Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vita ya ujangili yaanza kuzaa matunda

nyalandu-janNa Mwandishi Wetu, Manyoni
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema kumekuwapo na mafanikio katika vita dhidi ya majangili kwenye hifadhi za taifa na mapori ya akiba.
Katika kipindi cha miaka miwili iliyopita, majangili walivamia kwa kasi na kuwaua wanyamapori wakiwamo tembo na faru, hatua ambayo iliibua tishio la kutoweka kwa baadhi ya wanyamapori.
Juzi Waziri Nyalandu alitangaza kukamatwa kwa silaha za kivita zikiwamo bunduki za AK 47 na SMG katika Pori la Akiba la Rungwa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Maboresho bandari ya Dar es Salaam yaanza kuzaa matunda

Maboresho yanayofanywa na serikali kupitia Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) katika kuboresha huduma zinazotolewa na bandari ya Dar es Salaam sasa zimeanza kuzaa matunda.  Kaimu Meneja Mawasiliano wa TPA, Bi. Janeth Ruzangi aliwaambia waandishi wa habari mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam kuwa bandari imeanza kupata mafanikio katika kuwahudumia wateja wake na maeneo mengine kutokana maboresho yanayo endelea kufanywa.  Katika miaka ya hivi karibuni pamekuwepo na mikakati mbalimbali...

 

10 years ago

Habarileo

JK: Sekta ya elimu imeanza kuzaa matunda

Rais Jakaya Kikwete.RAIS Jakaya Kikwete amesema jitihada za Serikali katika kuboresha sekta ya elimu nchini, zimeanza kuzaa matunda, na sasa takribani shule zote za Serikali zimeanza kufanya vizuri tofauti na miaka ya nyuma.

 

10 years ago

Michuzi

Vita ya ujangili yaungwa mkono,Kikosi cha kupambana na Ujangili chapata zana za kisasa

Kikosi cha kupambana na ujangili nchini kimepata vitendea kazi kutoka kwa wadau wa sekta ya utalii vitakavyowezesha kukabiliana na matukio ya ujangili yaliyoshika kasi nchini na kuhatarisha kutoweka baadhi ya wanyama.
Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni magari matano aina ya Land Cruser yenye thamani ya Sh 750 milioni,bunduki za kivita 50 aina ya Ak 47 na risasi 10,000 na Magazini 20 ambazo thamani haikutajwa kwa kwasababu za kiusalama.
Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu baada ya...

 

11 years ago

Michuzi

Matunda ya Kongamano la Uwekezaji Kanda ya Ziwa yaanza kuonekana

Mara baada ya Kongamano la Uwekezaji Kanda ya Ziwa, mwekezaji Mama Wang Shen Hong (ama Anna - kama anavyojulikana zaidi jijini Mwanza) aliomba kukutana na maofisa waandamizi wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) na kuzungumzia fursa lukuki zilizoainishwa kwenye Kongamano hilo. Pichani ni Mwekezaji huyo akiongea na Meneja wa Uhamasishaji Uwekezaji kutoka TIC Makao Makuu,Bwana John Mathew Mnali (kulia) akiwa na Meneja wa Kanda ya Ziwa,Bwana Fanuel Yona Lukwaro. 
Mwekezaji huyo amevutiwa zaidi...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

VITA YA UJANGILI


Serikali yapewa  ndege ya kisasa

NA KHADIJA MUSSA
WADAU wa utalii na uhifadhi ndani na nje ya nchi wameendelea kuunga mkono jitihada za serikali katika mapambano dhidi ya ujangili, kwenye hifadhi za taifa na mapori ya akiba.

Tangu Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, kutangaza vita dhidi ya ujangili na kusisitiza kuwa lazima serikali ishinde, matukio ya mauaji ya tembo na faru yamepungua kwa kiasi kikubwa.
Hiyo inatokana na kuimarishwa kwa ulinzi kwenye hifadhi za taifa pamoja na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ligi ya kupinga ujangili yaanza

SHIRIKA la Mradi wa Kuboresha Mtandao wa Hifadhi zilizoko Kusini mwa Tanzania (Spanest) limeanzisha michuano ya soka ikiwa ni  kampeni za kuhamasisha uhifadhi na vita dhidi ya ujangili wa wanyamapori...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Ujangili ni vita ya pamoja’

Jumuiya ya kimataifa imepitisha Azimio la Arusha lenye lengo la kukabiliana na ujangili na kuendeleza wanyama.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Vita ya ujangili inataka dhamira’

>Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema inahitajika dhamira ya kweli kutoka kwa wadau wote katika kutekeleza Azimio la Arusha la kukabiliana na ujangili pamoja na kuendeleza hifadhi za wanyama katika nchi za Afrika Mashariki na Kusini mwa Ikweta.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani