Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ligi ya soka Somali yaanza

Msimu wa soka nchini Somali umeanza rasmi katika mji mkuu Mogadishu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ligi ya kupinga ujangili yaanza

SHIRIKA la Mradi wa Kuboresha Mtandao wa Hifadhi zilizoko Kusini mwa Tanzania (Spanest) limeanzisha michuano ya soka ikiwa ni  kampeni za kuhamasisha uhifadhi na vita dhidi ya ujangili wa wanyamapori...

 

10 years ago

BBCSwahili

Man U yaanza ligi kwa kichapo

Man U imeanza vibaya msimu huu wa ligi kuu ya England baada ya kukubali kichapo cha magoli 2 - 1 dhidi ya Swansea.

 

10 years ago

Michuzi

YANGA YAANZA LIGI YAICHAPA TANZANIA PRISONS 2-1

Mshambuliaji wa Yanga, Andrey Coutinho akitafuta mbinu za kuwatoka wachezaji wa Tanzania Prisons, Lauvian Mpalile (kushoto) na Jeremia Juma wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imeshinda 2-1. (Picha na Francis Dande) Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngasa akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Tanzania Prisons, Lauvian Mpalile. Jaja akimtoka beki wa Prisons, Nurdin.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

11 years ago

Tanzania Daima

AFC yaanza safari kurejea Ligi Kuu

TIMU ya AFC imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Mkoa wa Arusha baada ya kuipa kipigo cha mbwa mwizi Laibon ya Longido kwa mabao 9-1 katika mchezo wa mwisho wa hatua ya...

 

10 years ago

Mwananchi

LIGI KUU BARA: Yanga yaanza kugawa dozi

>Yanga imeanza kazi ya kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Bara baada ya kuichapa Tanzania Prisons iliyokuwa pungufu mabao 2-1 katika mechi iliyochezwa jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Ligi ya Mabingwa Ulaya: Safari ya Berlin yaanza kuiva

>Tayari timu nne zilizotinga hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya 2014/15 zimeishajulikana na ratiba ya mechi za hatua hiyo imeishapangwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ligi ya soka Urusi yakumbwa na ubaguzi

Mshambuliaji wa timu ya Ufa nchini Moscow mwenye asili ya Ghana Emmanuel Frimpong amelalamika kuwa alitukanwa na mashabiki nchini Urusi kutokana na rangi yake

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania:ligi ya kwanza soka wanawake 2015

Mashindano ya Taifa ya mpira wa miguu kwa wanawake (Taifa Cup Wanawake) yanazinduliwa rasmi Januari Mosi mwakani ,Kirumba Mwanza

 

9 years ago

Mwananchi

Tuiheshimu ligi yetu ya soka msimu huu

Mbio za kusaka bingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara zinaanza, Septemba 12 na 13 kwa timu zote 16 kuumana kwenye viwanja tofauti.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani