BREAKING NYUZZZZZ....KIVUKO KIPYA (MV DAR ES SALAAM) KITAKACHOTOA HUDUMA KATI YA MWAMBAO WA BAHARI YA HINDI (DAR ES SALAAM NA BAGAMOYO) CHAKAMILIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-bZnR9tmZ_rw/VA4W9K5DchI/AAAAAAAGiJk/QVCC2doAHvs/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
Ile ahadi ya Waziri wa Ujenzi Dkt.John Magufuli ya kununua kivuko kipya kitakachotoa huduma ya usafiri kati ya Jiji la Dar es Salaam na mwambao wa Bahari ya Hindi hadi Bagamoyo imetimia. Taarifa za uhakikia tulizozipata hivi punde ni kuwa kivuko hicho (Mv Dar es Salaam) kilichokuwa kinajengwa huko Denmark leo kimeshuka majini na tayari kuanza safari ya kuja Dar es Salaam ambapo kinatarajiwa kufika/kutua Dar es Salaam kati ya wiki tatu mpaka nne zijazo. Kivuko cha MV Dar es Salaam kitakuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-bZnR9tmZ_rw/VA4W9K5DchI/AAAAAAAGiJk/QVCC2doAHvs/s1600/unnamed%2B%2813%29.jpg?width=650)
KIVUKO KIPYA (MV DAR ES SALAAM) KITAKACHOTOA HUDUMA KATI YA MWAMBAO WA BAHARI YA HINDI (DAR ES SALAAM NA BAGAMOYO) CHAKAMILIKA
10 years ago
GPLKIVUKO KIPYA CHA DAR-BAGAMOYO CHAPOKELEWA NA WAZIRI MAGUFULI
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-S5KEymRDv1k/VmvX4gNXRXI/AAAAAAAILv8/yUWTxvn964o/s72-c/download%2B%25281%2529.jpeg)
DAR ES SALAAM, BAGAMOYO KUKOSA HUDUMA YA MAJI KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-S5KEymRDv1k/VmvX4gNXRXI/AAAAAAAILv8/yUWTxvn964o/s640/download%2B%25281%2529.jpeg)
Mtambo wa Ruvu Chini utazimwa kutokana na matengenezo na Maboresho ya Njia kubwa ya Maji inayohudumia eneo la Salasala na viunga vyake vyote.
Kuzimwa kwa mtambo wa Ruvu Chini kutasababisha maeneo yafuatayo katika Jiji la Dar es salaam kukosa...
10 years ago
MichuziKIVUKO CHA MV DAR ES SALAAM CHAWASILI KATIKA BANDARI YA DAR LEO ASUBUHI
10 years ago
Mwananchi27 Feb
MV Dar es Salaam yaanza majaribio, yaenda bagamoyo na kurudi Dar
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AzpNBsRWdkQ/U2edgDQSxPI/AAAAAAAFftg/VpabTnqpQFA/s72-c/11.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bMNA8o5KGww/VPCaeYbXwlI/AAAAAAAHGTg/S2B7N8PZTEI/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
DKT.MAGUFULI AFANYA UKAGUZI WA KIVUKO CHA MV DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-bMNA8o5KGww/VPCaeYbXwlI/AAAAAAAHGTg/S2B7N8PZTEI/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli akiwaita wakazi wa jiji la Dar es Salaam katika eneo la Ferry kwa ajili ya safari ya kwenda Bagamoyo na kurudi kwa safari ya majaribio kwa kutumia kivuko cha MV Dar es Salaam alichokikagua leo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-UaHDPP-PD5E/VPCaf1NZ_UI/AAAAAAAHGTo/wKz7s6379uI/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
Kivuko cha MV Dar es Salaam kikiwa njiani kuwasili eneo la Magogoni kwa ajili ya kuanza safari ya kwanza ya majaribio ya kwenda Bagamoyo mkoani Pwani.Kivuko hiki kinauwezo wa kubeba abiria zaidi ya 300.
![](http://1.bp.blogspot.com/--tOVXuyhj9I/VPCajC4gRGI/AAAAAAAHGTw/Ib4E3INX8t0/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
Wakazi wa jiji la Dar es Salaam wakipanda kivuko cha MV Dar...
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Shirika la ndege la ETIHAD laendelea kukuza wigo wake Afrika Mashariki baada ya kuzindua huduma za safari za ndege kati ya Dar Es Salaam na Abu Dhabi
Ndege iliyozinduliwa na Shirika la Ndege la Etihad ilipowasili katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam na kupokelewa na magari ya zimamoto kwa kumwaga maji kuashiria uzinduzi rasmi wa Safari za ndege za shirika la ndege la Etihad lenye makao makuu Abudhabi. Uzinduzi huo unatoa fursa sasa kwa watanzania kusafiri moja kwa moja kutoka Dar es salaam mpaka Abudhabi kila siku.
Makamu wa Rais- Mauzo ya Kimataifa wa shirika la ndege la Etihad Bw. Daniel Barranger akisalimiana...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YGvjN1w1Mv4/XmTd9m0bUEI/AAAAAAALh60/BcPXuTxye_4BNAFnC_-ZdowBxuN2fsg2ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI ZUNGU ASHIRIKI USAFI WA FUKWE ZA BAHARI JIJINI DAR ES SALAAM
Aliongeza kuwa anawashukuru sana kikundi cha utunzaji wa mazingira cha Save the Coast kwa...