RC NDIKILO – CORONA HAINA MZAHA ,WANANCHI WAJILINDE NA KUCHUKUA TAHADHALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-yloyP-UzoNM/Xp8LvMX3GZI/AAAAAAALnvM/fP3bm9Tn1hAadTqpJp3qQv2XeSCsvRojwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200421-WA0012.jpg)
****************************
NA MWAMVUA MWINYI,PWANI .
Mkuu wa Mkoa wa Pwani ,mhandisi Evarist Ndikilo ,amewaasa wananchi kuacha mzaha na kupuuzia kufuata elimu inayotolewa na wataalamu wa afya kujikinga na ugonjwa wa Corona huku akiwahimiza kuendelea kuchukua tahadhari .
Aidha amewahimiza kutumia kuvaa Barakoa wanapokwenda katika Ofisi mbali mbali za Umma na Binafsi ikiwemo Ofisi yake, kwenye Daladala, Bodaboda na maeneo ya Biashara ikiwemo Sokoni, Ndikilo alisema tayari Mkoa una wagonjwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RhOiwZ5d_y0/XnX4QH-4QwI/AAAAAAALkpI/ASoM296wd9IbFi_qaRvi4szLLx7-15NnQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-21%2Bat%2B09.42.15.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gfa1i2RBsI8/XnUmMz9QX_I/AAAAAAALkkI/nztb-uDMLiQnKAq7GoF3zH21-NA8EwbFwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200320-WA0045.jpg)
NDIKILO AWATOA HOFU WANANCHI PWANI KWA CORONA NA KUSEMA MKOA UPO SALAMA,WAJITAHADHARI
![](https://1.bp.blogspot.com/-gfa1i2RBsI8/XnUmMz9QX_I/AAAAAAALkkI/nztb-uDMLiQnKAq7GoF3zH21-NA8EwbFwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200320-WA0045.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI,PWANI
MKOA wa Pwani, umepata washukiwa wanne wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu,(COVID- 19) ,ambao tayari wamechukuliwa sampuli na majibu yameonyesha hawana ugonjwa huo ,hivyo hadi sasa mkoa huo upo salama.
Aidha serikali mkoani hapo ,imeiomba wizara ya afya kuona umuhimu wa kupeleka vifaa vinavyotumika kupima joto kwa wageni wanaoshuka katika kiwanja cha ndege cha Mafia ,ambacho kinapokea watalii na wageni kutoka nje ya nchi kama ilivyo uwanja wa ndege wa Mwl.Nyerere....
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xj0oRV6hiPs/Xm-YbiVNZZI/AAAAAAALj7c/cjy7pOJjNmg_vVz7Q1Lbv5CBG5Jn_1HHQCLcBGAsYHQ/s72-c/94c8666d-7856-4233-975b-ad85943350a1.jpg)
DC CHONGOLO AWATAKA WANANCHI KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-xj0oRV6hiPs/Xm-YbiVNZZI/AAAAAAALj7c/cjy7pOJjNmg_vVz7Q1Lbv5CBG5Jn_1HHQCLcBGAsYHQ/s640/94c8666d-7856-4233-975b-ad85943350a1.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo akiwa ameambata na Katibu Tawala wa Wilaya hiyo Bi. Stella Msofe na viongozi wengine wakata na mitaa, wakitoka kukagua bandari kavu ambayo leo hii ameizindua rasmi.
![](https://1.bp.blogspot.com/-1HYbrMxQCCE/Xm-YZ0DjD_I/AAAAAAALj7Q/qeYzhb5AMoUG26we6obbRpqCJ0xvBeUPgCLcBGAsYHQ/s640/310d8972-be45-472c-b7b1-db233b7efcd9.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo akizungumza na wananchi wa Kata ya Mbweni aliofika kusikiliza na kutatua kero zao.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Dw8DQVkDfnE/Xm-YbNzozjI/AAAAAAALj7Y/K7KLd600rGUziCIu-NtqRmgib09xK4kMQCLcBGAsYHQ/s640/67183cf8-afcd-4912-b52d-866df4982f6c.jpg)
Wananchi wa Kata ya Mbweni , wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo alipofika kwa ajili ya kusikiliza na kutatua kero...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-T3mmpZoIE-U/XnBYN3CM7FI/AAAAAAALkBo/18yWYQ4Npccx6ptgnfCC5O54JFQOpDbsACLcBGAsYHQ/s72-c/08ef7071-4442-414f-8a29-e8cddae4db8e.jpg)
WANANCHI TANDAHIMBA WATAKIWA KUCHUKUA TAHADHARI YA UGONJWA WA CORONA
Akizungumza leo Wilayani hapa Kapinga amesema kuwa wananchi wanatakiwa kuacha kusalimiana kwa kushikana mikono ili kujikinga na Corona
Amesema kila mwananchi ahakikishe ana nawa mikono na maji tiririka na sabuni ikiwa ni miongoni mwa hatua za awali za kujikinga
Naye Mganga Mkuu wa Wilaya Antpas Swai amesema tayari wametenga Zahanati ya mtegu kwa ajili ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zuxhxgYY-Og/Xmz0LuUOi7I/AAAAAAALjqs/qcubVbKvNXUKBAvWQ-ijjxWyrUW1RjrPwCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-03-14-17-34-53.jpg)
KAMPUNI YA SMART OIL YAANZA KUCHUKUA TAHADHALI YA KORONA BUKOBA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-zuxhxgYY-Og/Xmz0LuUOi7I/AAAAAAALjqs/qcubVbKvNXUKBAvWQ-ijjxWyrUW1RjrPwCLcBGAsYHQ/s1600/PHOTO-2020-03-14-17-34-53.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-XxzEngaVtIg/Xmz0LgQ1akI/AAAAAAALjqw/YM_5a-NCscYIDzfCT4VjWVAN-dWGwxs1QCLcBGAsYHQ/s1600/PHOTO-2020-03-14-17-33-39.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-wRvi3-moEI8/Xmz0Lyo8wTI/AAAAAAALjq0/XwE_6ddDoWQxlFMfQqWycuyFECxw9JsKQCLcBGAsYHQ/s1600/PHOTO-2020-03-14-17-34-16.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-xc1RyT3EyBc/Xmz0M8AoHMI/AAAAAAALjq4/0FCcXBekq1Io-GswK3e7Vi4OLbPHv3yhgCLcBGAsYHQ/s1600/PHOTO-2020-03-14-17-35-27.jpg)
5 years ago
CCM BlogMKUU WA MKOA TABORA AWATAKA WANANCHI KUENDELEA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA CORONA
Kauli hiyo imetolewa na na Mkuu wa mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri kwenye mkutano maalumu wa aliouitisha kujadili mikakati ya kupambana na jinsi ya kujikinga na ugonjwa wa Corona.
Aliwataka wananchi wote mkoani humo kuungana pamoja katika utekelezaji wa mapambano hayo na kuchukua...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-O0G_uiMvGjY/XoMMyg0Cq8I/AAAAAAALlqI/YLsWnhWAC8wAmhkrqF3HuaufLNPmkrElgCLcBGAsYHQ/s72-c/5416940e-bf1a-43fc-98b3-610aca94b79c.jpg)
VIJANA NCHINI WATAKIWA KUWA WAZALENDO, KUHAMASISHA WANANCHI KUCHUKUA TAHADHARI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-O0G_uiMvGjY/XoMMyg0Cq8I/AAAAAAALlqI/YLsWnhWAC8wAmhkrqF3HuaufLNPmkrElgCLcBGAsYHQ/s640/5416940e-bf1a-43fc-98b3-610aca94b79c.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi akizungumza na kamati tendaji ya viongozi wa serikali za wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu (Tahliso) katika mkutano wa pamoja jijini Dodoma.
![](https://1.bp.blogspot.com/-SUXCsj5qhmc/XoMMxoLE7WI/AAAAAAALlqE/iG23k_Ig_FcxsiQhARsdIk6e9ix1gyAggCLcBGAsYHQ/s640/6945cc39-e4db-4b76-a28f-24c94f181f48.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi akiwa katika picha ya pamoja na kamati tendaji ya viongozi wa serikali za wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu nchini (Tahliso).
Charles James, Globu ya Jamii
VIJANA nchini wametakiwa kuwa wabunifu katika kufikia ndoto zao na siyo kukaa vijiweni wakilalamikia ugumu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qh66wQwfME0/Xrb-ugKeZ7I/AAAAAAALpoY/l4SjD35xDrIQ0sKwYd9mZMrFKWCnHfyTQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-09%2Bat%2B8.33.45%2BPM.jpeg)
DK MSUYA ASADIA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA WILAYA YA MWANGA, AWAOMBA WANANCHI KUCHUKUA TAHADHARI
Dk Msuya amekabidhi mashine mbili katika Zahanati ya Mamba iliyopo Ugweno Mwanga pamoja na Mashine zingine mbili katika soko la Kikweni lililopo ndani ya Tarafa hiyo.
Akizungumza wakati wa kukabidhi vifaa hivyo, Dk Msuya amewataka wananchi hao wa Mwanga kuendelea kuchukua...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2XWwxLDEvDs/XnRpmOIpM9I/AAAAAAALkfk/CYLH2tspUMU7_FdbGLoRbfFv69cBL9pVgCLcBGAsYHQ/s72-c/a314bd07-c8f9-43df-ad5d-b83b01237548.jpg)
TAHADHALI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-2XWwxLDEvDs/XnRpmOIpM9I/AAAAAAALkfk/CYLH2tspUMU7_FdbGLoRbfFv69cBL9pVgCLcBGAsYHQ/s640/a314bd07-c8f9-43df-ad5d-b83b01237548.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/a2a36636-2d09-4bed-988e-d7e221670cc3.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akinawa mikono kabla ya kuingia ofisini kwake Makao Makuu ya Jeshi hilo Jijini Dodoma leo, kuendelea na majukumu yake, ikiwa ni njia moja wapo ya kufanya mfano kwa vitendo nakusisitiza askari wote kufuata maelekezo yote yaliyotolewa na viongozi mbalimbali wa Kitaifa na wataalamu wa afya ili kujikinga na virusi vya ugonjwa
wa Corona (COVID –19).