Waziri awatoa hofu wananchi kuhusu Mloganzila
![](https://1.bp.blogspot.com/-SD7xtH-EFeI/XkatQ6VdKGI/AAAAAAALdZI/fBDiQKcQPYAhWp5LIiyZJxPkHL6Yu26eACLcBGAsYHQ/s72-c/03.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, Ummy Mwalimu na Prof. Lawrence Museru wakimsikiliza Bi. Anna Msaki akielezea namna anavyopatiwa matibabu hospitalini hapo.
Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Tiba katika Hospitali ya MNH-Mloganzila, Dkt. Mohamed Mohamed akifafanua namna wataalam wa afya wanashirikiana katika kutoa huduma hospitalini hapa.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akitoa mapendekezo ya namna eneo maalum...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-uEE4g7igrn0/Xka39dkD5kI/AAAAAAAA8gU/aH18qdagiGUmQsIo7QPolgBBc1jXw94lwCNcBGAsYHQ/s72-c/171a535c-73db-4894-a674-a478349aef61.jpg)
WAZIRI UMMY AWATOAHOFU WANANCHI KUHUSU MLOGANZILA
![](https://1.bp.blogspot.com/-uEE4g7igrn0/Xka39dkD5kI/AAAAAAAA8gU/aH18qdagiGUmQsIo7QPolgBBc1jXw94lwCNcBGAsYHQ/s640/171a535c-73db-4894-a674-a478349aef61.jpg)
Waziri Ummy ameyasema hayo leo mara baada ya kufanya ziara hospitalini hapa kwa lengo la kufahamu changamoto mbalimbali ambazo wagonjwa wanakutana nazo wakati wa kupatiwa huduma.
![](https://1.bp.blogspot.com/-pLzBX6QDLKs/Xka4MvN7JvI/AAAAAAAA8gY/Wcf3_tV0yBgfuXQI1ebRXJ0Gt4qMI4yPQCNcBGAsYHQ/s640/bc99d44b-7d99-4176-a8ce-1ad90fb14a9f.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RHbWNfnVjH0/Xr4lAu1dJnI/AAAAAAALqTA/AwnUqTBoAGA6bXciIopdk1tFIs-9iWv5gCLcBGAsYHQ/s72-c/675b6db5-2b5f-471e-9bf1-711f454db6fe.jpg)
WAZIRI BASHUNGWA AWATOA HOFU WATANZANIA KUHUSU UHABA WA SUKARI NCHINI,AWATAKA WAFANYA BIASHARA KUZINGATIA BEI ELEKEZI
Waziri wa viwanda na Biashara Mhe.Innocent Bashungwa (Mb) amewahakikishia watanzania kuwa hakutakuwa na uhaba wa sukari tena na kuwataka wananchi wasiwe na hofu juu ya sukari na kuwahasa wauzaji kuzingazia bei elekezi.
Mhe.Bashungwa ameyasema hayo jana Mei 14, 2020 alipofika katika bandari ya Mwanza kusini na kushuhudia Shehena ya Sukari tani 20,000 ikishushwa na meli kutoka Nchini Uganda iliyoagizwa na kiwanda cha kagera sugar kwa ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OCqsXl34eAU/XsrR4vvI4QI/AAAAAAALrb8/fVk1CFWYXqQ6MmBwuGw8r_HZyWCSAOFUgCLcBGAsYHQ/s72-c/P1.jpg)
WAZIRI KAIRUKI AWATOA HOFU WAWEKEZAJI NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-OCqsXl34eAU/XsrR4vvI4QI/AAAAAAALrb8/fVk1CFWYXqQ6MmBwuGw8r_HZyWCSAOFUgCLcBGAsYHQ/s640/P1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/P8.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki akioneshwa na kupewa maelezo kuhusu mtambo wa kuzalisha mvinyo kutoka kwa Mhandisi wa Kemikali na Mchakato tija wa kiwanda hicho, Daniel Mollel wakati wa ziara yake katika kiwanda cha kuzalisha mvinyo cha DOMIYA.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/P7.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gfa1i2RBsI8/XnUmMz9QX_I/AAAAAAALkkI/nztb-uDMLiQnKAq7GoF3zH21-NA8EwbFwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200320-WA0045.jpg)
NDIKILO AWATOA HOFU WANANCHI PWANI KWA CORONA NA KUSEMA MKOA UPO SALAMA,WAJITAHADHARI
![](https://1.bp.blogspot.com/-gfa1i2RBsI8/XnUmMz9QX_I/AAAAAAALkkI/nztb-uDMLiQnKAq7GoF3zH21-NA8EwbFwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200320-WA0045.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI,PWANI
MKOA wa Pwani, umepata washukiwa wanne wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu,(COVID- 19) ,ambao tayari wamechukuliwa sampuli na majibu yameonyesha hawana ugonjwa huo ,hivyo hadi sasa mkoa huo upo salama.
Aidha serikali mkoani hapo ,imeiomba wizara ya afya kuona umuhimu wa kupeleka vifaa vinavyotumika kupima joto kwa wageni wanaoshuka katika kiwanja cha ndege cha Mafia ,ambacho kinapokea watalii na wageni kutoka nje ya nchi kama ilivyo uwanja wa ndege wa Mwl.Nyerere....
5 years ago
CCM BlogMBUNGE HONGOLI AWATOA HOFU WAKULIMA WA CHAI LUPEMBE KUHUSU MALIPO YAO YA CHAI
5 years ago
MichuziMBUNGE HONGOLI AWATOA HOFU WAKULIMA WA CHAI LUPEMBE KUHUSU MALIPO YAO YA CHAI
Mbunge wa Jimbo la Lupembe, Joramu Hongoli akihutubia mkutano wa hadhara katika Kata ya Lupembe, mkoani Njombe, ambapo pamoja na mambo mengine alisisitiza kuimarisha umoja na mshikamano kati ya wananchi na viongozi mbalimbali ili kurahisisisha kutatua kero na kuleta maendeleo katika Kata hiyo. Pia alizungumzia suluhisho la malipo ya wakulima wa chai wanaovidai viwanda . Aliwatoa hofu kwamba wasiwe na wasiwasi serikali iko pamoja nao na kwamba fedha zao watalipwa hivi punde. Kutoka kulia ni ...
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Maswi awatoa hofu Tanesco
KATIBU Mkuu Wizara ya Nishatu na Madini, Eliakim Maswi amewatoa hofu ya kufukuzwa au kupunguzwa kwa wafanyakazi wa shirika la Tanesco kutokana na Serikali kuanzisha mkakati na mwelekeo wa kurekebisha...
10 years ago
Mwananchi15 Sep
Phiri awatoa hofu Simba
10 years ago
Mwananchi06 Jun
Lubuva awatoa hofu wapigakura