Ligi ya kupinga ujangili yaanza
SHIRIKA la Mradi wa Kuboresha Mtandao wa Hifadhi zilizoko Kusini mwa Tanzania (Spanest) limeanzisha michuano ya soka ikiwa ni kampeni za kuhamasisha uhifadhi na vita dhidi ya ujangili wa wanyamapori...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iiRYqmUu5JA/VkMf6vcEcCI/AAAAAAAIFTg/GUu_wmfyLYQ/s72-c/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
Alikiba atua Los Angeles kutengeneza video ya kupinga ujangili wa tembo
![](http://1.bp.blogspot.com/-iiRYqmUu5JA/VkMf6vcEcCI/AAAAAAAIFTg/GUu_wmfyLYQ/s640/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
Katika kutimiza jukumu lake jipya kama balozi wa kimataifa wa Wildaid, shirika la kimataifa la uhifadhi wanyamapori, mwanamuziki maarufu Mtanzania – Alikiba amesafiri kuelekea jiji la Los Angeles nchini Marekani ili kutengeneza...
10 years ago
Mtanzania16 Apr
Vita ya ujangili yaanza kuzaa matunda
Na Mwandishi Wetu, Manyoni
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema kumekuwapo na mafanikio katika vita dhidi ya majangili kwenye hifadhi za taifa na mapori ya akiba.
Katika kipindi cha miaka miwili iliyopita, majangili walivamia kwa kasi na kuwaua wanyamapori wakiwamo tembo na faru, hatua ambayo iliibua tishio la kutoweka kwa baadhi ya wanyamapori.
Juzi Waziri Nyalandu alitangaza kukamatwa kwa silaha za kivita zikiwamo bunduki za AK 47 na SMG katika Pori la Akiba la Rungwa...
9 years ago
Mwananchi15 Sep
Kesi ya kupinga sheria ya mtandao yaanza
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Kesi kupinga ubunge Longido yaanza kunguruma
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
KESI ya kupinga matokeo ya ubunge wa Longido yaliyompa ushindi Onesmo Ole Nangole (Chadema), iliyofunguliwa na aliyekuwa mgombea wa CCM, Dk. Stephen Kiruswa, imeanza kusikilizwa.
Nangole ambaye aliwahi kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha, ambaye alitangaza kukihama chama hicho na kujiunga na upinzani, aligombea ubunge kwenye uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25, mwaka huu na kufanikiwa kushinda.
Kesi hiyo iliyopo mbele ya Jaji Methew Mwaimu, jana ilianza kusikilizwa...
9 years ago
MichuziKesi ya kupinga matokeo ya ubunge iliyowailishwa na aliyekuwa Mbunge wa Temeke Abbas Mtemvu yaanza
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QuyplVTgcgM/VAmEDdOoYFI/AAAAAAAGenY/hzcdXLFO5AY/s72-c/TAARIFA%2BKWA%2BUMMA-TUME%2BOPERESHENI%2BTOKOMEZA.jpeg)
10 years ago
BBCSwahili20 Dec
10 years ago
BBCSwahili16 Aug
Man U yaanza ligi kwa kichapo
10 years ago
MichuziYANGA YAANZA LIGI YAICHAPA TANZANIA PRISONS 2-1
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA