TUME YA MIPANGO YATEMBELEA BANDARI YA DAR ES SALAAM
Meneja wa Mipango na Mikakati wa Mamlaka ya Bandari Tanzania, Bw. Ntandu Mathayo (Kulia) akiukaribisha ugeni kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango walipokwenda kujionea maendeleo ya miradi ya kimkakati inayotekelezwa katika Bandari ya Dar es Salaam. Kushoto ni Kiongozi wa Msafara huo, Bibi Florence Mwanri. Wengine pichani ni Bw. Aloyce Andrea (Wapili Kushoto), Bw. Robert Senya (Katikati) na Bw. Abel Shirima.
Kiongozi wa Msafara kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bibi Florence Mwanri...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1yeV7l-DwVI/VHQR87bKmSI/AAAAAAAGzQg/lMt2GLIeqCk/s72-c/unnamed%2B(99).jpg)
TUME YA MIPANGO YATEMBELEA BANDARI YA MBABA BAY
10 years ago
MichuziTUME YA MIPANGO YATEMBELEA EPZA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NSF5n3oGuPM/VaNxkDav0kI/AAAAAAAHpQ4/icA-ulW9YnE/s72-c/DSC08155.jpg)
TUME YA MIPANGO YATEMBELEA MIRADI WA UMEME WA UPEPO SINGIDA
![](http://3.bp.blogspot.com/-NSF5n3oGuPM/VaNxkDav0kI/AAAAAAAHpQ4/icA-ulW9YnE/s640/DSC08155.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sCegTkUfKcQ/VaNxjDgewaI/AAAAAAAHpQw/R8-WTZBdpSs/s640/DSC08157.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-y_SQMHXDZG4/VaNxkBcDN4I/AAAAAAAHpRA/TL5kSRUISsw/s640/DSC08174.jpg)
9 years ago
MichuziTume ya Mipango yatembelea Kiwanda cha Karatasi Mufindi
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4-ob_zL-0XQ/VaTpJYo24cI/AAAAAAAHpkk/Y9XOE6iGQ1w/s72-c/DSC08198.jpg)
TUME YA MIPANGO YATEMBELEA KIWANDA CHA MAFUTA YA ALIZETI SINGIDA
![](http://3.bp.blogspot.com/-4-ob_zL-0XQ/VaTpJYo24cI/AAAAAAAHpkk/Y9XOE6iGQ1w/s640/DSC08198.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-AqSZoMIbG1I/VaTpIfUM6XI/AAAAAAAHpkc/UdSHTUEf8CQ/s640/DSC08206.jpg)
10 years ago
MichuziTUME YA MIPANGO WATEMBELEA BANDARI YA BUKOBA
10 years ago
Vijimambo12 Dec
TIMU YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO KUTOKA OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO YATEMBELEA MELI YA KIHISTORIA YA MV LIEMBA
![](http://api.ning.com/files/-*rcMYSmUcWCUrGeoL6-1UvJUiK79K57IOCFMo-5Sq37MdJtP1GWNdU*AfGB*jQItK7OCURoR3MFc7yd3JpBwZ*A9k576sqB/Shehe.jpg)
![](http://api.ning.com/files/-*rcMYSmUcV355A3VYbtG4WLPTa5uP5dOyGyYPPcNnr0Me7qkWmDiVuU2wWTPEk5*1ly4v7e9bpoo9p2bYEEV9Wg0JoqaTSL/KATIBUBAKWATA.jpg)
Marehemu Killa alianguka chooni nyumbani kwake, Mtaa wa Majengo jijini hapa Desemba 7, mwaka huu na kukimbizwa Hospitali ya Rufaa...
9 years ago
Press30 Dec
WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango Ametoa Maagizo Kwa Tume ya Mipango
WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango ameiagiza Tume ya Mipango kufanya utafiti kuhusu mapato ya Serikali na namna ya kuongeza wigo wa ukusanyaji mapato.
Baadhi ya wafanyakazi wa Tume ya Mipango wakimpokea Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango alipowatembelea kwa lengo la kuwaaga.
Amesema Tume ya Mipango kama chombo cha ushauri kwa Serikali kuhusu mipango na uchumi wa nchi, ni lazima ifanye utafiti juu ya ufanisi wa ukusanyaji wa mapato na kuongeza vyanzo wa kukusanya...
10 years ago
MichuziKIVUKO CHA MV DAR ES SALAAM CHAWASILI KATIKA BANDARI YA DAR LEO ASUBUHI