DKT SHEIN AMNADI DKT MAGUFULI KISIWANI UNGUJA LEO,ASEMA ANATOSHA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-g3GYObeUA7U/ViFDmfHDnOI/AAAAAAADBBc/TlfF4R_Lujk/s72-c/_MG_6485.jpg)
Mgombea Urais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt Mohamed Shein akimnadi Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi CCM Dkt John Pombe Magufuli mbele ya maelfu ya wananchi waliohudhuria mkutano wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja,kisiwani Unguja jioni ya leo.
Dkt Shein emebainisha wazi kwenye mkutano huo wa kampeni kuwa Dkt Magufuli ni mtu sahihi na anatosha kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,amesema kuwa iwapo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oCvgswGyPcA/Vn7emWwBPaI/AAAAAAAIOzA/VsaSe6F8TZk/s72-c/02d9c313-1568-4235-b494-d53c33070398.jpg)
RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT JOHN POMBE MAGUFULI AKUTANA NA RAIS WA ZANZIBAR DKT ALI MOHAMED SHEIN IKULU DAR ES SALAAM LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-oCvgswGyPcA/Vn7emWwBPaI/AAAAAAAIOzA/VsaSe6F8TZk/s640/02d9c313-1568-4235-b494-d53c33070398.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JVsBXBXaqTA/Vn7enLRejMI/AAAAAAAIOzE/zn9tnJa2Bm4/s640/9d38830b-ab53-4915-aebb-766571974852.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1l0wTMUOX2s/Vn7ennsdCkI/AAAAAAAIOzI/DjLZzyXmxr0/s640/c2008a24-502b-40de-82f2-0ab70c2d9c3c.jpg)
5 years ago
Michuzi9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cDEmeB8bWGSoL66ERYTkXzQ6A-rPrUgD5ghN9-0jyC7wg9sNg*z1SMmUb0i9ZWdT7tCsmGLLl-g-gySUXrUOXaBdmoweh0C4/BREAKINGNEWS3.gif)
DK. MAGUFULI AAPISHWA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vVWZI3-17Oc/XumunPLz62I/AAAAAAALuKM/VuVJupFVXN4534yKnhz4qh36_46zo47GwCLcBGAsYHQ/s72-c/caaf6326-7ab0-4fa8-8a76-91d9d64c1696.jpg)
HUYU NDIYE MH. DKT. JOHN POMBE JOSEPH MGUFULI RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
MH John Pombe Joseph Magufuli alizaliwa Oktoba 29,mwaka 1959 katika kijiji cha Chato,wilayani Biharamuro katika Mkoa wa Kagera .hivi sasa Chato ni Wilaya katika Mkoa wa Geita.
Mh Magufuli ni Daktari wa Falsafa (PhD) ya Kemia .Amejaliwa Mke na watoto Saba.Mh Magufuli alichaguliwa na Watanzania kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwezi Oktoba ,2015 kwa tiketi ya CCM na kuapishwa ili aanze majukumu yake rasmi...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Hnc0O0Hxb4g/VlLWS7jQ51I/AAAAAAAIH7w/HMt_9a4LoNI/s72-c/IMGL0862.jpg)
HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, AKIFUNGUA RASMI BUNGE JIPYA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, DODOMA, 20 NOVEMBA 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-Hnc0O0Hxb4g/VlLWS7jQ51I/AAAAAAAIH7w/HMt_9a4LoNI/s640/IMGL0862.jpg)
Niko hapa leo kutimiza matakwa ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 91 Ibara ndogo ya kwanza inayonitaka kulihutubia na kulifungua rasmi Bunge hili. Naomba nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia uzima na afya njema, na kutuwezesha kuwepo hapa siku ya leo. Aidha nitumie fursa hii kuwakumbuka wenzetu ambao, kwa namna na nafasi mbalimbali, walishiriki katika mchakato wa uchaguzi huu na kwa bahati mbaya walipoteza maisha yao kabla ya mchakato haujakamilika. Kwa...
10 years ago
VijimamboDKT. MAGUFULI AWASILI KISIWANI ZANZIBAR NA KUPATA WADHAMINI WENGI KATIKA MIKOA YA UNGUJA NA PEMBA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fUnqyANZ-jQ/VDAQnYTq0BI/AAAAAAAGn1g/MHWpHEx0GCU/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
DKT SHEIN AWASILI KISIWANI PEMBA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-fUnqyANZ-jQ/VDAQnYTq0BI/AAAAAAAGn1g/MHWpHEx0GCU/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XASXpKqXMcQ/VDAQn72Od0I/AAAAAAAGn1k/sRfnLom2oBc/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TuH-vYM0DCxCCo7Cf3-1cvsd3E207Hy5ZdZ3DT6U0SRSzt619CQu6fJYhqvFkLyReASkAzBmQCzs2NCMODh29*JWf4Uogrkg/h4.jpg?width=750)
SALAMU ZA MWAKA MPYA ZA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE KWA WATANZANIA,