WAZIRI BASHUNGWA AWATOA HOFU WATANZANIA KUHUSU UHABA WA SUKARI NCHINI,AWATAKA WAFANYA BIASHARA KUZINGATIA BEI ELEKEZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-RHbWNfnVjH0/Xr4lAu1dJnI/AAAAAAALqTA/AwnUqTBoAGA6bXciIopdk1tFIs-9iWv5gCLcBGAsYHQ/s72-c/675b6db5-2b5f-471e-9bf1-711f454db6fe.jpg)
Na. Eliud Rwechungura – Wizara ya Viwanda na Biashara.
Waziri wa viwanda na Biashara Mhe.Innocent Bashungwa (Mb) amewahakikishia watanzania kuwa hakutakuwa na uhaba wa sukari tena na kuwataka wananchi wasiwe na hofu juu ya sukari na kuwahasa wauzaji kuzingazia bei elekezi.
Mhe.Bashungwa ameyasema hayo jana Mei 14, 2020 alipofika katika bandari ya Mwanza kusini na kushuhudia Shehena ya Sukari tani 20,000 ikishushwa na meli kutoka Nchini Uganda iliyoagizwa na kiwanda cha kagera sugar kwa ni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SD7xtH-EFeI/XkatQ6VdKGI/AAAAAAALdZI/fBDiQKcQPYAhWp5LIiyZJxPkHL6Yu26eACLcBGAsYHQ/s72-c/03.jpg)
Waziri awatoa hofu wananchi kuhusu Mloganzila
![](https://1.bp.blogspot.com/-SD7xtH-EFeI/XkatQ6VdKGI/AAAAAAALdZI/fBDiQKcQPYAhWp5LIiyZJxPkHL6Yu26eACLcBGAsYHQ/s640/03.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-bgL39I8-ygw/XkatRGBtHcI/AAAAAAALdZM/OkRGAc6a36ogx8zdDENrXnyoJHFgWYoNACLcBGAsYHQ/s640/04.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-2F4gh58xqkU/XkatPUFHa6I/AAAAAAALdZE/fHo99WWCykwlkAaKN5dLvf9tSH8qmysEwCLcBGAsYHQ/s640/05.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OCqsXl34eAU/XsrR4vvI4QI/AAAAAAALrb8/fVk1CFWYXqQ6MmBwuGw8r_HZyWCSAOFUgCLcBGAsYHQ/s72-c/P1.jpg)
WAZIRI KAIRUKI AWATOA HOFU WAWEKEZAJI NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-OCqsXl34eAU/XsrR4vvI4QI/AAAAAAALrb8/fVk1CFWYXqQ6MmBwuGw8r_HZyWCSAOFUgCLcBGAsYHQ/s640/P1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/P8.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki akioneshwa na kupewa maelezo kuhusu mtambo wa kuzalisha mvinyo kutoka kwa Mhandisi wa Kemikali na Mchakato tija wa kiwanda hicho, Daniel Mollel wakati wa ziara yake katika kiwanda cha kuzalisha mvinyo cha DOMIYA.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/P7.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Kav7MKgS8Kk/XqU3JGZDJ_I/AAAAAAALoPo/Qlxs5tgoxsgHOXlGUrU_FvDX_rMwreCEACLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
BASHUNGWA AWATAKA WENYE VIWANDA VYA SUKARI KUREJEA MIKATABA YA UBINAFSISHWAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Kav7MKgS8Kk/XqU3JGZDJ_I/AAAAAAALoPo/Qlxs5tgoxsgHOXlGUrU_FvDX_rMwreCEACLcBGAsYHQ/s320/unnamed.jpg)
Mhe. Bashungwa aliyasema hayo mkoani Kilimanjaro alipofanya ziara katika kiwanda cha cha kuzalisha sukari cha TPC ili kujiridhisha na hali ya uzalishaji viwandani hapa.
Kuna viwanda vinne Kagera sugar, Mtibwa Sugar, Kilombero Sugar na TPC wakati vinabinafsishwa vilipewa malengo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5ddBPD_USjo/XsfoizyKFQI/AAAAAAALrTU/Nr0bwD6eJLo1cvUpva90JK1HJWpzckJbwCLcBGAsYHQ/s72-c/NJOMBE.jpg)
DC Msafiri aagiza vyombo vya ulinzi kufuatilia bei elekezi ya Sukari
Na Amiri kilagalila,Njombe
Serikali wilayani Njombe imeagiza wafanyabishara wa Sukari wilayani humo kuzingatia bei elekezi iliyopangwa na serikali kufuatwa katika mkoa huo ili kudhibidi mlipuko na wizi unaofanywa na baadhi ya wafanyabiashara.
