Bandari ya Bukoba yaanza tena shughuli zake.
Manispaa ya Bukoba imeiruhusu bandari ya Bukoba kuendelea na shughuli za kawaida kufuatia hatua ya uongozi wa Bandari hiyo kukamilisha ujenzi wa choo cha kisasa,tofauti na kile chaawali ambacho kilidaiwa na uongozi wa Manispaa hiyo kutiririsha maji taka kuelekea Ziwani na kusababisha Bandari hiyo kufungiwa kipindi cha takribani mwezi mmoja .
Meli ya Mv Serengeti ambayo kwa muda wote ilikuwa ikiitumia bandari ya Kemondo iliyopo kilometa saba kutoka mjini Bukoba, imeshuhudiwa ikitia nanga...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTUME YA MIPANGO WATEMBELEA BANDARI YA BUKOBA
5 years ago
Michuzi
HALI YA MJI WA BUKOBA, TAHADHARI YA CORONA, NA SHUGHULI ZA KIMAENDELEO KATIKA PICHA.






11 years ago
Habarileo09 Jul
EPZA yatetea shughuli zake
MAMLAKA ya Mauzo ya Nje (EPZA) imetaka jamii kuondokana na dhana kwamba shughuli inazozifanya pamoja na manufaa, yanayopatikana ni kwa ajili ya wawekezaji wa nje pekee.
11 years ago
BBCSwahili07 May
Shughuli ya kupiga kura yaanza Afrika Kusini
11 years ago
Michuzi.jpg)
Maboresho bandari ya Dar es Salaam yaanza kuzaa matunda
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Baraza la Siasa lasitisha shughuli zake kumlilia Mtikila
5 years ago
BBCSwahili15 Mar
Coronavirus: Mahakama Kenya yafunga baadhi ya shughuli zake
10 years ago
Vijimambo25 Mar
Shughuli ya uokoaji zimeanza tena Ufaransa






Polisi nchini Ufaransa wameeleza kuwa hali mbaya ya hewa itakwamisha zoezi la utafutaji miili ya watu wapatao mia moja na hamsini katika eneo la ajali ya ndege na hivyo kuchukuwa siku kadhaa.
Siku ya jana ndege ya Ujerumani ilianguka katika eneo la milima ya Alps huko Ufaransa na...
5 years ago
Michuzi
SHUGHULI ZA UTALII KUANZA TENA NCHINI.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini leo, Dkt. Kigwangalla amesema shughuli za Utalii zimeanza tena rasmi leo huku akisisitiza kuwa, Tanzania itafuata utaratibu wa kujikinga na kuwakinga watalii dhidi ya ugonjwa wa COVID - 19 kwa kufuata na kuzingatia maelekezo ya Wizara ya Afya na Shirika la Afya Duniani (...