Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AFC yaanza safari kurejea Ligi Kuu

TIMU ya AFC imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Mkoa wa Arusha baada ya kuipa kipigo cha mbwa mwizi Laibon ya Longido kwa mabao 9-1 katika mchezo wa mwisho wa hatua ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MKURUGENIZ WA JIJI LA ARUSHA APANIA KUIREJESHA TIMU YA AFC LIGI KUU

Mkurugenzi wa jiji la Arusha , Juma Iddi (mwenye suti nyeusi). Mkurugenzi wa jiji la Arusha, Juma Iddi amepania kuipandisha ligi timu ya Arusha FC inayoshiriki ligi daraja la pili msimu huu, huku akiwataka viongozi wa sasa wa timu hiyo kuwa kama kamati na jiji hilo kuhakikisha swala hilo linafanikiwa.

Akizungumza na mwandishi wa habari hizi, mapema ofisini kwake alisema kuwa kwa kuwa tayari usajili
umekwisha fanyika kwa sasa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mkurugenzi wa Jiji la Arusha apania kuirejesha timu ya AFC ligi kuu

juma iddi

Mkurugenzi wa jiji la Arusha, Juma Iddi (mwenye suti nyeusi).        

Na Woinde Shizza,Arusha

Mkurugenzi wa jiji la Arusha, Juma Iddi amepania kuipandisha ligi timu ya Arusha FC inayoshiriki ligi daraja la pili msimu huu, huku akiwataka viongozi wa sasa wa timu hiyo kuwa kama kamati na jiji hilo kuhakikisha swala hilo linafanikiwa.

Akizungumza na mwandishi wa habari hizi, mapema ofisini kwake alisema kuwa kwa kuwa tayari usajili umekwisha fanyika kwa sasa wanatafuta kocha mwenye ujuzi na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CDA yapania kurejea Ligi Kuu

TIMU ya CDA Dodoma inayoshiriki Ligi ya Mkoa, imetamba kujiandaa vema msimu huu ili iweze kutwaa ybungwa na hatimaye kurejea Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL). Mikakati hiyo imekuja kwa lengo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Ligi kuu Uingereza kurejea tarehe 17 Juni

Ligi kuu Uingereza kurejea tarehe 17 Juni, zaidi ya miezi mitatu baada ya kuahirishwa

 

5 years ago

CCM Blog

YANGA YAWACHAPA NDANDA 3-2 NA KUREJEA NAFASI YA PILI LIGI KUU


Na Mwandshi Wetu, DAR ES SALAAM
VIGOGO Yanga SC wametokea nyuma na kushinda 3-2 dhidi ya Ndanda SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
Ushindi huo unairejesha Yanga SC nafasi ya pili, ikifikisha pointi 60 katika mchezo wa 32, sasa inazidiwa pointi 18 na mabingwa watetezi, SImba SC ambao wana mechi moja mkononi.  
Katika mchezo wa leo uliochezeshwa na refa Raphael Ikambi wa Morogoro aliyesaidiwa na Sunday Komba wa Kilimanjaro na Credo Mbuya wa Mbeya,...

 

10 years ago

Mwananchi

Ligi ya Mabingwa Ulaya: Safari ya Berlin yaanza kuiva

>Tayari timu nne zilizotinga hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya 2014/15 zimeishajulikana na ratiba ya mechi za hatua hiyo imeishapangwa.

 

10 years ago

Mwananchi

LIGI KUU BARA: Yanga yaanza kugawa dozi

>Yanga imeanza kazi ya kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Bara baada ya kuichapa Tanzania Prisons iliyokuwa pungufu mabao 2-1 katika mechi iliyochezwa jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mwananchi

LIGI KUU ENGLAND: Ukuta Arsenal na safari ndefu ya ubingwa

Wiki moja tangu kuanza kwa msimu mpya wa Ligi Kuu England 2015/16, tayari mashabiki wa klabu ya Arsenal wameanza kuingiwa hofu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani