Rais John Magufuli aapishwa rasmi Tanzania
John Pombe Magufuli sasa ndiye rais mpya wa taifa la Tanzania baada ya kuapishwa rasmi kufuatia ushindi wake wa wingi wa kura katika uchaguzi mkuu uliopita.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo506 Nov
Picha: Dkt John Magufuli aapishwa kuwa Rais wa Tanzania, aahidi kuwatumikia wananchi ‘nina deni kubwa’
![ma35](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/ma35-300x194.jpg)
Dokta John Pombe Magufuli, Alhamis hii ameapishwa kuwa Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika hafla iliyohudhuriwa na wananchi pamoja na viongozi wa nchi mbalimbali barani Afrika.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dokta John Pombe Magufuli akiapishwa Alhamis hii
Ikiwa ni siku iliyotangazwa na Rais aliyeondoka madarakani Jakaya Kikwete kuwa ya mapumziko, wananchi wengi walishuhudia kuapishwa kwa Magufuli kupitia runinga zao. Wengine walisikiliza matangazo...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Hnc0O0Hxb4g/VlLWS7jQ51I/AAAAAAAIH7w/HMt_9a4LoNI/s72-c/IMGL0862.jpg)
HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, AKIFUNGUA RASMI BUNGE JIPYA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, DODOMA, 20 NOVEMBA 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-Hnc0O0Hxb4g/VlLWS7jQ51I/AAAAAAAIH7w/HMt_9a4LoNI/s640/IMGL0862.jpg)
Niko hapa leo kutimiza matakwa ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 91 Ibara ndogo ya kwanza inayonitaka kulihutubia na kulifungua rasmi Bunge hili. Naomba nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia uzima na afya njema, na kutuwezesha kuwepo hapa siku ya leo. Aidha nitumie fursa hii kuwakumbuka wenzetu ambao, kwa namna na nafasi mbalimbali, walishiriki katika mchakato wa uchaguzi huu na kwa bahati mbaya walipoteza maisha yao kabla ya mchakato haujakamilika. Kwa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cDEmeB8bWGSoL66ERYTkXzQ6A-rPrUgD5ghN9-0jyC7wg9sNg*z1SMmUb0i9ZWdT7tCsmGLLl-g-gySUXrUOXaBdmoweh0C4/BREAKINGNEWS3.gif)
DK. MAGUFULI AAPISHWA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xnX5PIIUtt4/VjtQes1oPxI/AAAAAAADBzg/oGWuNGxo2PQ/s72-c/jpm1.jpg)
MAGUFULI AAPISHWA KUWA RAIS WA AWAMU YA TANO WA TANZANIA LEO JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-xnX5PIIUtt4/VjtQes1oPxI/AAAAAAADBzg/oGWuNGxo2PQ/s640/jpm1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ecH0S1dOskA/VjtQ9LhIKpI/AAAAAAADB0Y/umjX2Ug3Xfs/s640/jpm3.jpg)
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akabidhiwa rasmi ofisi na Rais mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo Ikulu, Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-tgNcoF9ufak/VkSPy6o24LI/AAAAAAAIFdo/DC7CsZoc1B0/s640/jpJK%2B%25281%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jac6XOpCQ8g/VkSPy-I5yNI/AAAAAAAIFds/kwff6srFcjM/s640/jpJK%2B%25282%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X2j3mXwwlBQ/VkSQRrOdHAI/AAAAAAAIFd8/hheeKoqrIMk/s640/jpJK%2B%25283%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/RwNp_aJnH9o/default.jpg)
RAIS DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI AKABIDHIWA RASMI OFISI NA RAIS MSTAAFU WA AWAMU YA NNE DKT JAKAYA MRISHO KIKWETE LEO IKULU, DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-tgNcoF9ufak/VkSPy6o24LI/AAAAAAAIFdo/DC7CsZoc1B0/s640/jpJK%2B%25281%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jac6XOpCQ8g/VkSPy-I5yNI/AAAAAAAIFds/kwff6srFcjM/s640/jpJK%2B%25282%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X2j3mXwwlBQ/VkSQRrOdHAI/AAAAAAAIFd8/hheeKoqrIMk/s640/jpJK%2B%25283%2529.jpg)
9 years ago
Mwananchi05 Nov
DK Magufuli aapishwa rasmi kuongoza serikali ya awamu ya tano
11 years ago
BBCSwahili07 Jun
Rais wa Ukraine aapishwa rasmi
9 years ago
Bongo529 Oct
Dkt John Magufuli atangazwa rais Mteule wa Tanzania