Wassira: Watanzania punguzeni hofu
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Steven Wassira, amewataka wanasiasa kuwapongeza watendaji wa serikali wanaofanya kazi vizuri na kuondoa hofu dhidi yao. Wassira, alitoa kauli hiyo juzi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo20 Nov
Wassira:Wanasiasa chanzo cha hofu kwa watendaji
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Steven Wassira amewataka wanasiasa kupunguza hofu kwa watendaji wa Serikali na kuwapongeza wanaofanya vizuri.
10 years ago
Dewji Blog27 Sep
Tunataka watanzania wajiajiri- Wassira
Na Mwandishi wetu
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Mahusiano na Uratibu, Stephen Wasira (pichani), amesema serikali inaandaa sera ya elimu itakayomwezesha mtanzania kujiajiri.
Alisema kuboreshwa kwa sera hiyo kutakwenda sambamba na mitaala inayotumiwa ambayo kwa muda mrefu imeshindwa kumjenga mhitimu katika dhana ya kujiajiri
Kauli hiyo aliitoa alipokuwa akizungumzia mipango ya serikali ya kuinua elimu na kumkomboa Mtanzania katika lindi la umasikini
Wassira alisema sera ya elimu inayotumika ni...
10 years ago
Vijimambo27 Dec
SUMAYE ATAKA WATANZANIA KUWA NA HOFU YA MUNGU
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/123.jpg)
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Kauli ya Rais wa Tanzania, John Magufuli inawaondolea hofu watanzania?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jRy8XwWsMMQ/Xq6IKbfL10I/AAAAAAALo4g/INcd4xtG2YAzmX5k7HaxbXiNp9zy5BYsgCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
RAIS MAGUFULI:WATANZANIA OONDOENI HOFU KUHUSU CORONA, ENDELEENI KUCHAPA KAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-jRy8XwWsMMQ/Xq6IKbfL10I/AAAAAAALo4g/INcd4xtG2YAzmX5k7HaxbXiNp9zy5BYsgCLcBGAsYHQ/s640/maxresdefault.jpg)
*Awahakikishia watumishi wote wa umma kuendelea kulipwa mishahara yao
RAIS Dk.John Magufuli tangu tanga la Coroa limeibuka kila nchi inao utaratibu wake wa kushughulika na tatizo hilo na kwa Watanzania hakuna sababu ya kuwa na hofu yoyote na waendelee kuchapa kazi.
Ametumia nafasi hiyo kuwahakikisha watumishi wote wa umma wakiwemo walimu ambao ndio wengi zaidi kuwa Serikali itaendelea kuwalipa mshahara hadi shule zitakapofunguliwa ingawa kuna nchi nyingine zimeshindwa kulipa mishahara...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RHbWNfnVjH0/Xr4lAu1dJnI/AAAAAAALqTA/AwnUqTBoAGA6bXciIopdk1tFIs-9iWv5gCLcBGAsYHQ/s72-c/675b6db5-2b5f-471e-9bf1-711f454db6fe.jpg)
WAZIRI BASHUNGWA AWATOA HOFU WATANZANIA KUHUSU UHABA WA SUKARI NCHINI,AWATAKA WAFANYA BIASHARA KUZINGATIA BEI ELEKEZI
Waziri wa viwanda na Biashara Mhe.Innocent Bashungwa (Mb) amewahakikishia watanzania kuwa hakutakuwa na uhaba wa sukari tena na kuwataka wananchi wasiwe na hofu juu ya sukari na kuwahasa wauzaji kuzingazia bei elekezi.
Mhe.Bashungwa ameyasema hayo jana Mei 14, 2020 alipofika katika bandari ya Mwanza kusini na kushuhudia Shehena ya Sukari tani 20,000 ikishushwa na meli kutoka Nchini Uganda iliyoagizwa na kiwanda cha kagera sugar kwa ni...
10 years ago
Habarileo25 Aug
'Walimu punguzeni viboko'
WIZARA ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto imetaka wazazi, walezi, walimu na wadau wengine kuwa macho na matumizi ya viboko kupindukia ikisema vitendo hivyo hutengeneza mazingira yasiyo rafiki kwa mtoto kujifunza.
10 years ago
Habarileo29 Sep
Trafiki punguzeni ajali - RC
MKUU wa Mkoa wa Manyara, Elaston Mbwilo amewataka askari wa Usalama Barabara (trafiki), kuacha kuwa na huruma nyingi pale wanapokamata magari yenye matatizo.
11 years ago
Habarileo08 Jul
'Wafanyabiashara punguzeni bei za vyakula'
WAFANYABIASHARA visiwani hapa wametakiwa kupunguza bei ya vyakula kutoa nafasi kwa wananchi kutekeleza vizuri mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani ambao ni moja ya ibada muhimu kwa Waislamu.