Ili kudhibiti kasi ya ongezeko la bei ya sukari nchini serikali imepanga bei ya sukari kwa kila mkoa kulingana na mazingira na mahitaji kwa kuzingatia sherikali sheria ya Sukari No 26 ya Mwaka 2001(Cap. 251) chini ya kifungu cha 11A ambayo imeutaka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8uxEJer_S68/XmPAR6begOI/AAAAAAALhvQ/F-PMH6hoG-0GfiRJNjustggeewOFgWeggCLcBGAsYHQ/s72-c/29c5eeb7-df9e-4ed5-af74-f3cb5a87d074.jpg)
WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA INNOCENT BASHUNGWA ASHIRIKI MKUTANO WA JUKWAA LA KUMI LA BIASHARA ZANZIBAR.
Mkutano huo umefunguliwa Leo 07.03.2020 katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar na Mgeni rasmi alikuwa ni Mwenyekiti wa jukwaa la biashara na Rais wa Zanzibar Mhe .Dkt Ali Mohamed Shein ambae amefungua jukwaa hilo ambalo lengo kuu ni kutazama fursa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Nqqwi-P4Www/XusMi8PnJUI/AAAAAAALuX0/k0WRPcszNeMyM2-WobGzHwoiFBPN3aSyQCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
BASHUNGWA AWAHAKIKISHIA WATANZANIA KUENDELEA KUNUFAIKA KUSHUKA KWA BEI YA MAFUTA"
Na Eliud Rwechungura – Wizara ya Viwanda na Biashara.
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Innocent Bashungwa amezielekeza FCC, EWURA, WMA kufanya ukaguzi na kuwachukulia hatua wafanyabiashara na waagizaji wa mafuta wanaoficha bidhaa hiyo kwa lengo la kuyauza kwa bei ya juu yatakapoadimika au kupanda bei.
Waziri Bashungwa aliyasema Juni 17, 2020 jijini Dar es salaam katika kikao kazi na Watendaji wa Mamlaka za Tume ya Ushindani (FCC), Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA), Wakala...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Hp3MBZpIeok/XncIGQOOIBI/AAAAAAALkrw/CFCMzGBKvR48UZr04I2uNvqwC-vYKVF2ACLcBGAsYHQ/s72-c/3ef5b5ac-7cd6-46ef-a632-819d025f2620.jpg)
Waziri Bashungwa awataka wanaouza vitakasa mikono kuwa wazalendo
*Atembelea viwanda vya vinavyozalisha vitakasa mikono
Na Chalila Kibuda ,Michuzi Globu.
Serikali kupitia Wizara ya Viwanda na Biashara imewaelekeza Shirika la Viwango Tanzania (TBS),kushirikiana kwa karibu na wazalishaji waliopo na wengine wapya wanaonesha nia ya kuzalisha bidhaa ya Vitakatisha Mikono kuona ni namna wananvyoweza kuongeza upatikanaji wa bidhaa hiyo sokoni.
Wizara kwa kushirikiana na taasisi zake za usimamizi wa soko,itaendelea kufanya ukaguzi na uchunguzi sokoni ili kubaini...
5 years ago
MichuziCORONA YASABABISHA WAFANYABIASHARA KUCHELEWA KUAGIZA SUKARI KWA WAKATI, SERIKALI YAINGILIA KATI YATATUA CHANGAMOTO HIYO - WAZIRI BASHUNGWA
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma
Serikali imewahakikishia watanzania kuwa hakuna upungufu wa sukari Tanzania hivyo wananchi hawapaswi kuwa na wasiwasi wa aina yoyote ile.
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe Innocent Bashungwa (Mb) ameyasema hayo Jijini Dodoma leo tarehe 16 Aprili 2020 wakati akitoa...
5 years ago
MichuziMBUNGE HONGOLI AWATOA HOFU WAKULIMA WA CHAI LUPEMBE KUHUSU MALIPO YAO YA CHAI
Mbunge wa Jimbo la Lupembe, Joramu Hongoli akihutubia mkutano wa hadhara katika Kata ya Lupembe, mkoani Njombe, ambapo pamoja na mambo mengine alisisitiza kuimarisha umoja na mshikamano kati ya wananchi na viongozi mbalimbali ili kurahisisisha kutatua kero na kuleta maendeleo katika Kata hiyo. Pia alizungumzia suluhisho la malipo ya wakulima wa chai wanaovidai viwanda . Aliwatoa hofu kwamba wasiwe na wasiwasi serikali iko pamoja nao na kwamba fedha zao watalipwa hivi punde. Kutoka kulia ni ...