Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHELSEA MABINGWA LIGI KUU UINGEREZA

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea mabingwa wapya Ligi Kuu England

Timu ya Chelsea imeibuka bingwa mpya wa Ligi Kuu ya England, EPL kw mwaka 2014/2015 huku ikibakiwa na michezo mitatu

 

11 years ago

BBCSwahili

Droo ya ligi kuu ya mabingwa ni leo

Droo ya ligi kuu ya mabingwa Uropa kufanyika leo

 

10 years ago

StarTV

Ligi ya Uingereza, Chelsea yaitandika Arsenal 2-0.

Katika ligi kuu ya England jana mamilioni ya wapenda soka duniani waliokuwa wakishuhudia mtanange kati ya Chelsea na Arsenal walishuhudia Chelsea wakiibuka kidedea kwa jumla ya mabao 2-0 yakifungwa na Eden Hazard katika dakika ya 27 kwa njia ya penalti na dakika ya 78 likifungwa na Diego Costa mwenye magoli tisa katika mechi saba alizocheza katika ligi kuu hiyo ya primier.

 

 
Pamoja na mchuano uwanjani hapo lakini nao makocha wa timu hizo Jose Mourinho wa Chelsea na Arsene Wenger wa Arsenal...

 

10 years ago

BBCSwahili

Matokeo ya Ligi kuu ya Uingereza

EPL-Matokeo ya mechi zilizochezwa siku ya jumamosi.

Liverpool 1 - 1 Everton

Chelsea 3 - 0 Aston Villa

Crystal Palace2 - 0Leicester

Hull 2 - 4 Man City

Man Utd 2 - 1 West Ham

Southampton 2 - 1QPR

Sunderland 0 - 0 Swansea

Arsenal 1 - 1 Tottenham

 

11 years ago

TZToday

MSIMAMO WA LIGI KUU YA UINGEREZA

CHANZO: Barclayspremierleague.com

 

11 years ago

Michuzi

mabingwa wapya wa ligi kuu ya bara Azam FC watawazwa rasmi

 Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) akimkabidhi Kombe la ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Nahodha wa Azam FC, John Bocco jioni hii baada ya kuifunga bao 1-0 JKT Ruvu Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.
Mabingwa wakisherehekea na taji lao, sherehe za ubingwa zimeendelea Azma Complex hadi usiku wa manane. 

 

10 years ago

BBCSwahili

Mechi za ligi kuu Uingereza Jumamosi

Arsenal itachuna na Manchester United huku Chelsea na Manchester City zikikabiliana na West Brom na Swansea

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani