Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanamke anayepambana na ukatili wa kijinsia

Ukiumwa na nyoka ukiona unyasi unashtuka ,ndivyo ilivyokuwa kwa Rhobi Pristiana Samwel (42)mratibu wa nyumba salama iliyo chini ya Kanisa la Anglikana Mugumu Serengeti Dayosisi ya Mara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ofisa wa Polisi anayepambana vikali na ukatili wa kijinsia

Machi nane ya kila mwaka, dunia huazimisha Siku ya Wanawake. Licha ya siku hiyo kuwa ni siku muhimu kwa wanawake wote duniani lakini bado kuna vitendo vingi vya ujanyayasaji wa kijinsia wanavyofanyiwa wanawake ambavyo havilingani na kaulimbiu ya mwaka huu ambayo ni ‘Uwezeshaji Wanawake: Tekeleza Wakati ni sasa’.

 

10 years ago

Mwananchi

mwanamke anayepambana na ukatili Serengeti

Sirahisi kuzungumzia masuala ya ukatili wa kijinsia,ikiwamo ukeketaji katika Wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara usimtaje Sophia Mnandi Mchonvu,kutokana na harakati zake za kupenyeza elimu katika ngome ya wazee wa mila wa kabila la Wakurya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ukatili wa kijinsia ukomeshwe

MASHIRIKA matano yanayojishughulisha na utetezi wa haki za kijinsia kupitia mradi wao wa GEWE II, ambao ni mpango wa kutokomeza ukatili na unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ukatili wa kijinsia unakandamiza wanawake

UKATILI wa kijinsia ni msemo mpana sana. Unagusa binadamu wote wanawake na wanaume. Lakini ni ukweli usiopingika kwamba ukatili wa kijinsia unawaathiri kwa asilimia kubwa wanawake na wasichana kuliko ilivyo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ukatili wa kijinsia jeshini ukomeshwe

Waziri wa ulinzi wa Marekani Chuck Hagel amesema wizara yake imepiga hatua katika kukomesha ukatili wa kijinsia jeshini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fahamu aina za ukatili wa kijinsia

UKATILI wa kijinsia ni jambo kubwa kwenye ajenda za haki za binadamu kimataifa, na unaweza kuwapata wanaume, wanawake na watoo ambao ndio waathirika wakubwa. Hali hii inatokana na mifumo mbalimbali...

 

11 years ago

Habarileo

Ukatili wa kijinsia wachochea Ukimwi

IMEELEZWA kuwa ukatili wa kijinsia ni mojawapo ya njia kuu inayoeneza Ukimwi na ongezeko lolote la vitendo hivyo linachochea pia ongezeko la maambukizo. Kauli hiyo imetolewa na Meneja mradi wa kupambana na ukatili wa kijinsia ili kupunguza maambukizi ya virusi vya Ukimwi, Muhammad Hassan kutoka Shirika la WOWAP.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Tuungane kupinga ukatili wa kijinsia’

>Jamii imetakiwa kufanya jitihada za kutosha kuhakikisha vitendo vya ukatili wa kijinsia vinakomeshwa badala ya kuwaachia jukumu hilo wanasiasa pekee.

 

10 years ago

Mwananchi

Kampeni kupinga ukatili wa kijinsia yaiva

Shirika la Wanawake katika Sheria na Maendeleo Afrika (Wildaf) limeandaa kampeni ya siku 16 kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani