NDIKILO AWATOA HOFU WANANCHI PWANI KWA CORONA NA KUSEMA MKOA UPO SALAMA,WAJITAHADHARI
![](https://1.bp.blogspot.com/-gfa1i2RBsI8/XnUmMz9QX_I/AAAAAAALkkI/nztb-uDMLiQnKAq7GoF3zH21-NA8EwbFwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200320-WA0045.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI,PWANI
MKOA wa Pwani, umepata washukiwa wanne wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu,(COVID- 19) ,ambao tayari wamechukuliwa sampuli na majibu yameonyesha hawana ugonjwa huo ,hivyo hadi sasa mkoa huo upo salama.
Aidha serikali mkoani hapo ,imeiomba wizara ya afya kuona umuhimu wa kupeleka vifaa vinavyotumika kupima joto kwa wageni wanaoshuka katika kiwanja cha ndege cha Mafia ,ambacho kinapokea watalii na wageni kutoka nje ya nchi kama ilivyo uwanja wa ndege wa Mwl.Nyerere....
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SD7xtH-EFeI/XkatQ6VdKGI/AAAAAAALdZI/fBDiQKcQPYAhWp5LIiyZJxPkHL6Yu26eACLcBGAsYHQ/s72-c/03.jpg)
Waziri awatoa hofu wananchi kuhusu Mloganzila
![](https://1.bp.blogspot.com/-SD7xtH-EFeI/XkatQ6VdKGI/AAAAAAALdZI/fBDiQKcQPYAhWp5LIiyZJxPkHL6Yu26eACLcBGAsYHQ/s640/03.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-bgL39I8-ygw/XkatRGBtHcI/AAAAAAALdZM/OkRGAc6a36ogx8zdDENrXnyoJHFgWYoNACLcBGAsYHQ/s640/04.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-2F4gh58xqkU/XkatPUFHa6I/AAAAAAALdZE/fHo99WWCykwlkAaKN5dLvf9tSH8qmysEwCLcBGAsYHQ/s640/05.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yloyP-UzoNM/Xp8LvMX3GZI/AAAAAAALnvM/fP3bm9Tn1hAadTqpJp3qQv2XeSCsvRojwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200421-WA0012.jpg)
RC NDIKILO – CORONA HAINA MZAHA ,WANANCHI WAJILINDE NA KUCHUKUA TAHADHALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-yloyP-UzoNM/Xp8LvMX3GZI/AAAAAAALnvM/fP3bm9Tn1hAadTqpJp3qQv2XeSCsvRojwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200421-WA0012.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/IMG-20200421-WA0009.jpg)
****************************
NA MWAMVUA MWINYI,PWANI .
Mkuu wa Mkoa wa Pwani ,mhandisi Evarist Ndikilo ,amewaasa wananchi kuacha mzaha na kupuuzia kufuata elimu inayotolewa na wataalamu wa afya kujikinga na ugonjwa wa Corona huku akiwahimiza kuendelea kuchukua tahadhari .
Aidha amewahimiza kutumia kuvaa Barakoa wanapokwenda katika Ofisi mbali mbali za Umma na Binafsi ikiwemo Ofisi yake, kwenye Daladala, Bodaboda na maeneo ya Biashara ikiwemo Sokoni, Ndikilo alisema tayari Mkoa una wagonjwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1AXpOwkQrao/Xr0oLvIV7DI/AAAAAAALqL4/0Rt-yeSAMiQYeR1HuIORgxPje9bhrOLKACLcBGAsYHQ/s72-c/5fd47b5e-c033-4b39-94ff-110ad70e75a7.jpg)
WANANCHI WATAKIWA KUACHA KUPUUZIA UGONJWA WA CORONA KWANI UPO NA UNAUWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-1AXpOwkQrao/Xr0oLvIV7DI/AAAAAAALqL4/0Rt-yeSAMiQYeR1HuIORgxPje9bhrOLKACLcBGAsYHQ/s640/5fd47b5e-c033-4b39-94ff-110ad70e75a7.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/15cac668-dc26-4199-8d07-54fc44850f8a.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/067ec3cc-a5d3-4daa-a562-b6ea274cce9d.jpg)
*******************************
Na Woinde Shizza , KILIMANJARO
Diwani wa kata ya Bomambuzi iliopo ndani ya manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro Juma Rahib amewataka wananchi kuacha kupuuzia ugonjwa huu wa Corona kwani upo na unauwa hivyo ,amewataka watanzania wote kuendelea kuchukuwa tahathari kwa kufuata maelekezo yote yanayotolewa na wataalam wa Afya.
