Maboresho bandari ya Dar es Salaam yaanza kuzaa matunda
Maboresho yanayofanywa na serikali kupitia Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) katika kuboresha huduma zinazotolewa na bandari ya Dar es Salaam sasa zimeanza kuzaa matunda. Kaimu Meneja Mawasiliano wa TPA, Bi. Janeth Ruzangi aliwaambia waandishi wa habari mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam kuwa bandari imeanza kupata mafanikio katika kuwahudumia wateja wake na maeneo mengine kutokana maboresho yanayo endelea kufanywa. Katika miaka ya hivi karibuni pamekuwepo na mikakati mbalimbali...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
Maboresho bandari Dar yazaa matunda
MABORESHO yanayofanywa na serikali kupitia Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) katika huduma zinazotolewa na Bandari ya Dar es Salaam sasa yameanza kuzaa matunda. Kaimu Meneja Mawasiliano wa TPA, Janeth Ruzangi,...
10 years ago
Mtanzania16 Apr
Vita ya ujangili yaanza kuzaa matunda
Na Mwandishi Wetu, Manyoni
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema kumekuwapo na mafanikio katika vita dhidi ya majangili kwenye hifadhi za taifa na mapori ya akiba.
Katika kipindi cha miaka miwili iliyopita, majangili walivamia kwa kasi na kuwaua wanyamapori wakiwamo tembo na faru, hatua ambayo iliibua tishio la kutoweka kwa baadhi ya wanyamapori.
Juzi Waziri Nyalandu alitangaza kukamatwa kwa silaha za kivita zikiwamo bunduki za AK 47 na SMG katika Pori la Akiba la Rungwa...
10 years ago
MichuziBenki ya Dunia Kanda ya Afrika yaridhishwa na maboresho ya miundombinu ya bandari ya Dar es Salaam
10 years ago
Habarileo25 Feb
JK: Sekta ya elimu imeanza kuzaa matunda
RAIS Jakaya Kikwete amesema jitihada za Serikali katika kuboresha sekta ya elimu nchini, zimeanza kuzaa matunda, na sasa takribani shule zote za Serikali zimeanza kufanya vizuri tofauti na miaka ya nyuma.
10 years ago
MichuziKIVUKO CHA MV DAR ES SALAAM CHAWASILI KATIKA BANDARI YA DAR LEO ASUBUHI
10 years ago
Michuziwahariri walipotembelea bandari ya dar es salaam
10 years ago
MichuziTUME YA MIPANGO YATEMBELEA BANDARI YA DAR ES SALAAM
10 years ago
Mwananchi27 Feb
MV Dar es Salaam yaanza majaribio, yaenda bagamoyo na kurudi Dar