KAMPUNI YA SMART OIL YAANZA KUCHUKUA TAHADHALI YA KORONA BUKOBA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-zuxhxgYY-Og/Xmz0LuUOi7I/AAAAAAALjqs/qcubVbKvNXUKBAvWQ-ijjxWyrUW1RjrPwCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-03-14-17-34-53.jpg)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Smart Ndg. Remigius Nshange maarufu Dkt. Remmy akionesha utayari na maandalizi ya kukabiliana na ugonjwa wa Ebola, mara baada ya kupatiwa mafunzo kutoka kwa maafisa Afya.
Afisa Afya Gabriel Zakaria kutoka Bukoba Manispaa akifundisha kwa vitendo namna ya kuosha mikono kwa sabuni wakati wa kuchukua tahadhali ya Ugonjwa wa Korona.
Kituo cha Mafuta cha Smart Oil kilichopo Kibeta Bukoba Manispaa kama kilivyokutwa na Kamera yetu.
Wafanyakazi na wahudumu wa Kituo cha Mafuta...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yloyP-UzoNM/Xp8LvMX3GZI/AAAAAAALnvM/fP3bm9Tn1hAadTqpJp3qQv2XeSCsvRojwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200421-WA0012.jpg)
RC NDIKILO – CORONA HAINA MZAHA ,WANANCHI WAJILINDE NA KUCHUKUA TAHADHALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-yloyP-UzoNM/Xp8LvMX3GZI/AAAAAAALnvM/fP3bm9Tn1hAadTqpJp3qQv2XeSCsvRojwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200421-WA0012.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/IMG-20200421-WA0009.jpg)
****************************
NA MWAMVUA MWINYI,PWANI .
Mkuu wa Mkoa wa Pwani ,mhandisi Evarist Ndikilo ,amewaasa wananchi kuacha mzaha na kupuuzia kufuata elimu inayotolewa na wataalamu wa afya kujikinga na ugonjwa wa Corona huku akiwahimiza kuendelea kuchukua tahadhari .
Aidha amewahimiza kutumia kuvaa Barakoa wanapokwenda katika Ofisi mbali mbali za Umma na Binafsi ikiwemo Ofisi yake, kwenye Daladala, Bodaboda na maeneo ya Biashara ikiwemo Sokoni, Ndikilo alisema tayari Mkoa una wagonjwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RhOiwZ5d_y0/XnX4QH-4QwI/AAAAAAALkpI/ASoM296wd9IbFi_qaRvi4szLLx7-15NnQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-21%2Bat%2B09.42.15.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uGQ2joBiUIc/XnPY6co0s-I/AAAAAAALkfQ/slqwnsx0PX85_snPGxR5wwx_gNv0Akw-ACLcBGAsYHQ/s72-c/ddd2AAA-768x633.jpg)
KAMPUNI YA ASAS AYATOA MAFUNZO NA KUGAWA VIFAA KINGA DHIDI YA KORONA KWA BODABODA NA BAJAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-uGQ2joBiUIc/XnPY6co0s-I/AAAAAAALkfQ/slqwnsx0PX85_snPGxR5wwx_gNv0Akw-ACLcBGAsYHQ/s640/ddd2AAA-768x633.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/dddAAA-1024x681.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/DSC_0699AAA-1024x681.jpg)
Afisa wa Usalama Mahali pa Kazi kutoka kampuni ya ASAS, Cosmas Charles akitoa elimu kwa madereva bajaji juu ya kunawa mikono kujinga na maambukizi ya virus vya corona kwenye kituo cha bajaji cha M.r hotel kilichoko manispaa ya Iringa.
……………………………….
NA DENIS MLOWE. IRINGA
KAMPUNI ya Asas imegawa msaada wa vifaa kinga na mafunzo dhidi ya kujinga na Virusi Vya Corona kwenye vituo vya Bodaboda na Bajaji manispaa ya Iringa.
Msaada huo wa ndoo maalum za kunawihia mikono na sabuni ‘Sanitezer’...
10 years ago
MichuziUBUNGE VITI MAALUM VIJANA BUKOBA;ANTU MANDOZA AJITOSA KUCHUKUA FOMU
9 years ago
StarTV22 Dec
Bandari ya Bukoba yaanza tena shughuli zake.
Manispaa ya Bukoba imeiruhusu bandari ya Bukoba kuendelea na shughuli za kawaida kufuatia hatua ya uongozi wa Bandari hiyo kukamilisha ujenzi wa choo cha kisasa,tofauti na kile chaawali ambacho kilidaiwa na uongozi wa Manispaa hiyo kutiririsha maji taka kuelekea Ziwani na kusababisha Bandari hiyo kufungiwa kipindi cha takribani mwezi mmoja .
Meli ya Mv Serengeti ambayo kwa muda wote ilikuwa ikiitumia bandari ya Kemondo iliyopo kilometa saba kutoka mjini Bukoba, imeshuhudiwa ikitia nanga...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-woQ-3_rGb-Y/UymtirLwO8I/AAAAAAACc_k/Vz0hw1o4_TA/s72-c/2.jpg)
KAMPUNI MPYA YA MTANDAO WA SIMU ZA MIKONINI SMART TELECOM YAZINDULIWA JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-woQ-3_rGb-Y/UymtirLwO8I/AAAAAAACc_k/Vz0hw1o4_TA/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ezRJ3-ldIRk/Uymti6KVtqI/AAAAAAACc_s/OUYuA2qhpIc/s1600/3.jpg)
10 years ago
GPLOIL MPYA YA MAGARI NA MITAMBO YAANZA KUUZWA NCHINI
10 years ago
Tanzania Daima17 Oct
Camel Oil yaongoza kampuni za kizalendo
MATUMIZI ya mafuta ya petroli na dizeli yamezidi kuongezeka nchini huku kampuni ya Camel Oil ikiongoza kampuni za kizalendo kwa kuagiza kiasi kikubwa mwaka huu ikitokea nafasi ya saba mwaka...