuchangiwa na athari zitokanazo na mabadiliko ya tabianchi. Hayo yalisemwa jijini Dar es Salaam hivi karibuni na Jaji wa Mahakama Kuu...
10 years ago
Mwananchi09 Jul
Kilio cha sekta binafsi ni ukosefu wa mikopo kwa ajili ya biashara
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sl1Avwf2FVc/Xq5g7tZQhtI/AAAAAAALo3s/3Ia-gTn-slcVoqkwS_cUY3wRs6dva5rTwCLcBGAsYHQ/s72-c/e5ed4045-110c-447f-86c6-21eee8c57522.jpg)
SERIKALI YAANZA MKAKATI WA MALISHO BORA YA KISAYANSI KWA AJILI YA MIFUGO.
![](https://1.bp.blogspot.com/-sl1Avwf2FVc/Xq5g7tZQhtI/AAAAAAALo3s/3Ia-gTn-slcVoqkwS_cUY3wRs6dva5rTwCLcBGAsYHQ/s640/e5ed4045-110c-447f-86c6-21eee8c57522.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel akizungumza mara baada ya kukagua shamba darasa la malisho bora ya mifugo katika Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, Mkoani Singida
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/3cc89158-9d80-43b9-b267-19aef5c1590b.jpg)
Muonekano wa shamba darasa la malisho bora ya mifugo lililopo katika Kijiji cha Mahambe kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, Mkoani Singida.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/d744d0b2-aa28-4171-bf6a-fdfac2bf97df.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel akikagua mbegu za moja ya aina ya...