KIVUKO CHA MV DAR ES SALAAM CHAWASILI KATIKA BANDARI YA DAR LEO ASUBUHI
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli kushoto akimuonesha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadiki Meli kubwa ya mizigo iliyobeba Kivuko kipya cha MV Dar es Salaam ilipokuwa inakaribia kutia nanga katika bandari ya Dar es Salaam.
Taaswira ya Kivuko cha MV Dar es Salaam kama kinavyoonekana juu ya Meli kabla ya kushushwa majini katika bandari ya Dar es Salaam.
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akionesha furaha yake ndani ya Kivuko hicho cha MV Dar es Salaam.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo18 Nov
Kivuko cha kisasa Dar- Bagamoyo chawasili
MCHAKATO wa kukabiliana na foleni katika Jiji la Dar es Salaam, jana ulipata msukumo mpya baada ya Serikali kupokea kivuko kipya kinachokwenda kasi zaidi kuliko vyote nchini, ambacho kitakuwa kikifanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Bagamoyo, mkoani Pwani.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3TCepeJDKFI/VBIGO0xkfyI/AAAAAAAGjBQ/KcZFQuXH3pA/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
KIVUKO CHA MV KIGAMBONI CHAANZA KUFANYA KAZI LEO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-3TCepeJDKFI/VBIGO0xkfyI/AAAAAAAGjBQ/KcZFQuXH3pA/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7vwNewQyL_c/VBIGPCBJd_I/AAAAAAAGjBU/pTJvhZIqu4g/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-bZnR9tmZ_rw/VA4W9K5DchI/AAAAAAAGiJk/QVCC2doAHvs/s1600/unnamed%2B%2813%29.jpg?width=650)
KIVUKO KIPYA (MV DAR ES SALAAM) KITAKACHOTOA HUDUMA KATI YA MWAMBAO WA BAHARI YA HINDI (DAR ES SALAAM NA BAGAMOYO) CHAKAMILIKA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bZnR9tmZ_rw/VA4W9K5DchI/AAAAAAAGiJk/QVCC2doAHvs/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
BREAKING NYUZZZZZ....KIVUKO KIPYA (MV DAR ES SALAAM) KITAKACHOTOA HUDUMA KATI YA MWAMBAO WA BAHARI YA HINDI (DAR ES SALAAM NA BAGAMOYO) CHAKAMILIKA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bMNA8o5KGww/VPCaeYbXwlI/AAAAAAAHGTg/S2B7N8PZTEI/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
DKT.MAGUFULI AFANYA UKAGUZI WA KIVUKO CHA MV DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-bMNA8o5KGww/VPCaeYbXwlI/AAAAAAAHGTg/S2B7N8PZTEI/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli akiwaita wakazi wa jiji la Dar es Salaam katika eneo la Ferry kwa ajili ya safari ya kwenda Bagamoyo na kurudi kwa safari ya majaribio kwa kutumia kivuko cha MV Dar es Salaam alichokikagua leo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-UaHDPP-PD5E/VPCaf1NZ_UI/AAAAAAAHGTo/wKz7s6379uI/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
Kivuko cha MV Dar es Salaam kikiwa njiani kuwasili eneo la Magogoni kwa ajili ya kuanza safari ya kwanza ya majaribio ya kwenda Bagamoyo mkoani Pwani.Kivuko hiki kinauwezo wa kubeba abiria zaidi ya 300.
![](http://1.bp.blogspot.com/--tOVXuyhj9I/VPCajC4gRGI/AAAAAAAHGTw/Ib4E3INX8t0/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
Wakazi wa jiji la Dar es Salaam wakipanda kivuko cha MV Dar...
10 years ago
MichuziKivuko kipya cha Msangamkuu chawasili Mkoani Mtwara
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qvT8WTokz6dhCDcUn6FL-jOQ6AOi*vHAWqMUP7dd8qNvLxPnZ3TZf2zbFvM3ksnxUccd8dv7pF5IAejNO2mSnswZpJ-I3d8U/Newfolder1.jpg?width=650)
APIGWA RISASI ASUBUHI YA LEO, YOMBO VITUKA JIJINI DAR ES SALAAM!
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ADMD_FHmk3I/U6RP7OfW3XI/AAAAAAACj_4/de2Ez6zL-MQ/s72-c/jk1.jpg)
RAIS KIKWETE ATOA MHADHARA KATIKA CHUO CHA ULINZI JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-ADMD_FHmk3I/U6RP7OfW3XI/AAAAAAACj_4/de2Ez6zL-MQ/s1600/jk1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Wk2X7xJHgEo/U6RP7E0waUI/AAAAAAACj_s/xMyp9SemD1s/s1600/jk2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-R22c7cs1vG8/VCw3GkX9ynI/AAAAAAAGnGk/tQJ6tTasGsQ/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
WAWEKEZAJI KUTOKA NCHINI MAREKANI WATEMBEELEA WIZARA YA UCHUKUZI NA BANDARI YA DAR ES SALAAM LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-R22c7cs1vG8/VCw3GkX9ynI/AAAAAAAGnGk/tQJ6tTasGsQ/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CgKNCWI6mQ8/VCw3G4DJUPI/AAAAAAAGnGo/yBsSfZksSAk/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10