Ligi kuu Uingereza kurejea tarehe 17 Juni
Ligi kuu Uingereza kurejea tarehe 17 Juni, zaidi ya miezi mitatu baada ya kuahirishwa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9X7HhgL_yvo/XtAGmlKC87I/AAAAAAALr7U/NUQc87_L4icXCczjCM38uaExzuPNGb_1ACLcBGAsYHQ/s72-c/b4961be9-1df6-409e-a3b9-49e89b3825f0.jpg)
LIGI KUU UINGEREZA KUENDELEA TENA JUNI 17, MAN CITY VS ARSENAL
![](https://1.bp.blogspot.com/-9X7HhgL_yvo/XtAGmlKC87I/AAAAAAALr7U/NUQc87_L4icXCczjCM38uaExzuPNGb_1ACLcBGAsYHQ/s640/b4961be9-1df6-409e-a3b9-49e89b3825f0.jpg)
Mechi hizo zikiwa ni viporo zitawakutanisha mabingwa watetezi Manchester City dhidi ya Arsenal na Aston Villa dhidi ya Sheffield United huku ratiba kamili ikianzia wikiendi ya Juni 19-21.
Bado kuna jumla ya mechi 92 ambazo zinahitaji kuchezwa na vilabu vyote 20 baada ya Ligi hiyo kusiimamishwa kwa muda usiojulikana Machi 13 kutokana na mlipuko wa...
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
CDA yapania kurejea Ligi Kuu
TIMU ya CDA Dodoma inayoshiriki Ligi ya Mkoa, imetamba kujiandaa vema msimu huu ili iweze kutwaa ybungwa na hatimaye kurejea Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL). Mikakati hiyo imekuja kwa lengo...
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
AFC yaanza safari kurejea Ligi Kuu
TIMU ya AFC imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Mkoa wa Arusha baada ya kuipa kipigo cha mbwa mwizi Laibon ya Longido kwa mabao 9-1 katika mchezo wa mwisho wa hatua ya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-EN1Io4j8RAs/Xvdw_d7FCWI/AAAAAAADdgU/52s46Ef3TCMWhLdFwFRP6nSHXWmj2uz0ACNcBGAsYHQ/s72-c/1.jpeg)
YANGA YAWACHAPA NDANDA 3-2 NA KUREJEA NAFASI YA PILI LIGI KUU
Na Mwandshi Wetu, DAR ES SALAAM
VIGOGO Yanga SC wametokea nyuma na kushinda 3-2 dhidi ya Ndanda SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
Ushindi huo unairejesha Yanga SC nafasi ya pili, ikifikisha pointi 60 katika mchezo wa 32, sasa inazidiwa pointi 18 na mabingwa watetezi, SImba SC ambao wana mechi moja mkononi.
Katika mchezo wa leo uliochezeshwa na refa Raphael Ikambi wa Morogoro aliyesaidiwa na Sunday Komba wa Kilimanjaro na Credo Mbuya wa Mbeya,...
10 years ago
BBCSwahili28 Sep
Matokeo ya Ligi kuu ya Uingereza
EPL-Matokeo ya mechi zilizochezwa siku ya jumamosi.
Liverpool 1 - 1 Everton
Chelsea 3 - 0 Aston Villa
Crystal Palace2 - 0Leicester
Hull 2 - 4 Man City
Man Utd 2 - 1 West Ham
Southampton 2 - 1QPR
Sunderland 0 - 0 Swansea
Arsenal 1 - 1 Tottenham
11 years ago
TZToday10 years ago
BBCSwahili21 Nov
Mechi za ligi kuu Uingereza Jumamosi
10 years ago
Vijimambo03 May