Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Mcharuko’ ukatili wa kijinsia chanzo ukosefu wa sheria

KUKOSEKANA kwa sheria maalumu inayozungumzia ukatili wa kijinsia kumetajwa kuwa miongoni mwa mambo yanayosababisha kuongezeka vitendo hivyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Pengo: Sheria za makosa ya ukatili wa kijinsia zina walakini

Wakati kesho Tanzania inazindua kampeni ya kuzuia ukatili wa kijinsia, Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salam, Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo amesema sheria dhidi ya makosa hayo zina walakini ambao unahitaji kufanyiwa marekebisho ili kumlinda mtoto wa kike.

 

10 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA WANAWAKE KATIKA SHERIA NA MAENDELEO AFRIKA (WiLDAF) LAADHIMISHA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA JIJINI DAR

Wanaharakati kutoka shirika la WiLDAF wakiwa katika maandalizi ya matembezi ya maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia yaliayoanzia viwanja vya Mnazi mmoja na kuishia katika Ukumbi wa Karimjee hapo jana.Maandamano ya kuadhimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia yakipita katika mitaa mbalimbali jijini Dar es Salaam hapo janaMaandamano ya kuadhimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia yakipokelewa na Mgeni rasmi Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na...

 

10 years ago

Vijimambo

SHIRIKA LA WANAWAKE KATIKA SHERIA NA MAENDELEO AFRIKA (WiLDAF) LAADHIMISHA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA JIJINI DSM

Wanaharakati kutoka shirika la WiLDAF wakiwa katika maandalizi ya matembezi ya maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia yaliayoanzia viwanja vya Mnazi mmoja na kuishia katika Ukumbi wa Karimjee hapo jana.Maandamano ya kuadhimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia yakipita katika mitaa mbalimbali jijini Dar es Salaam hapo janaMaandamano ya kuadhimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia yakipita katika mitaa mbalimbali jijini Dar es Salaam hapo janaMaandamano ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ukatili wa kijinsia ukomeshwe

MASHIRIKA matano yanayojishughulisha na utetezi wa haki za kijinsia kupitia mradi wao wa GEWE II, ambao ni mpango wa kutokomeza ukatili na unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Pombe chanzo cha unyanyasaji wa kijinsia’

MRATIBU wa Kituo cha Usuluhishi (CRC) kinachoratibiwa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (Tamwa), Elizabeth Muhangwa, amesema unywaji wa pombe unasababisha unyanyasaji wa kijinsia katika familia. Muhangwa alitoa...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Tuungane kupinga ukatili wa kijinsia’

>Jamii imetakiwa kufanya jitihada za kutosha kuhakikisha vitendo vya ukatili wa kijinsia vinakomeshwa badala ya kuwaachia jukumu hilo wanasiasa pekee.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ukatili wa kijinsia jeshini ukomeshwe

Waziri wa ulinzi wa Marekani Chuck Hagel amesema wizara yake imepiga hatua katika kukomesha ukatili wa kijinsia jeshini.

 

11 years ago

Habarileo

Ukatili wa kijinsia wachochea Ukimwi

IMEELEZWA kuwa ukatili wa kijinsia ni mojawapo ya njia kuu inayoeneza Ukimwi na ongezeko lolote la vitendo hivyo linachochea pia ongezeko la maambukizo. Kauli hiyo imetolewa na Meneja mradi wa kupambana na ukatili wa kijinsia ili kupunguza maambukizi ya virusi vya Ukimwi, Muhammad Hassan kutoka Shirika la WOWAP.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwanamke anayepambana na ukatili wa kijinsia

Ukiumwa na nyoka ukiona unyasi unashtuka ,ndivyo ilivyokuwa kwa Rhobi Pristiana Samwel (42)mratibu wa nyumba salama iliyo chini ya Kanisa la Anglikana Mugumu Serengeti Dayosisi ya Mara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani