TUME YA MIPANGO YATEMBELEA BANDARI YA MBABA BAY
![](http://4.bp.blogspot.com/-1yeV7l-DwVI/VHQR87bKmSI/AAAAAAAGzQg/lMt2GLIeqCk/s72-c/unnamed%2B(99).jpg)
Na Saidi Mkabakuli, Mbaba Bay Timu wakaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Tume ya Mipango imetembelea Bandari ya kimkakati ya Mbaba Bay iliyopo wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na Bandari hiyo. Akizungumza wakati wa ziara hiyo, kiongozi wa timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bibi Florence Mwanri alisema kwamba Bandari hiyo ni muhimu kwa uchumi wa nchi kwa kuzingatia eneo la kijiografia la bandari...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTUME YA MIPANGO YATEMBELEA BANDARI YA DAR ES SALAAM
10 years ago
MichuziTUME YA MIPANGO YATEMBELEA EPZA
9 years ago
MichuziTume ya Mipango yatembelea Kiwanda cha Karatasi Mufindi
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NSF5n3oGuPM/VaNxkDav0kI/AAAAAAAHpQ4/icA-ulW9YnE/s72-c/DSC08155.jpg)
TUME YA MIPANGO YATEMBELEA MIRADI WA UMEME WA UPEPO SINGIDA
![](http://3.bp.blogspot.com/-NSF5n3oGuPM/VaNxkDav0kI/AAAAAAAHpQ4/icA-ulW9YnE/s640/DSC08155.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sCegTkUfKcQ/VaNxjDgewaI/AAAAAAAHpQw/R8-WTZBdpSs/s640/DSC08157.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-y_SQMHXDZG4/VaNxkBcDN4I/AAAAAAAHpRA/TL5kSRUISsw/s640/DSC08174.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4-ob_zL-0XQ/VaTpJYo24cI/AAAAAAAHpkk/Y9XOE6iGQ1w/s72-c/DSC08198.jpg)
TUME YA MIPANGO YATEMBELEA KIWANDA CHA MAFUTA YA ALIZETI SINGIDA
![](http://3.bp.blogspot.com/-4-ob_zL-0XQ/VaTpJYo24cI/AAAAAAAHpkk/Y9XOE6iGQ1w/s640/DSC08198.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-AqSZoMIbG1I/VaTpIfUM6XI/AAAAAAAHpkc/UdSHTUEf8CQ/s640/DSC08206.jpg)
10 years ago
MichuziTUME YA MIPANGO WATEMBELEA BANDARI YA BUKOBA
10 years ago
Vijimambo12 Dec
TIMU YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO KUTOKA OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO YATEMBELEA MELI YA KIHISTORIA YA MV LIEMBA
![](http://api.ning.com/files/-*rcMYSmUcWCUrGeoL6-1UvJUiK79K57IOCFMo-5Sq37MdJtP1GWNdU*AfGB*jQItK7OCURoR3MFc7yd3JpBwZ*A9k576sqB/Shehe.jpg)
![](http://api.ning.com/files/-*rcMYSmUcV355A3VYbtG4WLPTa5uP5dOyGyYPPcNnr0Me7qkWmDiVuU2wWTPEk5*1ly4v7e9bpoo9p2bYEEV9Wg0JoqaTSL/KATIBUBAKWATA.jpg)
Marehemu Killa alianguka chooni nyumbani kwake, Mtaa wa Majengo jijini hapa Desemba 7, mwaka huu na kukimbizwa Hospitali ya Rufaa...
9 years ago
Press30 Dec
WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango Ametoa Maagizo Kwa Tume ya Mipango
WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango ameiagiza Tume ya Mipango kufanya utafiti kuhusu mapato ya Serikali na namna ya kuongeza wigo wa ukusanyaji mapato.
Baadhi ya wafanyakazi wa Tume ya Mipango wakimpokea Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango alipowatembelea kwa lengo la kuwaaga.
Amesema Tume ya Mipango kama chombo cha ushauri kwa Serikali kuhusu mipango na uchumi wa nchi, ni lazima ifanye utafiti juu ya ufanisi wa ukusanyaji wa mapato na kuongeza vyanzo wa kukusanya...
10 years ago
VijimamboTUME YA MIPANGO YAPONGEZWA KWA UFANISI
Ofisi ya Rais, tume ya mipango imepongezwa kwa hatua kubwa iliyopiga katika kutekeleza majukumu mbalimbli ya kitaifa.
Pongezi hizo zimetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo wakati akifungua mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango lililofanyikia mjini Kibaha mwishoni mwa juma.
Mheshimiwa Ndikilo alieleza kuwa Tume ya mipango imepiga hatua kubwa katika kutekeleza majukumu yake ambayo ni pamoja na kutayarisha mpango wa taifa wa kila...