Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wassira:Wanasiasa chanzo cha hofu kwa watendaji

Steven WassiraWAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Steven Wassira amewataka wanasiasa kupunguza hofu kwa watendaji wa Serikali na kuwapongeza wanaofanya vizuri.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wanasiasa chanzo cha migogoro ya ardhi

WANASIASA wamebainika kuwa chanzo cha migogoro ya ardhi inayotokea nchini na kusababisha vifo huku wengine wakibaki na ulemavu kama inavyojitokeza katika mgogoro wa Kiteto, mkoani Manyara. Mbali na hilo, serikali...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wassira: Watanzania punguzeni hofu

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Steven Wassira, amewataka wanasiasa kuwapongeza watendaji wa serikali wanaofanya kazi vizuri na kuondoa hofu dhidi yao. Wassira, alitoa kauli hiyo juzi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mila chanzo cha ukatili kwa wanawake

KUTUNGWA kwa sheria kali inaaminika kutachangia kwa kiasi kupunguza vitendo vya ukeketaji ambavyo vinashamiri katika baadhi ya mikoa nchini. Lakini pamoja na kutungwa sheria hizo, bado suala la elimu linahitajika...

 

11 years ago

GPL

AMANDA AANIKA CHANZO CHA USAGAJI KWA MASTAA

Na Mwandishi Wetu
MSANII wa filamu, Tamrina Poshi ‘Amanda’ amefungukia sababu za baadhi ya mastaa kujiingiza kwenye tabia chafu ya usagaji akidai kuwa, kutendwa na wanaume ndiyo chanzo cha yote. Tamrina Poshi ‘Amanda’. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Amanda alisema maudhi ambayo baadhi ya mastaa wamekuwa wakiyapata kutoka kwa wapenzi wao waliotokea kuwapenda ndiyo husababisha baadhi yao kuona...

 

11 years ago

Mwananchi

Hiki ndicho chanzo cha umaskini kwa wanawake

Tendeza Masegedo ni mwanamke anayejihusisha na ujasiriamali na kilimo katika Kijiji cha Pongwe Kiona, Kata ya Kimange wilayani Bagamoyo katika Mkoa wa Pwani.

 

10 years ago

Habarileo

Watupwa jela kwa kuishi karibu na chanzo cha mto

MAHAKAMA ya Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa imewatia hatiani watu 11 kati 21 kwa kuishi karibu na chanzo cha maji cha Mto Mfiri kinyume na sheria.

 

11 years ago

CloudsFM

NAAZIZ AANIKA CHANZO CHA KUVUNJIKA KWA NDOA YAKE

First Lady wa The East African Bashment Crew, kundi linaloundwa na wasanii kutoka nchi za Uganda, Bebe Cool na Kenya, Wyre na Naaziz ambaye hivi karibuni alidondoka bongo kwa ajili ya Listening Party ya album ya Mzee Mnyama Tid, 255 ya clouds fm ilipata nafasi ya kuzungumza naye japo anakuaga mgumu wa kutiririka mambo yake, 255 ilimshawishi mwanadada huyu ambaye mwishoni mwa mwaka jana ndoa yao ilitangazwa kuvunjika, chanzo kilikua nini naaziz.

Aidha miezi kadhaa iliyopita habari zilizagaa...

 

10 years ago

Mwananchi

Ukosefu wa malisho, chanzo cha mateso, mauaji kwa wafugaji

Matukio ya wafugaji kujeruhiwa hata kuuawa kwa kupigwa risasi na mifugo kupotea na kuuawa, yamekuwa si mageni hasa maeneo yaliyo kandokando ya hifadhi za taifa na mapori ya akiba.

 

5 years ago

Michuzi

UTAPIA MLO WATAJWA CHANZO CHA KIFUA KIKUU KWA WATOTO

ATIZO la utapia mlo linalotokana na ukosefu wa lishe bora kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano linatajwa kuchangia kuongezeka kwa ugonjwa wa kifua kikuu ambao unapoteza maisha ya watoto wengi hapa nchini.

Hivyo,wazazi na walezi wameaswa kuhakikisha wanawapatia watoto wao mlo kamili,mlo bora na kuzingatia kanuni bora za Afya kama njia mojawapo ya kupunguza vifo vinavyotokana na ugonjwa huo. Mratibu wa kitengo cha kifua kikuu na Ukoma katika Hospitali ya wilaya Tunduru Dkt...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani