TUME YA MIPANGO YATEMBELEA EPZA
Meneja wa Utekelezaji na Maendeleo wa Mamlaka ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA), Mhandisi Keneth Haule (Kulia) akiukaribisha ugeni kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango walipokwenda kujionea maendeleo ya miradi ya kimkakati inayotekelezwa katika Mamlaka, Mabibo jijini Dar es Salaam. Katikati ni Kiongozi wa Msafara huo, Bibi Florence Mwanri. Wengine pichani ni Bw. Abel Shirima (Kushoto), Bw. Aloyce Andrea (Wapili Kushoto), na Bw. Omary Abdallah (Wapili Kulia).
Kiongozi wa Msafara...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTUME YA MIPANGO YATEMBELEA BANDARI YA DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1yeV7l-DwVI/VHQR87bKmSI/AAAAAAAGzQg/lMt2GLIeqCk/s72-c/unnamed%2B(99).jpg)
TUME YA MIPANGO YATEMBELEA BANDARI YA MBABA BAY
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NSF5n3oGuPM/VaNxkDav0kI/AAAAAAAHpQ4/icA-ulW9YnE/s72-c/DSC08155.jpg)
TUME YA MIPANGO YATEMBELEA MIRADI WA UMEME WA UPEPO SINGIDA
![](http://3.bp.blogspot.com/-NSF5n3oGuPM/VaNxkDav0kI/AAAAAAAHpQ4/icA-ulW9YnE/s640/DSC08155.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sCegTkUfKcQ/VaNxjDgewaI/AAAAAAAHpQw/R8-WTZBdpSs/s640/DSC08157.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-y_SQMHXDZG4/VaNxkBcDN4I/AAAAAAAHpRA/TL5kSRUISsw/s640/DSC08174.jpg)
9 years ago
MichuziTume ya Mipango yatembelea Kiwanda cha Karatasi Mufindi
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4-ob_zL-0XQ/VaTpJYo24cI/AAAAAAAHpkk/Y9XOE6iGQ1w/s72-c/DSC08198.jpg)
TUME YA MIPANGO YATEMBELEA KIWANDA CHA MAFUTA YA ALIZETI SINGIDA
![](http://3.bp.blogspot.com/-4-ob_zL-0XQ/VaTpJYo24cI/AAAAAAAHpkk/Y9XOE6iGQ1w/s640/DSC08198.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-AqSZoMIbG1I/VaTpIfUM6XI/AAAAAAAHpkc/UdSHTUEf8CQ/s640/DSC08206.jpg)
10 years ago
Vijimambo12 Dec
TIMU YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO KUTOKA OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO YATEMBELEA MELI YA KIHISTORIA YA MV LIEMBA
![](http://api.ning.com/files/-*rcMYSmUcWCUrGeoL6-1UvJUiK79K57IOCFMo-5Sq37MdJtP1GWNdU*AfGB*jQItK7OCURoR3MFc7yd3JpBwZ*A9k576sqB/Shehe.jpg)
![](http://api.ning.com/files/-*rcMYSmUcV355A3VYbtG4WLPTa5uP5dOyGyYPPcNnr0Me7qkWmDiVuU2wWTPEk5*1ly4v7e9bpoo9p2bYEEV9Wg0JoqaTSL/KATIBUBAKWATA.jpg)
Marehemu Killa alianguka chooni nyumbani kwake, Mtaa wa Majengo jijini hapa Desemba 7, mwaka huu na kukimbizwa Hospitali ya Rufaa...
9 years ago
Press30 Dec
WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango Ametoa Maagizo Kwa Tume ya Mipango
WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango ameiagiza Tume ya Mipango kufanya utafiti kuhusu mapato ya Serikali na namna ya kuongeza wigo wa ukusanyaji mapato.
Baadhi ya wafanyakazi wa Tume ya Mipango wakimpokea Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango alipowatembelea kwa lengo la kuwaaga.
Amesema Tume ya Mipango kama chombo cha ushauri kwa Serikali kuhusu mipango na uchumi wa nchi, ni lazima ifanye utafiti juu ya ufanisi wa ukusanyaji wa mapato na kuongeza vyanzo wa kukusanya...
10 years ago
MichuziTUME YA MIPANGO WATEMBELEA BANDARI YA BUKOBA
10 years ago
VijimamboTUME YA MIPANGO YAPONGEZWA KWA UFANISI
Ofisi ya Rais, tume ya mipango imepongezwa kwa hatua kubwa iliyopiga katika kutekeleza majukumu mbalimbli ya kitaifa.
Pongezi hizo zimetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo wakati akifungua mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango lililofanyikia mjini Kibaha mwishoni mwa juma.
Mheshimiwa Ndikilo alieleza kuwa Tume ya mipango imepiga hatua kubwa katika kutekeleza majukumu yake ambayo ni pamoja na kutayarisha mpango wa taifa wa kila...