Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukosefu wa malisho, chanzo cha mateso, mauaji kwa wafugaji

Matukio ya wafugaji kujeruhiwa hata kuuawa kwa kupigwa risasi na mifugo kupotea na kuuawa, yamekuwa si mageni hasa maeneo yaliyo kandokando ya hifadhi za taifa na mapori ya akiba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Mitazamo hasi kitamaduni chanzo cha mauaji ya watu wenye albinism

DSC_0569

Mkuu wa Ofisi na Mwakilishi wa UNESCO nchini, Bi. Zulmira Rodgrigues, akiwasilisha mada katika warsha ya siku tatu iliyofanyika katika kijiji cha Nyakahungwa wilayani Sengerema mkoani Mwanza kuhusu ushirikishaji jamii katika kuandaa na kutekeleza mikakati itakayochangia kuzuia na kutokomeza unyanyasaji na dhulma zinazofanywa dhidi ya watu wenye albinism iliyoshirikisha waganga wa asili, wauguzi na wakunga, viongozi wa dini, walimu pamoja na watu maarufu iliyoandaliwa na Shirika la Umoja wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

EXCLUSIVE INTERVIEW: ‘Ushirikina chanzo cha mauaji ya watu wenye Albinism’ — Dk. Ally Possi

Na Andrew Chale wa modewji blog

Dk. Ally Possi ambaye ni Mhadhiri wa chuo kikuu cha  Ardhi, Dar es Salaam. Akielezea na kuchambua kwa kina kuhusiana na wimbi la mateso na mauaji dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi wenye albinism.

Mo dewjiblog, iliamua kufanya mahojiano maalum ilikukuletea wewe msomaji wetu unayeperuzi mtandao wako bora kabisa kujua na kuelewa na nini kifanyike ikiwemo mimi na wewe katika kuchukua hatua.

Suala la mauaji dhidi ya watu wenye albinism:

“JAMII  yenye ushirikina...

 

10 years ago

Vijimambo

EXCLUSIVE INTERVIEW: 'USHIRIKINA CHANZO CHA MAUAJI YA WATU WENYE ALBINISM' - DK. ALLY POSSI

Na Andrew Chale wa modewji blogDk. Ally Possi ambaye ni Mhadhiri wa chuo kikuu cha Ardhi, Dar es Salaam. Akielezea na kuchambua kwa kina kuhusiana na wimbi la mateso na mauaji dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi wenye albinism.Mo dewjiblog, iliamua kufanya mahojiano maalum ilikukuletea wewe msomaji wetu unayeperuzi mtandao wako bora kabisa kujua na kuelewa na nini kifanyike ikiwemo mimi na wewe katika kuchukua hatua.Suala la mauaji dhidi ya watu wenye albinism:“JAMII yenye ushirikina ndio...

 

9 years ago

Global Publishers

Jaji  Bomani Alaani  Mauaji na Ukatili kwa Wakulima na Wafugaji

 

1.Jaji Bomani akisoma taarifa yake kwa wanahabari (hawapo pichani).Jaji Bomani akisoma taarifa yake kwa wanahabari (hawapo pichani).2.Mwanasheria mstaafu wa  serikali, Jaji Mack Bomani akitoa ufafanuzi wa jambo kwa wanahabari (pichani hawapo).…Akitoa ufafanuzi wa jambo.3.Wanahabari wakichukua tukio hilo.Wanahabari wakichukua matukio katika hafla hiyo.

MWANASHERIA  Mkuu  Mstafu wa Serikali, Jaji Mark Bomani amelaani vitendo vya mauaji dhidi ya watu  na mifugo.

Akizungumza na wanahabari leo jijini Dar es Salaam, Jaji Bomani amesema kuwa hivi karibuni kumejitokeza wimbi la vikundi vya watu vinavyofanya vitendo vya ukatili hususani upande wa wafugaji na wakulima kugombania mashamba na hatimaye kuuana...

 

11 years ago

Habarileo

‘Mcharuko’ ukatili wa kijinsia chanzo ukosefu wa sheria

KUKOSEKANA kwa sheria maalumu inayozungumzia ukatili wa kijinsia kumetajwa kuwa miongoni mwa mambo yanayosababisha kuongezeka vitendo hivyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Adai mateso yamlazimisha kukiri mauaji

Mtuhumiwa mkuu wa mauaji ya mwanasiasa wa upinzani nchini Urusi amesema alikiri kuua kutokana na kuteswa

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Mabadiliko tabianchi chanzo migogoro wafugaji, wakulima’

MIGOGORO mingi ya wakulima na wafugaji hapa nchini imeelezwa kuchangiwa na athari zitokanazo na mabadiliko ya tabianchi. Hayo yalisemwa jijini Dar es Salaam hivi karibuni na Jaji wa Mahakama Kuu...

 

10 years ago

Mwananchi

Kilio cha sekta binafsi ni ukosefu wa mikopo kwa ajili ya biashara

Watanzania wangependa kushiriki katika miradi mikubwa ya biashara lakini kikwazo kikubwa kimekuwa upatikanaji wa mitaji.

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YAANZA MKAKATI WA MALISHO BORA YA KISAYANSI KWA AJILI YA MIFUGO.


Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel akizungumza mara baada ya kukagua shamba darasa la malisho bora ya mifugo katika Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, Mkoani Singida

Muonekano wa shamba darasa la malisho bora ya mifugo lililopo katika Kijiji cha Mahambe kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, Mkoani Singida.

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel akikagua mbegu za moja ya aina ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani