Kauli ya Rais wa Tanzania, John Magufuli inawaondolea hofu watanzania?
Baadhi ya wakazi wa Dar es Salaam wamezungumza na BBC kuhusu namna hali ilivyo hivi sasa baada ya kuingia kwa mlipuko wa virusi vya corona
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jRy8XwWsMMQ/Xq6IKbfL10I/AAAAAAALo4g/INcd4xtG2YAzmX5k7HaxbXiNp9zy5BYsgCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
RAIS MAGUFULI:WATANZANIA OONDOENI HOFU KUHUSU CORONA, ENDELEENI KUCHAPA KAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-jRy8XwWsMMQ/Xq6IKbfL10I/AAAAAAALo4g/INcd4xtG2YAzmX5k7HaxbXiNp9zy5BYsgCLcBGAsYHQ/s640/maxresdefault.jpg)
*Awahakikishia watumishi wote wa umma kuendelea kulipwa mishahara yao
RAIS Dk.John Magufuli tangu tanga la Coroa limeibuka kila nchi inao utaratibu wake wa kushughulika na tatizo hilo na kwa Watanzania hakuna sababu ya kuwa na hofu yoyote na waendelee kuchapa kazi.
Ametumia nafasi hiyo kuwahakikisha watumishi wote wa umma wakiwemo walimu ambao ndio wengi zaidi kuwa Serikali itaendelea kuwalipa mshahara hadi shule zitakapofunguliwa ingawa kuna nchi nyingine zimeshindwa kulipa mishahara...
9 years ago
Dewji Blog25 Dec
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-JlpWmscoaF8/XpiBLw8ZKZI/AAAAAAALnMo/icG9AYhvtVU-8ATBPXG7-V7ryOwrIHpFQCLcBGAsYHQ/s72-c/3%2B-%2B2019-09-01T163208.843.jpg)
RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI AWAOMBA WATANZANIA KUTUMIA SIKU 3 KUMUOMBA MUNGU ATUEPUSHE NA JANGA LA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JlpWmscoaF8/XpiBLw8ZKZI/AAAAAAALnMo/icG9AYhvtVU-8ATBPXG7-V7ryOwrIHpFQCLcBGAsYHQ/s400/3%2B-%2B2019-09-01T163208.843.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-bN9aTz58Xrg/XpiBgZ26vFI/AAAAAAALnMw/E2oaq1Ydo-cYr0ZS7BM3vdOB3t1zcQEXwCLcBGAsYHQ/s400/7d17e153-138c-43e0-8194-9b45a545532f.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JlpWmscoaF8/XpiBLw8ZKZI/AAAAAAALnMo/icG9AYhvtVU-8ATBPXG7-V7ryOwrIHpFQCLcBGAsYHQ/s72-c/3%2B-%2B2019-09-01T163208.843.jpg)
RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI AWAOMBA WATANZANIA KUTUMIA SIKU 3 KUMUOMBA MUNGU AWAEPUSHE NA JANGA LA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JlpWmscoaF8/XpiBLw8ZKZI/AAAAAAALnMo/icG9AYhvtVU-8ATBPXG7-V7ryOwrIHpFQCLcBGAsYHQ/s640/3%2B-%2B2019-09-01T163208.843.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-bN9aTz58Xrg/XpiBgZ26vFI/AAAAAAALnMw/E2oaq1Ydo-cYr0ZS7BM3vdOB3t1zcQEXwCLcBGAsYHQ/s1600/7d17e153-138c-43e0-8194-9b45a545532f.jpg)
5 years ago
CCM Blog24 May
PROF. KABUDI: KAULI YA RAIS DK. MAGUFULI KUHIMIZA WATANZANIA KUSALI ILI TAIFA LIONDOKANE NA COVID 19 HAIKUWA IKIMAANISHA KUPUUZA KANUNI ZA KISAYASI KATIKA KUKABILIANA NA UGONJWA HUO
Akitoa salam za Shukrani kwa Mungu na watanzania kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ikiwa ni hitimisho la siku tatu za...
9 years ago
BBCSwahili05 Nov
Rais John Magufuli aapishwa rasmi Tanzania
9 years ago
Dewji Blog26 Dec
Waziri Nape Nnauye awataka Watanzania kuendelea kumuombea Rais Dk John Pombe Magufuli, kazi ya kutumbua majipu ni ngumu na ina vikwazo vingi
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Ndugu Nape Nnauye aliyekuwa mgeni rasmi akimuwakilisha Makamu wa Rais Mh. Mama Samia Suluhu Hassan akizindua rasmi albam mbili za kwaya ya Wakorintho wa Pili kwenye tamasha la Krismas lililofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jana, ambapo mwimbaji wa muziki wa injili kutoka nchini Afrika ya Kusini Rebecca Malope amefanya onesho kubwa lililovuta hisia za mashabiki wengi waliohudhuria katika tamasha hili akishirikiana na waimbaji mbalimbali...
9 years ago
Bongo529 Oct
Dkt John Magufuli atangazwa rais Mteule wa Tanzania
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-4xDxIDEe7D8/VjtNetHN7EI/AAAAAAAAq84/2sZJ6-N_eKg/s72-c/01.jpg)
RAIS WA AWAMU YA TANO YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DK. JOHN POMBE MAGUFULI
![](http://3.bp.blogspot.com/-4xDxIDEe7D8/VjtNetHN7EI/AAAAAAAAq84/2sZJ6-N_eKg/s640/01.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ffSbvoAvxcc/VjtNM4JOjII/AAAAAAAAq8o/V-0Xt-yc-pE/s640/02.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rrwz42xRAIA/VjtNcrbgNMI/AAAAAAAAq8w/SbopQx04pnU/s640/03.jpg)