Aidha pia aliwaonya baadhi ya watu ambao wanajitokeza katika sehemu mbalimbali ikiwemo Mkoani Kilimanjaro na kudai kuwa wamevumbua dawa ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YuttQwCQN8s/XuPhjwBbYpI/AAAAAAALtpk/zKghxrHjirgAXwj-EkfdpA6xA96gZ3wygCLcBGAsYHQ/s72-c/4d81dcb5-8b7e-478a-887d-52f24ee133cc.jpg)
Katibu Mkuu Maji, Prof. Mkumbo awatoa hofu wanafunzi wanaojiandaa kwa mtihani shule ya Sekondari Tumaini, wapewa vitakasa mikono vya kutumia kwa siku 60
![](https://1.bp.blogspot.com/-YuttQwCQN8s/XuPhjwBbYpI/AAAAAAALtpk/zKghxrHjirgAXwj-EkfdpA6xA96gZ3wygCLcBGAsYHQ/s640/4d81dcb5-8b7e-478a-887d-52f24ee133cc.jpg)
Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Prof. Kitila Mkumbo akizindua eneo la kunawa mikono katika kukabiliana na maambukizi ya Virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID-19) katika shule ya sekondari ya Tumaini, mkoani Singida ambapo wanafunzi zaidi ya 100 wanajiandaa kwa mtihani wa kidato cha Sita. Kulia kwake anayeshuhudia ni Mkuu wa wilaya ya...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SYcx_iHsqFU/Vh1S61a1G_I/AAAAAAADA1c/c5dypO2fYy0/s72-c/_MG_5681.jpg)
MAGUFULI AMALIZA KAMPENI ZAKE MKOA WA LINDI,AANZA MKOA WA PWANI KWA KISHINDO
![](http://3.bp.blogspot.com/-SYcx_iHsqFU/Vh1S61a1G_I/AAAAAAADA1c/c5dypO2fYy0/s640/_MG_5681.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-O_q9I0wzUlw/Vh1TgQ5RcJI/AAAAAAADA18/aiisUZueSJ4/s640/_MG_5729.jpg)
10 years ago
Mwananchi15 Sep
Phiri awatoa hofu Simba
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Maswi awatoa hofu Tanesco
KATIBU Mkuu Wizara ya Nishatu na Madini, Eliakim Maswi amewatoa hofu ya kufukuzwa au kupunguzwa kwa wafanyakazi wa shirika la Tanesco kutokana na Serikali kuanzisha mkakati na mwelekeo wa kurekebisha...
10 years ago
Mwananchi06 Jun
Lubuva awatoa hofu wapigakura
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZvshmacpThA/XvhEdw4u0aI/AAAAAAALvv0/06qDyOgZJUA1ddCktKjihekZSUOG-dwXgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B10.16.01%2BAM.jpeg)
SERIKALI YA AWAMU YA TANO IMELETA MAENDELEO PWANI- MHANDISI NDIKILO
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo amesema ndani ya miaka mitano chini ya serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Dkt John Pombe Magufuli imepata maendeleo makubwa sana.
Ndikilo amesema, toka kupata kwa Uhuru mji wa Kisarawe haujawahi kupata maji safi na kupitia Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam DAWASA wamefanikisha kukamilika kwa mradi huo.
Mradi wa maji wa Kisarawe umeuzindulia leo na Rais Dkt John Pombe Magufuli, tunafurahi...