DK. MAGUFULI AAPISHWA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://api.ning.com:80/files/cDEmeB8bWGSoL66ERYTkXzQ6A-rPrUgD5ghN9-0jyC7wg9sNg*z1SMmUb0i9ZWdT7tCsmGLLl-g-gySUXrUOXaBdmoweh0C4/BREAKINGNEWS3.gif)
Hatimaye aliyekuwa Rais Mteule Dk. John Pombe Magufuli ameapishwa rasmi kuwa rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hivi sasa katika sherehe zinazoendelea kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Hnc0O0Hxb4g/VlLWS7jQ51I/AAAAAAAIH7w/HMt_9a4LoNI/s72-c/IMGL0862.jpg)
HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, AKIFUNGUA RASMI BUNGE JIPYA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, DODOMA, 20 NOVEMBA 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-Hnc0O0Hxb4g/VlLWS7jQ51I/AAAAAAAIH7w/HMt_9a4LoNI/s640/IMGL0862.jpg)
Niko hapa leo kutimiza matakwa ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 91 Ibara ndogo ya kwanza inayonitaka kulihutubia na kulifungua rasmi Bunge hili. Naomba nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia uzima na afya njema, na kutuwezesha kuwepo hapa siku ya leo. Aidha nitumie fursa hii kuwakumbuka wenzetu ambao, kwa namna na nafasi mbalimbali, walishiriki katika mchakato wa uchaguzi huu na kwa bahati mbaya walipoteza maisha yao kabla ya mchakato haujakamilika. Kwa...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-PQPYGEH-0AQ/VjIijlUTHMI/AAAAAAABYPI/KRPt_5V2Vx0/s72-c/Magufuli-1.jpg)
BREAKING NEWS: NEC YAMTANGAZA DK. JOHN POMBE MAGUFULI KUWA RAIS MTEULE WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-PQPYGEH-0AQ/VjIijlUTHMI/AAAAAAABYPI/KRPt_5V2Vx0/s640/Magufuli-1.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Jaji Damian Lubuva amtangaza Dk. John Pombe Magufuli kuwa mshindi wa kiti cha urais baada ya kushinda uchaguzi mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliofanyika Oktoba 25 mwaka huu nchini kote na kumshinda mpinzania wake mkuu Ndugu Edwarld Lowasa aliyekuwa anagombea kwa tiketi ya Chadema kupitia muungano wa vyama vinne vya upinzani UKAWA, Dk John Pombe Magufuli ameshinda kwa kura 8.882.935 sawa na asilimia 58.46 huku Edwarld Lowasa akipata kura 6.072.848...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-w6Ju0P-HHtc/VeCANr7l52I/AAAAAAAH0sQ/xBIpFYHfENM/s72-c/_MG_8415.jpg)
MAGUFULI AHIDI KUANZISHA MAHAKAMA YA MAFISADI NA WALA RUSHWA IWAPO ATACHAGULIWA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-w6Ju0P-HHtc/VeCANr7l52I/AAAAAAAH0sQ/xBIpFYHfENM/s640/_MG_8415.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NWeK14oK28Y/VeCAA5jGTLI/AAAAAAAH0rg/PM1zThJFtvc/s640/_MG_8247.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-w6Ju0P-HHtc/VeCANr7l52I/AAAAAAAH0sQ/xBIpFYHfENM/s72-c/_MG_8415.jpg)
MAGUFULI AHIDI KUANZISHA MAHAKAMA YA MAFISADI NA WALA RUSHWA IWAPO ATACHAGULIWA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-w6Ju0P-HHtc/VeCANr7l52I/AAAAAAAH0sQ/xBIpFYHfENM/s640/_MG_8415.jpg)
Dkt Magufuli amesema kuwa serikali atakayoingoza atakapopata ridhaa ya kuingia Ikulu,itazifanya huduma za Afya kuwa bora na kuwabana wahudumu wa afya wenye tabia ya kuchukua dawa na kuziuza kwa watu binafsi.
Magufuli ambaye...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g3GYObeUA7U/ViFDmfHDnOI/AAAAAAADBBc/TlfF4R_Lujk/s72-c/_MG_6485.jpg)
DKT SHEIN AMNADI DKT MAGUFULI KISIWANI UNGUJA LEO,ASEMA ANATOSHA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-g3GYObeUA7U/ViFDmfHDnOI/AAAAAAADBBc/TlfF4R_Lujk/s1600/_MG_6485.jpg)
Dkt Shein emebainisha wazi kwenye mkutano huo wa kampeni kuwa Dkt Magufuli ni mtu sahihi na anatosha kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,amesema kuwa iwapo...
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-4xDxIDEe7D8/VjtNetHN7EI/AAAAAAAAq84/2sZJ6-N_eKg/s72-c/01.jpg)
RAIS WA AWAMU YA TANO YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DK. JOHN POMBE MAGUFULI
![](http://3.bp.blogspot.com/-4xDxIDEe7D8/VjtNetHN7EI/AAAAAAAAq84/2sZJ6-N_eKg/s640/01.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ffSbvoAvxcc/VjtNM4JOjII/AAAAAAAAq8o/V-0Xt-yc-pE/s640/02.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rrwz42xRAIA/VjtNcrbgNMI/AAAAAAAAq8w/SbopQx04pnU/s640/03.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xnX5PIIUtt4/VjtQes1oPxI/AAAAAAADBzg/oGWuNGxo2PQ/s72-c/jpm1.jpg)
MAGUFULI AAPISHWA KUWA RAIS WA AWAMU YA TANO WA TANZANIA LEO JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-xnX5PIIUtt4/VjtQes1oPxI/AAAAAAADBzg/oGWuNGxo2PQ/s640/jpm1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ecH0S1dOskA/VjtQ9LhIKpI/AAAAAAADB0Y/umjX2Ug3Xfs/s640/jpm3.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-zn68vyApwHA/VaKESgjBx6I/AAAAAAAAI5w/fEnHSotQkB0/s72-c/Magufuli.jpg)
Hotuba ya Dr John Pombe Magufuli kukubali kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-zn68vyApwHA/VaKESgjBx6I/AAAAAAAAI5w/fEnHSotQkB0/s640/Magufuli.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania