MAGUFULI AAPISHWA KUWA RAIS WA AWAMU YA TANO WA TANZANIA LEO JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-xnX5PIIUtt4/VjtQes1oPxI/AAAAAAADBzg/oGWuNGxo2PQ/s72-c/jpm1.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dkt. John Pombe Magufuli akikagua gwaride maalum la Jeshi la Ulinzi lenye Umbo la Alfa, ikiwa ni ishara ya kuanza kwa Serikali mpya ya awamu ya tano, katika Sherehe za kuapishwa kwake, zilizofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es salaam leo. Sherehe hizo zimehudhuliwa na viongozi mbali mbali wa ndani na nje ya nchi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dkt. John Pombe Magufuli akila kiapo mbele ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Mh....
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboDK. JOHN POMBE MAGUFULI AKABIDHIWA CHETI CHA USHINDI WA URAIS WA TANZANIA AWAMU YA TANO JIJINI DAR ES SALAAM LEO
9 years ago
Mwananchi05 Nov
DK Magufuli aapishwa rasmi kuongoza serikali ya awamu ya tano
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cDEmeB8bWGSoL66ERYTkXzQ6A-rPrUgD5ghN9-0jyC7wg9sNg*z1SMmUb0i9ZWdT7tCsmGLLl-g-gySUXrUOXaBdmoweh0C4/BREAKINGNEWS3.gif)
DK. MAGUFULI AAPISHWA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-4xDxIDEe7D8/VjtNetHN7EI/AAAAAAAAq84/2sZJ6-N_eKg/s72-c/01.jpg)
RAIS WA AWAMU YA TANO YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DK. JOHN POMBE MAGUFULI
![](http://3.bp.blogspot.com/-4xDxIDEe7D8/VjtNetHN7EI/AAAAAAAAq84/2sZJ6-N_eKg/s640/01.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ffSbvoAvxcc/VjtNM4JOjII/AAAAAAAAq8o/V-0Xt-yc-pE/s640/02.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rrwz42xRAIA/VjtNcrbgNMI/AAAAAAAAq8w/SbopQx04pnU/s640/03.jpg)
9 years ago
Bongo506 Nov
Picha: Dkt John Magufuli aapishwa kuwa Rais wa Tanzania, aahidi kuwatumikia wananchi ‘nina deni kubwa’
![ma35](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/ma35-300x194.jpg)
Dokta John Pombe Magufuli, Alhamis hii ameapishwa kuwa Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika hafla iliyohudhuriwa na wananchi pamoja na viongozi wa nchi mbalimbali barani Afrika.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dokta John Pombe Magufuli akiapishwa Alhamis hii
Ikiwa ni siku iliyotangazwa na Rais aliyeondoka madarakani Jakaya Kikwete kuwa ya mapumziko, wananchi wengi walishuhudia kuapishwa kwa Magufuli kupitia runinga zao. Wengine walisikiliza matangazo...
9 years ago
CCM Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-1L3O236mn1k/VjtPcNMyjPI/AAAAAAAA1Bw/YxiI6cKw9-k/s72-c/DSC_0022.jpg)
DK. MAGUFULI RASMI URAIS, AAPISHWA LEO JIJINI DAR ES ASALAAM, NI PAMOJA NA MAKAMU WAKE, MAMA SAMIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-1L3O236mn1k/VjtPcNMyjPI/AAAAAAAA1Bw/YxiI6cKw9-k/s640/DSC_0022.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-msrctq3Q5pA/VjtPpgqOXCI/AAAAAAAA1B8/VFCUQqdfZmI/s640/DSC_0002.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lqc9JeeAFDk/VjtPo2U9BDI/AAAAAAAA1B4/4Lyg194Q4DQ/s640/DSC_0003.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UMyaLGF8hyM/VjtPpiH0WII/AAAAAAAA1CA/_pUEJ_fQTlM/s640/DSC_0004.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-g0ig7haYieo/XmJmIUDxOoI/AAAAAAACIOM/hPoNk-KK2Hk9akSzQDKehCm-xZWMaEoUACLcBGAsYHQ/s72-c/kk%2B%25283%2529.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AMUAPISHA GERALD MUSABILA KUSAYA KUWA KATIBU MKUU WIZARA YA KILIMO, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-g0ig7haYieo/XmJmIUDxOoI/AAAAAAACIOM/hPoNk-KK2Hk9akSzQDKehCm-xZWMaEoUACLcBGAsYHQ/s320/kk%2B%25283%2529.jpg)
IKULU, Dar es Salaam
Rais Dk. John Magufuli, amemuapisha Gerald Musabila Kusaya kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo katika iliyofanyika leo Ikulu Jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wakiwemo Mawaziri, Makatibu Wakuu na Naibu Katibu Mkuu, Viongozi Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama...
9 years ago
Habarileo29 Oct
BREAKING NEWS: Magufuli rais wa awamu ya tano
MGOMBEA urais wa Jamhauri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk John Pombe Joseph Magufuli amechaguliwa kuwa Rais wa Awamu ya Tano ya Serikali ya Tanzania kwa asilimia 58.46 ya kura zote zilizopigwa kufuatia uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani uliofanyika tarehe 25 mwezi huu.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Q7I33ExkUhI/VeyAWi2GXvI/AAAAAAAC-pE/gt-zfXLNejE/s72-c/_MG_2349.jpg)
HIVI NDIVYO MAGUFULI ALIVYOUTIKISA MJI WA MOROGORO JIONI YA LEO,JK ASEMA MAGUFULI NDIO JIBU SAHIHI AWAMU YA TANO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q7I33ExkUhI/VeyAWi2GXvI/AAAAAAAC-pE/gt-zfXLNejE/s640/_MG_2349.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-fngZm-zjunM/VeyANwF0pSI/AAAAAAAC-oI/O-zQcwWVB68/s640/_MG_1977.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AAFaROicWaM/VeyAiz6hXaI/AAAAAAAC-qk/wDsT70VpUdk/s640/_MG_2558.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XxO8rKBUVtw/VeyAkC_sXcI/AAAAAAAC-q4/Q9XnYCuurI4/s640/_MG_2594.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10